Uchaguzi 2020 Urais wa CHADEMA moto: Kampeni zaanza kwa kishindo, Msigwa na Lissu hapatoshi !

Uchaguzi 2020 Urais wa CHADEMA moto: Kampeni zaanza kwa kishindo, Msigwa na Lissu hapatoshi !

View attachment 1471045

View attachment 1471046

Hakika Chadema ni chama cha kupigiwa mfano , unaambiwa kila kambi imejipanga vilivyo hasa , Kambi ya Mh Msigwa ambaye ni Mwenyekiti wa Kanda yangu ya Nyasa inapepetana vikali sana na kambi ya Mh Tundu Lissu , ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa

Tayari kampeni nzito imeanza , bali zinaendeshwa kistaarabu na kwa amani kubwa sana ! Nawahakikishia Wanachadema na Watanzania wote kwamba kwenye kampeni za Chadema hakuna atakayetekwa , kutishwa ama kupotea .

Mungu ibariki Chadema .
Yule mama wapi?
 
Meko alitosha?
Mkuu Msigwa hatoshi hatoshi hatoshi hata theluthi kuwa Rais.

Mh. Lissu hafai hata kidogo kupewa cheo kikuubwa zaidi ya kuwa Mwanasheria Mkuu wa serikali yenu mtakayoiunda.

Mh. Rais na mh. Lissu tofauti yao ni ndogo sana hata kiwatokacho midomoni mwao.

Msiwe na haraka mtafuteni mwenye hekima na busara ndani yenu mtampata.

#KIKOSI_maalumu_CHA_MATUSI_karibuni
 
Mkuu Msigwa hatoshi hatoshi hatoshi hata theluthi kuwa Rais.

Mh. Lissu hafai hata kidogo kupewa cheo kikuubwa zaidi ya kuwa Mwanasheria Mkuu wa serikali yenu mtakayoiunda.

Mh. Rais na mh. Lissu tofauti yao ni ndogo sana hata kiwatokacho midomoni mwao.

Msiwe na haraka mtafuteni mwenye hekima na busara ndani yenu mtampata.

#KIKOSI_maalumu_CHA_MATUSI_karibuni
Nilishawaambia mapema ile nafasi wangempa mh zitto kabwe wao wakasimamisha wabunge
 
Uenyekiti chadema taifa Ni wa Mbowe tu huko Kwingine ruksa yeyote kugombea
 
Msigwa hatoshi kua rais akiwa anaongea unawedha kudhani ni mtu smart sana kumbe ni mweupe Lissu anaweza kutufaa kutengeneza mifumo mizuri ya utoaji haki
All in all hakuna ataeshinda kwa mazingira yaliyopo.
Mkuu wa miujiza ni MUNGU PEKEE,
kama shetani aliweza fanya miujiza 2015, Mungu nae hachelewi wala hawahi
 
Mkuu Msigwa hatoshi hatoshi hatoshi hata theluthi kuwa Rais.

Mh. Lissu hafai hata kidogo kupewa cheo kikuubwa zaidi ya kuwa Mwanasheria Mkuu wa serikali yenu mtakayoiunda.

Mh. Rais na mh. Lissu tofauti yao ni ndogo sana hata kiwatokacho midomoni mwao.

Msiwe na haraka mtafuteni mwenye hekima na busara ndani yenu mtampata.

#KIKOSI_maalumu_CHA_MATUSI_karibuni
Naamini kama jpm ameweza,vwote wanaweza
 
View attachment 1471045

View attachment 1471046

Hakika Chadema ni chama cha kupigiwa mfano , unaambiwa kila kambi imejipanga vilivyo hasa , Kambi ya Mh Msigwa ambaye ni Mwenyekiti wa Kanda yangu ya Nyasa inapepetana vikali sana na kambi ya Mh Tundu Lissu , ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa

Tayari kampeni nzito imeanza , bali zinaendeshwa kistaarabu na kwa amani kubwa sana ! Nawahakikishia Wanachadema na Watanzania wote kwamba kwenye kampeni za Chadema hakuna atakayetekwa , kutishwa ama kupotea .

Mungu ibariki Chadema .
Hiki ni kituko...🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Eti Msigwa for president....kuna watu sio hata candidate materials...
 
Ni lini mtaacha kufanya wanachofanya CCM?

Kwa hiyo mnataka mtulete JPM mwingine kwa kuwa CCM wameweza?

Mkuu mko siriasi na Msigwa?
Angalau hata Mh. lissu ana point.


ILA YOTE KHERI KWANI UZURI HATAUMIA MMOJA KAMA LEO NA KESHO.

MITAJI TUPO HAPA


Hivi kama Magufuli kaweza kuwa Rais kuna mtanzania yeyote atashindwa ? muogope Mungu mjomba
 
Back
Top Bottom