Uchaguzi 2020 Urais wa CHADEMA moto: Kampeni zaanza kwa kishindo, Msigwa na Lissu hapatoshi !

Uchaguzi 2020 Urais wa CHADEMA moto: Kampeni zaanza kwa kishindo, Msigwa na Lissu hapatoshi !

Nmekwambia acha kudandia gari kama danga mwenzio huyo,mie cchukui madanga ndugu wake wangu wawili wananitosha
Basi yameisha.
Lakini mimi nilikuwa nataka nikupige nyungu tu.ila kama utaki basi yameisha.
 
Alah!nashukuru kama umeelewa nyie ndio mliohamasishwa kupigwa nyungu hongeren angalia tu ucje babuka tutakukosa hapa jamvin
Basi yameisha.
Lakini mimi nilikuwa nataka nikupige nyungu tu.ila kama utaki basi yameisha.
 
Alah!nashukuru kama umeelewa nyie ndio mliohamasishwa kupigwa nyungu hongeren angalia tu ucje babuka tutakukosa hapa jamvin
Mbona hata mbowe kapiga nyungu bwashee.Nyungu ni tiba ya uhakika kama huna maradhi mengine yasiyopatana na nyungu kama pumu,sugar n.k
 
Demokrasia YA CHADEMA inawatesa Wapambe wa MAGUFULI.
Uvumilivu Lumumba kwa NDULI ni wa mashaka mashaka sana.
 
Sawa,hongera yake huenda amefuata ushauri wa Boss Jaff
Jamaa nakushauri kitu flani.
Baki na misimamo yako ya chama ila muunge mkono mzee baba magufenga.

Hamna kitu utapoteza jamaa.hivi huna macho ukaona?au hata masikio ukasikia jombaa?.Embu toa takataka kichwani bwashee.
 
View attachment 1471045

View attachment 1471046

Hakika Chadema ni chama cha kupigiwa mfano , unaambiwa kila kambi imejipanga vilivyo hasa , Kambi ya Mh Msigwa ambaye ni Mwenyekiti wa Kanda yangu ya Nyasa inapepetana vikali sana na kambi ya Mh Tundu Lissu , ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa

Tayari kampeni nzito imeanza , bali zinaendeshwa kistaarabu na kwa amani kubwa sana ! Nawahakikishia Wanachadema na Watanzania wote kwamba kwenye kampeni za Chadema hakuna atakayetekwa , kutishwa ama kupotea .

Mungu ibariki Chadema .
Kikubwa ni demokrasia zaidi ya hapo hakuna Raisi hapo
 
Mkuu Msigwa hatoshi hatoshi hatoshi hata theluthi kuwa Rais.

Mh. Lissu hafai hata kidogo kupewa cheo kikuubwa zaidi ya kuwa Mwanasheria Mkuu wa serikali yenu mtakayoiunda.

Mh. Rais na mh. Lissu tofauti yao ni ndogo sana hata kiwatokacho midomoni mwao.

Msiwe na haraka mtafuteni mwenye hekima na busara ndani yenu mtampata.

#KIKOSI_maalumu_CHA_MATUSI_karibuni
Magufuli alikuwa na qualities zipi za kuwa rais? outstanding ones? Msigwa ana reasoning ya hali ya juu! Ana reasoned decision . Afterall akiwa Rais anazungukwa na wataalamu wa kumpa njia ya kupita. Anazitafakari, then ana decide!
 
Ndugu yangu mie namshukuru Allah alienipa japo ufahamu kdogo,cwez kuwa mtumwa ktk dunia hii tumia akili yako ktk siasa na wala uctumie siasa ktk akili yako utavurugwa.
Pia nikushaur tu hii dunia n mapto tu hakuna anaetakiwa kuabudiwa icpokuwa Allah pekee.
Pia jifunze kuheshimu watu itakusaidia,huwez niambia nmeweka takataka ktk kichwa changu na kujiona ww kama special fulan hv
Jamaa nakushauri kitu flani.
Baki na misimamo yako ya chama ila muunge mkono mzee baba magufenga.

Hamna kitu utapoteza jamaa.hivi huna macho ukaona?au hata masikio ukasikia jombaa?.Embu toa takataka kichwani bwashee.
 
Ndugu yangu mie namshukuru Allah alienipa japo ufahamu kdogo,cwez kuwa mtumwa ktk dunia hii tumia akili yako ktk siasa na wala uctumie siasa ktk akili yako utavurugwa.
Pia nikushaur tu hii dunia n mapto tu hakuna anaetakiwa kuabudiwa icpokuwa Allah pekee.
Pia jifunze kuheshimu watu itakusaidia,huwez niambia nmeweka takataka ktk kichwa changu na kujiona ww kama special fulan hv
Aisee umeandika kwa uchungu mkubwa moyoni.Mpaka huruma.
 
Halafu nikusaidie kitu cjawah kuwa mwanachama wa chama chochote kile,ila cwez furahia bnaadamu mwenzangu apewe mateso,madhila,manyanyaso na kufnyiwa ukatili kisha nikashangilia,huo n zaid ya ushetan.
Jamaa nakushauri kitu flani.
Baki na misimamo yako ya chama ila muunge mkono mzee baba magufenga.

Hamna kitu utapoteza jamaa.hivi huna macho ukaona?au hata masikio ukasikia jombaa?.Embu toa takataka kichwani bwashee.
 
Magufuli alikuwa na qualities zipi za kuwa rais? outstanding ones? Msigwa ana reasoning ya hali ya juu! Ana reasoned decision . Afterall akiwa Rais anazungukwa na wataalamu wa kumpa njia ya kupita. Anazitafakari, then ana decide!
andiko bomba kabisa !
 
Jionee huruma mwenyew namshukuru Allah amenijalia kipato,huku nikiwa na wake wawili na watt cta wakiishi kwa furaha na amani
Alafu ako kamsemo umekakazania,mwee.
Mbona comment zako leo unaonyesha kama mtu mwenye imana sana.
Wewe ni ostaz wa msikiti upi?
 
Halafu nikusaidie kitu cjawah kuwa mwanachama wa chama chochote kile,ila cwez furahia bnaadamu mwenzangu apewe mateso,madhila,manyanyaso na kufnyiwa ukatili kisha nikashangilia,huo n zaid ya ushetan.
Inamaana leo Chadema unaikana asubuhi hata apajakuchwa vizuri ?
 
Back
Top Bottom