Jamani mtamponza mzee wa watu.Habari wakuu
Kutokana na hali inavyoenda ya uendeshaji wa nchi ni wazi rais anatakiwa abadilishwe kupitia sanduku la kura mwaka 2020
Hivyo sisi watanzania tunapenda na tunatamani kusikia sauti ya kiongozi wetu mpendwa mwenye nia ya kulivusha taifa kwa hapa lilipokwamia, ndugu, mheshimiwa na mwanadiplomasia Benard Membe
Jitokeze wazi tusikie kauli yako watanzania tufarijike kwani mwaka 2020 ni jirani sana
Nawasilisha
Ni wajinga, nawaonea huruma wanavyogeuzwa kama chapati.Wala hawatongozeki kirahisi bali ni ma-low IQ tu, hawajaanza leo walianza kumsifia Kenyata, wakaja kumsifia Kikwete na sasa wamehamia kwa B.Membe, kwa akili yao ndogo hakuna kitu wanasimamia hivyo chochote kikija na Mbowe akiyaambia yanafwata yanafikiri yatamchonganisha na Raisi Magufuli!
Ameiba shinggapi? Mbona huyu wenu ndo kakwapua wani pwenti faivu mchana kweupe. Hili ndo jizi baya mno. Ngoja BCM aje afukue makaburi ya jiwe na Bashite tuone.Membe hana tofauti na Lowassa kwa wizi/ufisadi…..hafai hata kidogo kuwa rais.
Basi endelea kukaa kwenye reli mkuu, ya kumshabikia membe kiwa rais.Mo ana issue gani kwa sasa ? Usitutoe kwenye reli pls
Kwa makubariano yapi?Tunaenda na Magu mpaka 2022 ( Miaka 7 awamu ya kwanza) then anatuchukua awamu ya pili mpaka 2029 akimaliza hana cha kuongeza muda then ndio tunaanza kujadili wengine wa kumrithi
Unajuaje kama huyu anayeshabikia ni mpinzani?Yaani hapa jukwaani wengi wanatumia fake ID,sasa unawezaje kusema hii comment ni ya mpinzani au ccm??Inawezekena wanaoleta hizi habari ni ccm lakn washabiki wake ni wapinzani, wanaoshabikia bila kuelewa.
Unalipwa au unajitolea?Habari za muda mabibi na mabwana!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nawashauri wanachama wenzangu na wananchi kwa ujumla. Mwaka 2020 tusipoteze tena kama ilivyotokea mwaka 2015. Haya yote ni kwa sababu hatukutulia vizuri katika mchujo wa kumpata kiongozi bora.
Karibuni kwa maoni yenu.
Wewe inaonekana umeanza kufuatilia siasa juziUnajuaje kama huyu anayeshabikia ni mpinzani?Yaani hapa jukwaani wengi wanatumia fake ID,sasa unawezaje kusema hii comment ni ya mpinzani au ccm??