okiwira
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,856
- 3,003
Jipangeni nyie watuMeko alitosha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jipangeni nyie watuMeko alitosha?
Haahaa, jamaa wanajiogopa mpaka wenyewe.[emoji3] au ndio jiwe kuu la pembeni
Haha hahaha hahaha Basi kituliMkuu Kuna miili ya kuuita nduli sio ule...
Haahaa, washirikisheni wanachama wenu waamue.fungueni milango watu wajimwage.Magu anatosha☆
SijakuelewaMnapenda sana kujisifu, campaign gani, uchaguzi utafanywa na secretariat yenu, mnataitisha kamati kuu na mtafanya mkutano na kumchagua mpeperusha Bendera wenu.
Hao wagombea itabidi wawashawishi hao mamia ya wana bodi ili wawape kura zao, atakayeshinda ni yule atakayepata kura nyingi.
Mleta mada, katufute nyumbu wa kuwaswaga na huo uongo wenu.
CCM Kuna nduli, hamna mtu mwingine kugombea urais
Mwisho vyote vinakuwa kazi bure.
JPM again 2020-2025.
Mnapenda sana kujisifu, campaign gani, uchaguzi utafanywa na secretariat yenu, mnataitisha kamati kuu na mtafanya mkutano na kumchagua mpeperusha Bendera wenu.
Hao wagombea itabidi wawashawishi hao mamia ya wana bodi ili wawape kura zao, atakayeshinda ni yule atakayepata kura nyingi.
Mleta mada, katufute nyumbu wa kuwaswaga na huo uongo wenu.
Kumbe ni urais wa chadema sio Tanzania? Endeleeni
Sio kweli bhanaMkuu amekuja kupima upepo kati ya mh. Lissu na msigwa nan anafiti kupeperusha bendera ya uraisi ndan ya Chadema akikusanya maoni kama hivi ndipo kamati yao ianze kuyachambua.
Pascal anajidharirisha sanaaaKaribu sana mkuu , vipi kampeni ya Pascal kuzima Twitter imefanikiwa ?
Sio kweli bhana
Changa la macho!View attachment 1471045
View attachment 1471046
Hakika Chadema ni chama cha kupigiwa mfano , unaambiwa kila kambi imejipanga vilivyo hasa , Kambi ya Mh Msigwa ambaye ni Mwenyekiti wa Kanda yangu ya Nyasa inapepetana vikali sana na kambi ya Mh Tundu Lissu , ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa
Tayari kampeni nzito imeanza , bali zinaendeshwa kistaarabu na kwa amani kubwa sana ! Nawahakikishia Wanachadema na Watanzania wote kwamba kwenye kampeni za Chadema hakuna atakayetekwa , kutishwa ama kupotea .
Mungu ibariki Chadema .
Kvp mkuuChanga la macho!
Kwa jirani kunateketeaCCM Kuna nduli, hamna mtu mwingine kugombea urais
Eti kwa Kiingereza ili mabeberu "wamsikilize". Huyu limbukeni bado hajajifunza tu?