Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Binuka halafu uchojoe huku ukibinya pua.Yaan kwa kuwa wanakubinua huko lumumba watafuta washirika?mtafute mwenzio mwingne bia yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binuka halafu uchojoe huku ukibinya pua.Yaan kwa kuwa wanakubinua huko lumumba watafuta washirika?mtafute mwenzio mwingne bia yao
Tatizo liko wapi?
Muuliju ktk ubora wakoBinuka halafu uchojoe huku ukibinya pua.
Bado tu unanibinyia pua?Yaa Muuliju ktk ubora wako
Bado tu unanibinyia pua?
Hata mimi bado sijamuelewa kabisa !Sijakuelewa
unaambiwa ni Hatari !
Huchoki kunibinyia pua?Ww huyu n mume mwenye wake wawil na watt cta bdo fursa ipo kama utakidhi qualifications
Mkuu achana naye huyo , lengo lake kuvuruga uzi huu , wakiishiwa hoja hufanya hivi siku zoteWw huyu n mume mwenye wake wawil na watt cta bdo fursa ipo kama utakidhi qualifications
Acha uzushi sema kweli.Ww huyu n mume mwenye wake wawil na watt cta bdo fursa ipo kama utakidhi qualifications
Matusi na uchawi ndio njia pekee ya Kapuku kujiliwazaAcha uzushi sema kweli.
Kaolewa ubelgiji anapigwa pumbu tu hana lolote bwabwa lile.
Urais kitu kidogo! kwanza wote wanajua wanapiga mbwembwe tu kututuintatain. - Hakuna mwenye ubavu hata wa kumtingisha JPM hapo.View attachment 1471045
View attachment 1471046
Hakika Chadema ni chama cha kupigiwa mfano , unaambiwa kila kambi imejipanga vilivyo hasa , Kambi ya Mh Msigwa ambaye ni Mwenyekiti wa Kanda yangu ya Nyasa inapepetana vikali sana na kambi ya Mh Tundu Lissu , ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa
Tayari kampeni nzito imeanza , bali zinaendeshwa kistaarabu na kwa amani kubwa sana ! Nawahakikishia Wanachadema na Watanzania wote kwamba kwenye kampeni za Chadema hakuna atakayetekwa , kutishwa ama kupotea .
Mungu ibariki Chadema .
Sio lazima "ndani yetu" Kwani Membe ameshaingia ndani?Mkuu Msigwa hatoshi hatoshi hatoshi hata theluthi kuwa Rais.
Mh. Lissu hafai hata kidogo kupewa cheo kikuubwa zaidi ya kuwa Mwanasheria Mkuu wa serikali yenu mtakayoiunda.
Mh. Rais na mh. Lissu tofauti yao ni ndogo sana hata kiwatokacho midomoni mwao.
Msiwe na haraka mtafuteni mwenye hekima na busara ndani yenu mtampata.
#KIKOSI_maalumu_CHA_MATUSI_karibuni
Acha uzushi sema kweli.
Kaolewa ubelgiji anapigwa pumbu tu hana lolote bwabwa lile.
Magufuli ana nini cha kupigiwa mfano na kuogopesha watu ?Urais kitu kidogo! kwanza wote wanajua wanapiga mbwembwe tu kututuintatain. - Hakuna mwenye ubavu hata wa kumtingisha JPM hapo.
KUTEKWA na KUPOTEZANA ni kwenye uenyekiti tu.
Huchoki kunibinyia pua?
Jazba mpaka unakosea kuandika.Ww ucdandie gar kwa mbele mwache alieanzisha matuc amalize,vp mbna watafuta bwana kwa nguvu hvyo?muache mwenyew aje kujibu nguchiro we
Anatakiwa awe kama bob wine aje asiogope.aja aongelee TZ sio kuongelea kwa mabeberu.Matusi na uchawi ndio njia pekee ya Kapuku kujiliwaza