Uchaguzi 2020 Urais wa CHADEMA moto: Kampeni zaanza kwa kishindo, Msigwa na Lissu hapatoshi !

Uchaguzi 2020 Urais wa CHADEMA moto: Kampeni zaanza kwa kishindo, Msigwa na Lissu hapatoshi !

Naona masalia ya corona bado yanasumbua kwa kichwa

Ha ha ha

Yawezekana.

Ila kutopokea maoni ni upuuzi zaidi.

But anyway

CCM itaendelea kushinda na upinzani tutaendelea kulia tunaibiwa kura.
 
sasa unaogopa nini ?
Mzee mzima unamtishia nyau, Ngoma ya watoto haikeshi, acha mitoto icheze, Gombe sugu linakuja na Midundo ya ukweli likianza Chama cha Mbowe mtaanza kupoteana na muanze kelele za kitoto, oohh katiba, ooohh tume huru, ooohh Lisu kaumizwa na talalila nyingi zisizoisha. Mwamba muda si mrefu atarudi kwenye Disco na Ufipa mtapagawana.
 
Mzee mzima unamtishia nyau, Ngoma ya watoto haikeshi, acha mitoto icheze, Gombe sugu linakuja na Midundo ya ukweli likianza Chama cha Mbowe mtaanza kupoteana na muanze kelele za kitoto, oohh katiba, ooohh tume huru, ooohh Lisu kaumizwa na talalila nyingi zisizoisha. Mwamba muda si mrefu atarudi kwenye Disco na Ufipa mtapagawana.
Sasa wewe unaogopa nini ?
 
Mjiandae kisaikolojia maana wote mtaozea Guantanamo
Mzee mzima unamtishia nyau, Ngoma ya watoto haikeshi, acha mitoto icheze, Gombe sugu linakuja na Midundo ya ukweli likianza Chama cha Mbowe mtaanza kupoteana na muanze kelele za kitoto, oohh katiba, ooohh tume huru, ooohh Lisu kaumizwa na talalila nyingi zisizoisha. Mwamba muda si mrefu atarudi kwenye Disco na Ufipa mtapagawana.
 
Hili bango kaandika msigwa mwenyewe au maana haya kingereza hajui,chadema mko low sana maana elimu zenu wote hazijulikani,nizakuunga unga kwa super glue tu

Hapa alitakiwa aandika msigwa for presidency sio msigwa for President, ni bora kutumia lugha ya taifa kuliko kujiaibisha namna hiiView attachment 1471336

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app

Ushauri mzuri. Ni bora kutumia kiswahili pale elimu inapokuwa ya kuunga unga. Chadema wako low sana, nakuunga 'mkonyo' hoja

 
Sasa mkuu hiyo kichwa box ya miga ndio uipeleke mtaani,hata kura za wendawazimu wenzie wa milembe apati.
Sasa msikilize hapa Tundu kwa uchache tuu kisha nitafutie mtu mmoja tuu ndani ya CCM awezaye kupangua hoja kwa umakini kama yeye. Nasema mmoja tuu.
Umakini wa akili katika mazingira magumu kama hayo aliyokuwa anakumbana nayo hapo ikiwa ni pamoja na kupigiwa kelele ni ishara kubwa kuwa ni kiongozi makini hata akikutana na vikwazo.
Hivi huyu aliyepo anaweza hayo?

 
Ni suala la muda tu!

Mbunge wa Iringa Mjini Mh. Peter Msigwa ametangaza nia ya kuwania nafasi ya urais kwa mwaka huu 2020 utakaofanyika mwezi Oktoba!

Hiyo ni haki yake kimsingi kabisa na kikatiba ikizingatiwa kuwa vigezo vyote vilivyotajwa na katiba ametimiza!
Ni jambo la kupendeza sana na kupongezwa, na ninaamni wapo wengine wengi watajitokeza na wengine tayari wamekwisha jitokeza kuwania nafasi hiyo!

Na ndiyo demokrasia ya kweli inavyotakiwa!

Kutokana na nia yake hiyo aliyoionyesha, kamati itachuja wote watakaokuwa wanechukua fomu, lakini ni wazi kuwa siyo rahisi kwa Msigwa kupitishwa kuwania nafasi hiyo!

Hapo ndipo atakapogeuka na kubadili upepo wa kuhamia chama kingine ambapo pia ni haki yake kikatiba!

Lakini, hapo bila shaka ataanza kuinanga CHADEMA kama alivyofanya Lijuakali pasipo kutambua namna chama kilivyomtoa mbali na kumuamini!

Ikumbukwe, hivi majuzi tu Msigwa alitoka hadharani na kumuomba msamaha aliyekuwa katibu mkuu wa CCM, ndugu A. Kinana baada ya kushindwa kuthibitisha madai aliyomtupia kuwa alikuwa akifanya biashara haramu ya nyara za serikali!

Ni nani ambaye alikuwa anaamini ipo siku Msigwa atajitokeza hadharani na kuomba msamaha baada ya kumtupia maneno hayo ambayo yalipelekea kufunguliwa kesi kisha akashindwa?

Lakini pia Mh. Rais Magufuli aliweza kumlipia zile faini ambazo zilikuwa mbadala wa kifungo, iweje sasa aje apambane nae ulingoni katika kuwania hiyo nafasi!?[emoji23][emoji848]

Lipo jambo, muda utanena!
 
Roho, akili na Moyo wa Msigwa upo CCM kabisa, sema upinzani amewekeza mwili tu.
 
Sheikh Yahaya kafufuka au utabiri huu kautolea kaburini?
Halafu usipotoshe, Magufuli hajamlipia faini Msigwa. Alijileta kutaka kumlipia lakini wanachadema ndio walio mlipia kupitia vijisenti vyao.
 
Back
Top Bottom