Uchaguzi 2020 Urais wa CHADEMA moto: Kampeni zaanza kwa kishindo, Msigwa na Lissu hapatoshi !

Uchaguzi 2020 Urais wa CHADEMA moto: Kampeni zaanza kwa kishindo, Msigwa na Lissu hapatoshi !

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Msigwa 2020. Mwelekeo Sahihi. - 2020 - TukoTayari - InyesheMvua- LiwakeJua ( 640 X 640 ).jpg


Instagram media - CBIVmPbniKS ( 526 X 640 ).jpg


Hakika Chadema ni chama cha kupigiwa mfano , unaambiwa kila kambi imejipanga vilivyo hasa , Kambi ya Mh Msigwa ambaye ni Mwenyekiti wa Kanda yangu ya Nyasa inapepetana vikali sana na kambi ya Mh Tundu Lissu , ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa

Tayari kampeni nzito imeanza , bali zinaendeshwa kistaarabu na kwa amani kubwa sana ! Nawahakikishia Wanachadema na Watanzania wote kwamba kwenye kampeni za Chadema hakuna atakayetekwa , kutishwa ama kupotea .

Mungu ibariki Chadema .
 
Yaani seriously Msigwa mkwe sijui shemeji ya Magufuli asimame wapingane??? Huyuhuyu aliyelipiwa faini magereza? Au ni bosheni tu?

Je Tundu Lissu amepona? Anauwezo wa kufanya kampeni? Au ndio zuga nayo tu ili mradi mtu asimame?

Anyway napita tu
 
Yaani seriously Msigwa mkwe sijui shemeji ya Magufuli asimame wapingane??? Huyuhuyu aliyelipiwa faini magereza? Au ni bosheni tu?

Je Tundu Lissu amepona? Anauwezo wa kufanya kampeni? Au ndio zuga nayo tu ili mradi mtu asimame?

Anyway napita tu
Bora upite tu maana kiukweli hueleweki
 
Mkuu Msigwa hatoshi hatoshi hatoshi hata theluthi kuwa Rais.

Mh. Lissu hafai hata kidogo kupewa cheo kikuubwa zaidi ya kuwa Mwanasheria Mkuu wa serikali yenu mtakayoiunda.

Mh. Rais na mh. Lissu tofauti yao ni ndogo sana hata kiwatokacho midomoni mwao.

Msiwe na haraka mtafuteni mwenye hekima na busara ndani yenu mtampata.

#KIKOSI_maalumu_CHA_MATUSI_karibuni
 
Mkuu Msigwa hatoshi hatoshi hatoshi hata theluthi kuwa Raisi.

Mh. Lissu hafai hata kidogo kupewa cheo kikuubwa zaidi ya kuwa Mwanasheria Mkuu wa serikali yenu mtakayoiunda.

Mh. RAISI NA MH. LISSU tofauti yao ni ndogo sana hata kiwatokacho midomoni mwao.

Msiwe na haraka mtafuteni mwenye hekima na busara ndani yenu mtampata.

#KIKOSI_maalumu_CHA_MATUSI_karibuni
Hivi kama Magufuli kaweza kuwa Rais kuna mtanzania yeyote atashindwa ? muogope Mungu mjomba
 
Yaani seriously Msigwa mkwe sijui shemeji ya Magufuli asimame wapingane??? Huyuhuyu aliyelipiwa faini magereza? Au ni bosheni tu?

Je Tundu Lissu amepona? Anauwezo wa kufanya kampeni? Au ndio zuga nayo tu ili mradi mtu asimame?

Anyway napita tu
Una uhakika alilipiwa?
 
View attachment 1471045

View attachment 1471046

Hakika Chadema ni chama cha kupigiwa mfano , unaambiwa kila kambi imejipanga vilivyo hasa , Kambi ya Mh Msigwa ambaye ni Mwenyekiti wa Kanda yangu ya Nyasa inapepetana vikali sana na kambi ya Mh Tundu Lissu , ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa

Tayari kampeni nzito imeanza , bali zinaendeshwa kistaarabu na kwa amani kubwa sana ! Nawahakikishia Wanachadema na Watanzania wote kwamba kwenye kampeni za Chadema hakuna atakayetekwa , kutishwa ama kupotea .

Mungu ibariki Chadema .
Hapo bado Mbowe hajabadili gia angani!
 
Back
Top Bottom