Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
[emoji23]anaweza miss "target" ikawa shidaInaonekana hata akiwa anaenda ' Kuukweka ' pia huwa haimbanduki Machoni.
Inatia shaka sana kwa wanaofikiri ila akijifanya mjuzi yeye na wanaomtuma atakua na hali mbaya sanaHii sudden interest kwa Membe siielewi mpaka sasa.
Kumpenda Magufuli ni sawa na kumpenda Shetani,Ibilisi na LucifaBora wewe mkuu upo kazini una mshahara mwisho wa mwezi, kuna maelfu ya vijana wamemaliza vyuo hawana ajira tokea 2015 alipoingia bazazi wa demokrasia, maelfu wamefukuzwa kazi, hakuna fao la kujitoa, watumishi wanapelekeshwa mpaka kupigishwa magoti na wakuu wa wilaya/mikoa, wengine wanaondolewa kwa vyeti feki wengine wanaachwa, wengine wanabomolewa nyumba zao walizozijenga kwa kujinyima ila wasukuma wapiga kura wake anawakingia kifua.... wabunge wanajaribu kuwatetea wapiga kura wao jiwe anatishia kuwapiga mijeredi shangazi zao...
Hahaha! The beutiful ones are not yet born..!Sultani Mbowe kafuta Uchaguzi chadema, hiyo ndo habari ya mujini!
Ni ngumu sana kutoka hapo aisee. Huwezi shindana na Raisi aliye madarakaniHata kabla ya muda anaweza kwenda
Mtaumbuka tuuh!! Ata tuliyoko ccm hatugawi kura zetu kwa bwana stone na chamani hatuhami..Haahahaahahah waache waendelee kuishabikia CCM .......CCM OYEEEEEE
MAGUFULI OYEEEEEEEE
MAKONDA OYEEEEEEE
BASHIRU OYEEEEE
WAZIRI WA SHERIA OYEEEEE
YESU OYEEEEEEE
MUHAMAD OYEEEEE
YEHOVA OYEEEEE
Membe anafaa sana,kwanza kichwa chake kimetulia ktk maamuzi siyo kama yule kichaa...1.Mwanadiplomasia mzoefu.
2.Mwanakitengo mstaafu
3.Msomi aliyeelimika
4.Ana busara na hekima
5.Mzalendo
6.Mbunifu
7.Mediator mzoefu
Nimalizie tu hapo, ni jinsi tu ninavyomfahamu. Ni hivyo tu basis.
Haaaa,,,,jaman mtamwaga pombe yote ,mbona mnampa sana presha mzee baba,,?
Hao ni bavicha..lumumba hakuna huo upuuzi..kutoka lowasa sasa ni membe..lumumba tuna vichwa vingi..muda ukifika utajua..hizo ni harakati za wafa maji chadema..ndio mabingwa wa kukoment na kulike..ukiona koment ina likes nyingi jua ufipa haoKuna kitu kisichojulikana kinafukuta mtaa wa lumumba.
Kitajulikana tu katika muda usiojulikana.
Huwezi kuyachonganisha hayo yanajuanaNaona ukawa nao wameamua kuchonganisha wanaccm!
Mimi mwenyewe nawashangaaBado hajazaliwa mtu wakumtikisa Magu wanajidanganya tu na kuchezea nguvu zao pengine zingewafaa baada ya Magu kuondoka
Nchi ikivamiwa na ndui uchana mnaweza pembeni, kuna mhutu kwanza atolewe afu mengine badae.Nimecheka Sana hii combination ya Chadema na ccm haijawahi tokea kweli Membe for presidence
Nini kimetokea kwa elimu yangu hapa nimetoka kapa kabisa labda ikifika kesho Jtatu nitajua maana Leo Jpili
Kweli siasa ya science Huu upendo na kupendana kwa ccm na Chadema nini kimetokea?
Natamani kujua zaidi sema ndo hivo tenaMkuu inatosha kuelezea haya.
fikiria mwenyewe
siyo Kila mambo ni ya kuweka public
japo tunaweza kutumia code language..
Yatosha kuelezea
πππππKama Mlishindwa kufanya maamuzi 2015 pambaneni na mizigo yenu hadi miaka 10 iishe.
Simlimtaka wenyewe?