Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Eti kwa Kiingereza ili mabeberu "wamsikilize". Huyu limbukeni bado hajajifunza tu?
Wewe na Lissu nani limbukeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti kwa Kiingereza ili mabeberu "wamsikilize". Huyu limbukeni bado hajajifunza tu?
Lissu.Wewe na Lissu nani limbukeni
Kwa hiyo kesho Lisu atatembeza bakuli?Mnapotembeza bakuli huwa mnawaimbia kwa kimatumbi cha kwenu?
Lisu limbukeniWewe na Lissu nani limbukeni
Alafu ako kamsemo umekakazania,mwee.
Mbona comment zako leo unaonyesha kama mtu mwenye imana sana.
Wewe ni ostaz wa msikiti upi?
Inamaana leo Chadema unaikana asubuhi hata apajakuchwa vizuri ?
Hii ngoma ingekuwa tamu sana mwisho wa siku kama mgombea wa CCM angekuwa Makamu mwenyekiti wao Bwana Philip Mangula na Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bwana Tundu Lissu.Mwisho vyote vinakuwa kazi bure.
JPM again 2020-2025.
Naona idadi ya malinbukeni inazidi kuongezekaLisu limbukeni
Ulikuwa bado ujazaliwa kaa kimya.Aligombea ndo maana akaukwaa tena uenyekiti wa chadema..ninyi magufuri aligombea na Nani?
Unaharisha au, au umeamua kucoment tu kuonyesha upimbi wakoUlikuwa bado ujazaliwa kaa kimya.
Sasa mkuu hiyo kichwa box ya miga ndio uipeleke mtaani,hata kura za wendawazimu wenzie wa milembe apati.Hii ngoma ingekuwa tamu sana mwisho wa siku kama mgombea wa CCM angekuwa Makamu mwenyekiti wao Bwana Philip Mangula na Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bwana Tundu Lissu.
Na mabango yao mitaani yangependeza sana na kufahamisha umma ni watu wa aina gani hata kabla ya kuongea. [emoji3][emoji3]View attachment 1471333
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii ngoma ingekuwa tamu sana mwisho wa siku kama mgombea wa CCM angekuwa Makamu mwenyekiti wao Bwana Philip Mangula na Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bwana Tundu Lissu.
Na mabango yao mitaani yangependeza sana na kufahamisha umma ni watu wa aina gani hata kabla ya kuongea. [emoji3][emoji3]View attachment 1471333
View attachment 1471045
View attachment 1471046
Hakika Chadema ni chama cha kupigiwa mfano , unaambiwa kila kambi imejipanga vilivyo hasa , Kambi ya Mh Msigwa ambaye ni Mwenyekiti wa Kanda yangu ya Nyasa inapepetana vikali sana na kambi ya Mh Tundu Lissu , ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa
Tayari kampeni nzito imeanza , bali zinaendeshwa kistaarabu na kwa amani kubwa sana ! Nawahakikishia Wanachadema na Watanzania wote kwamba kwenye kampeni za Chadema hakuna atakayetekwa , kutishwa ama kupotea .
Mungu ibariki Chadema .
Kwenu bcAtagombea urais wa nchi gani, ubelgiji? Au atakuwa anagombea huko Kenya?
Una matatizo weweHii ngoma ingekuwa tamu sana mwisho wa siku kama mgombea wa CCM angekuwa Makamu mwenyekiti wao Bwana Philip Mangula na Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bwana Tundu Lissu.
Na mabango yao mitaani yangependeza sana na kufahamisha umma ni watu wa aina gani hata kabla ya kuongea. [emoji3][emoji3]View attachment 1471333
Utajibiwa kiheshima kama na wewe una lugha za heshima, tunaelewana? Waambie hao jamaa wajifunze kutumia lugha za staha tafadhali.Achana nao endelea na lugha ya heshima. Hakuna unacho pungukiwa sana unaboresha heshima yako.