Uchaguzi 2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

Nimetimiza miaka 10 ya ulevi, leo 9 octoba ni maadhimisho - JamiiForums

Umeona jinsi ulevi unavyokusumbua lakini
 
Huku upinzani kwa sasa vimebaki vitoto vilivyotoka chuo visivyojua kutafuta pesa kwa nguvu zao zaidi.ya ajira serikalini na kudanga vina muda mwingi wa kushinda kwenye mitandao na kutukana havina hoja zaidi ya viroja.
Wenye akili na upeo mkubwa karibu wote wanaondoka.

Ukiangalia kelele za "Membe" kwa mwenye akili anaona tu kuwa kuna vichekesho mahali fulani, wana njia mbili au tatu..

1: waasi ili itokee CCM B kisha atangazwe kuwa mgombea ambaye ataungwa mkono na baadhi ya wanaccm wenye maslahi binafsi.
Hii inawezekana kama afanyavyo Cilos Chilima wa Malawi..kwa sasa..

2. Aondoke kisha ajiunge na upinzani uliopo sasa awe badala ya lowasa..

3. Apitishwe na kamati na vikao vya CCM kwa sabbu yoyote ile.

4. Afanye mapinduzi ya kumtoa rais madarakani kwa njia isiyo ya kidemokrasia.!

Kati ya hizo hapo juu huenda akawa rais.

Mwisho kama wengine walivyosema kuna watu wanajaribu kutengeneza picha kuwa wapinzani wanatekwa na kupotezwa.!
Wanaweza kutumia mtego huu ili kutengeneza aina fulani ya taharuki kwenye jamii. Kisha wakajaribu kutimiza lengo lao.

Sio wa kupuuzwa kwa namna yoyote.
 
Tunahitaji Raisi kwaajili ya Tanzania na watanzania, Hatuhitaji Rais kwaajili ya mataifa ya nje. Magufuli anatosha. Huyo Maembe abaki tu kuwa Rais wa mioyo yenu km Lowasa.
 
Bora mwizi kuliko jambazi(roho mbaya)


Mwizi anaharibu uchumi wa nchi mchana kweupe na bahati nzuri Magufuli si jambazi, yeye ni mtumbuaji. Kuna utofauti hapa, jambazi si mtumbuaji ni mwaribifu.
 
Membe hana tofauti na Jiwe....Muwekeni Warioba hapo Mwansheria Mkuu Tundu lisu waiweke sawa nchi miaka kama 5 hivi wapike vijana wa ukweli Apart from That tukubali tu kuwa hii nchi mpaka mwisho wa dahari Itakuwa hivi hivi au hali itakuwa Mbaya zaidi
 
Membe ukimsikiliza anaongea kwa umakini mkubwa wala haongei kwa kufokafoka kila saa kama vile anafokea watoto wadogo, Membe analugha ya kidiplomasia maana yeye ni mwanadiplomasia mashuhuri. Hata penati aliyokosa samatta juzi juzi angekua Membe angeipata tu maana angatumia diplomasia kufunga Goli.
 
Ingawa magu anaelekea kushindwa mimi siwezi kumuunga mkono membe bali ntamuunga mkono magu amalize tu muda wake
 
JPM ndo Rais bora mpaka sasa...apunguze tu umwinywaji wa demokrasia..Awe fair kwa kila mtu..Membe ataturudisha kwa JK..JK alivuruga sana uchumi.
 
Ni bora hao wanaodokoa kidogo kuliko wanaokomba kabisa ,na kutishia wanaohoji juu ya ulafi wao kama kakikundi


Lowassa na Membe wamekomba kidogo? Nani kakudanganya…...wale hawafai ni zaidi ya mafisadi wale wazungu wa migodi.
 
Probably fighting common enemy
 
Tuache uongo sio kweli kabisa kuwa eti lowassa ndiye aliyemuweka jk mafarakani,huu ni uongo na ujuha wa mwaka
 
bora aje yeyote atakaye jali maisha ya watu kuliko huyu anayejali vitu kuliko watu. et wasaliti hawastahili kuishi kisa tuu wanapinga mfumo wake wa uongozi.

yaan wanatekwa wanapotezwa wanapigwa risasi mchana kweupe bila hata haya harafu nikushangilie nitakua mwehu.

kwangu mm uzima ni bora kuliko maendeleo japo nayo hayapo. kunamaendeleo ya matangazo tu ila maendeleo halisi hakuna.

membe simkubalu kabisa maana naye anaonekana ni wa visasi. aliwahi kusema akishika urais watu 11 wajiandae kukimbia nchi. so naye ni wale wale. so mm nitachochea. huu moto ili uko mbele nitafute pa kupenyea na kushika madaraka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…