Uchaguzi 2020 Urais wa CHADEMA moto: Kampeni zaanza kwa kishindo, Msigwa na Lissu hapatoshi !

Uchaguzi 2020 Urais wa CHADEMA moto: Kampeni zaanza kwa kishindo, Msigwa na Lissu hapatoshi !

Twende JPM TWENDEEE MUHESHIMIWA kundi kubwa linayaelewa yote unayofanya ila linajipofusha.

2020 sio Membe twende na Msigwa au Mh. lissu.


Jpm aliweza kwanini hawa washindwe tupo tayari kupigia kura MWAMBA na JPM

#MIXER
 
Mnapenda sana kujisifu, campaign gani, uchaguzi utafanywa na secretariat yenu, mnataitisha kamati kuu na mtafanya mkutano na kumchagua mpeperusha Bendera wenu.

Hao wagombea itabidi wawashawishi hao mamia ya wana bodi ili wawape kura zao, atakayeshinda ni yule atakayepata kura nyingi.

Mleta mada, katufute nyumbu wa kuwaswaga na huo uongo wenu.
 
Mnapenda sana kujisifu, campaign gani, uchaguzi utafanywa na secretariat yenu, mnataitisha kamati kuu na mtafanya mkutano na kumchagua mpeperusha Bendera wenu.

Hao wagombea itabidi wawashawishi hao mamia ya wana bodi ili wawape kura zao, atakayeshinda ni yule atakayepata kura nyingi.

Mleta mada, katufute nyumbu wa kuwaswaga na huo uongo wenu.
Sijakuelewa
 
Mnapenda sana kujisifu, campaign gani, uchaguzi utafanywa na secretariat yenu, mnataitisha kamati kuu na mtafanya mkutano na kumchagua mpeperusha Bendera wenu.

Hao wagombea itabidi wawashawishi hao mamia ya wana bodi ili wawape kura zao, atakayeshinda ni yule atakayepata kura nyingi.

Mleta mada, katufute nyumbu wa kuwaswaga na huo uongo wenu.


Mkuu amekuja kupima upepo kati ya mh. Lissu na msigwa nan anafiti kupeperusha bendera ya uraisi ndan ya Chadema akikusanya maoni kama hivi ndipo kamati yao ianze kuyachambua.
 
Kumbe ni urais wa chadema sio Tanzania? Endeleeni
FB_IMG_1591384155354.jpg
 
View attachment 1471045

View attachment 1471046

Hakika Chadema ni chama cha kupigiwa mfano , unaambiwa kila kambi imejipanga vilivyo hasa , Kambi ya Mh Msigwa ambaye ni Mwenyekiti wa Kanda yangu ya Nyasa inapepetana vikali sana na kambi ya Mh Tundu Lissu , ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa

Tayari kampeni nzito imeanza , bali zinaendeshwa kistaarabu na kwa amani kubwa sana ! Nawahakikishia Wanachadema na Watanzania wote kwamba kwenye kampeni za Chadema hakuna atakayetekwa , kutishwa ama kupotea .

Mungu ibariki Chadema .
Changa la macho!
 
Back
Top Bottom