Nimetimiza miaka 10 ya ulevi, leo 9 octoba ni maadhimisho - JamiiForumsHabari wakuu
Kutokana na hali inavyoenda ya uendeshaji wa nchi ni wazi rais anatakiwa abadilishwe kupitia sanduku la kura mwaka 2020
Hivyo sisi watanzania tunapenda na tunatamani kusikia sauti ya kiongozi wetu mpendwa mwenye nia ya kulivusha taifa kwa hapa lilipokwamia, ndugu, mheshimiwa na mwanadiplomasia Benard Membe
Jitokeze wazi tusikie kauli yako watanzania tufarijike kwani mwaka 2020 ni jirani sana
Nawasilisha
Huku upinzani kwa sasa vimebaki vitoto vilivyotoka chuo visivyojua kutafuta pesa kwa nguvu zao zaidi.ya ajira serikalini na kudanga vina muda mwingi wa kushinda kwenye mitandao na kutukana havina hoja zaidi ya viroja.Naona kama mnajifurahisha, yaani naona kama Maigizo, watu na akili zenu mnakaa mnadanganyana Membe anaenda kuchukua nchi 2020.
Mimi na akili zangu za kuvukia barabara nauliza ATAPITIA NJIA GANI?
Ndani ya CCM , Mwenyekiti ndiye mgombea urais na ndiye mwenye sauti ya mwisho ,
Kupitia Upinzani ,ndio kabisa hawezi kushinda , Tuliona kwa LOWASSA,.
Labda kama ana hela za kuchezea,
Kupitia Uhaini, hapa atadakwa mapema sana..
NAWAULIZA NYIE MLIOKULA HELA ZAKE NA KUTUMWA MITANDAONI , MNAJUA ATAKUWA RAIS KWA NJIA GANI?
Mtuambie, sio mnasumbua mitandaoni lakini hamtuambii atapitia njia gani , ya golgotha au kaanani,
JIWE ameshajizatiti ana JESHI, TISS, UHAMIHAJI, POLIS , TUME YA UCHAGUZI,N.K
MEMBE ana nini? Au anataka kuliwa hela zake kama Lowassa?
Bora mwizi kuliko jambazi(roho mbaya)
Ni bora hao wanaodokoa kidogo kuliko wanaokomba kabisa ,na kutishia wanaohoji juu ya ulafi wao kama kakikundi
Nchi hii hakuna aliye msafi labda Nyerere tu the rest ni wale wale
Probably fighting common enemyNimecheka Sana hii combination ya Chadema na ccm haijawahi tokea kweli Membe for presidence
Nini kimetokea kwa elimu yangu hapa nimetoka kapa kabisa labda ikifika kesho Jtatu nitajua maana Leo Jpili
Kweli siasa ya science Huu upendo na kupendana kwa ccm na Chadema nini kimetokea?
Toka Jana umeanza kutoa michango ya mtu mwenye akili timamu sijui kesho utakuwaje
Una uhakika na ulisemalo jamaa keshajidhatiti kaweka watu wake watiifu kila kona Mabeyo Sirro hao ni wawili hivi unafikiri Jpm HajuiMembe ana hao uliowataja nusu ya mkuu,mkuu anao kwa sababu ni mkuu.
Kuna baadhi ya watu hawampendi na kuna baadhi ya watu wanampenda upo hapoJiwe ajue kuwa watu wamemchoka, hilo tu linatosha