Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
😆😆😆😆ccm leteni na postaz za wagombea wenu wa nafas za urais bc [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆😆ccm leteni na postaz za wagombea wenu wa nafas za urais bc [emoji23][emoji23]
Yule mama wapi?View attachment 1471045
View attachment 1471046
Hakika Chadema ni chama cha kupigiwa mfano , unaambiwa kila kambi imejipanga vilivyo hasa , Kambi ya Mh Msigwa ambaye ni Mwenyekiti wa Kanda yangu ya Nyasa inapepetana vikali sana na kambi ya Mh Tundu Lissu , ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa
Tayari kampeni nzito imeanza , bali zinaendeshwa kistaarabu na kwa amani kubwa sana ! Nawahakikishia Wanachadema na Watanzania wote kwamba kwenye kampeni za Chadema hakuna atakayetekwa , kutishwa ama kupotea .
Mungu ibariki Chadema .
Mkuu Msigwa hatoshi hatoshi hatoshi hata theluthi kuwa Rais.
Mh. Lissu hafai hata kidogo kupewa cheo kikuubwa zaidi ya kuwa Mwanasheria Mkuu wa serikali yenu mtakayoiunda.
Mh. Rais na mh. Lissu tofauti yao ni ndogo sana hata kiwatokacho midomoni mwao.
Msiwe na haraka mtafuteni mwenye hekima na busara ndani yenu mtampata.
#KIKOSI_maalumu_CHA_MATUSI_karibuni
Mkuu Kuna miili ya kuuita nduli sio ule...CCM Kuna nduli, hamna mtu mwingine kugombea urais
Nilishawaambia mapema ile nafasi wangempa mh zitto kabwe wao wakasimamisha wabungeMkuu Msigwa hatoshi hatoshi hatoshi hata theluthi kuwa Rais.
Mh. Lissu hafai hata kidogo kupewa cheo kikuubwa zaidi ya kuwa Mwanasheria Mkuu wa serikali yenu mtakayoiunda.
Mh. Rais na mh. Lissu tofauti yao ni ndogo sana hata kiwatokacho midomoni mwao.
Msiwe na haraka mtafuteni mwenye hekima na busara ndani yenu mtampata.
#KIKOSI_maalumu_CHA_MATUSI_karibuni
Mkuu usicheke, wkt wanawaponda wagombea wetu na sisi tuwaombe na wao watuletee wagombea wao ili tuwajaji...ccm tafadhari sana leteni bc...au mnamuogopa mfalme mangungo???[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
bado hajaanza kampeni , akianza tutamuwekaYule mama wapi?
Mkuu wa miujiza ni MUNGU PEKEE,Msigwa hatoshi kua rais akiwa anaongea unawedha kudhani ni mtu smart sana kumbe ni mweupe Lissu anaweza kutufaa kutengeneza mifumo mizuri ya utoaji haki
All in all hakuna ataeshinda kwa mazingira yaliyopo.
Aligombea ndo maana akaukwaa tena uenyekiti wa chadema..ninyi magufuri aligombea na Nani?Uenyekiti chadema taifa Ni wa Mbowe tu huko Kwingine ruksa yeyote kugombea
Naamini kama jpm ameweza,vwote wanawezaMkuu Msigwa hatoshi hatoshi hatoshi hata theluthi kuwa Rais.
Mh. Lissu hafai hata kidogo kupewa cheo kikuubwa zaidi ya kuwa Mwanasheria Mkuu wa serikali yenu mtakayoiunda.
Mh. Rais na mh. Lissu tofauti yao ni ndogo sana hata kiwatokacho midomoni mwao.
Msiwe na haraka mtafuteni mwenye hekima na busara ndani yenu mtampata.
#KIKOSI_maalumu_CHA_MATUSI_karibuni
Nakubaliana nawe 100% kwa sababu mazingira na uwanja wa uchaguzi siyo "level". Uko "biased".Mwisho vyote vinakuwa kazi bure.
JPM again 2020-2025.
Hiki ni kituko...🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 1471045
View attachment 1471046
Hakika Chadema ni chama cha kupigiwa mfano , unaambiwa kila kambi imejipanga vilivyo hasa , Kambi ya Mh Msigwa ambaye ni Mwenyekiti wa Kanda yangu ya Nyasa inapepetana vikali sana na kambi ya Mh Tundu Lissu , ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa
Tayari kampeni nzito imeanza , bali zinaendeshwa kistaarabu na kwa amani kubwa sana ! Nawahakikishia Wanachadema na Watanzania wote kwamba kwenye kampeni za Chadema hakuna atakayetekwa , kutishwa ama kupotea .
Mungu ibariki Chadema .
[emoji3] au ndio jiwe kuu la pembeniHongereni, Kule ccm wanachama wamefungwa mikono marufuku kugusa fomu ya urais isipokuwa jiwe.
Hahahaa hawafurukuti kbsHongereni, Kule ccm wanachama wamefungwa mikono marufuku kugusa fomu ya urais isipokuwa jiwe.
Hivi kama Magufuli kaweza kuwa Rais kuna mtanzania yeyote atashindwa ? muogope Mungu mjomba
Ikitokea umeigusa ile fomu wanaku-benard membeHongereni, Kule ccm wanachama wamefungwa mikono marufuku kugusa fomu ya urais isipokuwa jiwe.
Ohoooooo !!Ikitokea umeigusa ile fomu wanaku-benard membe