Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,120
- 24,667
Sheikh Yahaya kafufuka au utabiri huu kautolea kaburini?
Halafu usipotoshe, Magufuli hajamlipia faini Msigwa. Alijileta kutaka kumlipia lakini wanachadema ndio walio mlipia kupitia vijisenti vyao.
Mkuu, si mambo ya Sheikh!
Mwenendo na matendo tu!
Ina maana mkuu hukuwaona akina Selasini na Komu walivyokuwa wamebadilika?
Zipo ishara tu, zinazoweza kutumika na kuonesha muelekeo wa mtu flani katika siasa wakati flani!
Kuhusu hilo la Magufuli kumlipia, ni kweli cdm walilipa kwa ile michango n.k ndipo ikatoka taarifa kuwa Magufuli kamlipia baada ya familia yake kuwasiliana nae kuomba msaada! Sasa ni nani alikuwa anajua kabla kuwa familia yake na Magufuli walikuwa wakiwasilana kwa ajili ya ule msaada!?
...Yapo mengi nyuma ya pazia mkuu!
Hata akina polepole walipokwenda na yale mashangingi yao amini kuwa kabla kuna mambo yaliyokuwa yameshapangwa!