Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Vyama , vyama, nadhani wanapesa za kuchezea, subirini 2025. Mwaka huu 2025 Magufuli atawapiga chini kwa aibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenu bc
sasa unaogopa nini ?Vyama , vyama, nadhani wanapesa za kuchezea, subirini 2025. Mwaka huu 2025 Magufuli atawapiga chini kwa aibu.
Nawe ni limbukeni vilevileNaona idadi ya malinbukeni inazidi kuongezeka
ccm Kama kweli mnajua ngoma ya watoto haikeshi bc acheni figisu zisizo na maana...leteni tume huru na uwanja wa kisiasa uwe sawa alaf muone nani ni mtoto??? Ninyi ndo watoto maana mnabebwa na vyombo vya dolaNgoma ya watoto haikeshi,acha mitoto icheze,ngoma ya wakubwa itakapoanza chadema mtapoteana,huu mwaka ndio mwisho wa saccos.
Upo mkuu?Wengine ukiota tu kama membe unafukuzwa vyama vingne viige mfano wa CHADEMA.
Kwani kwenye kampeni atakuwa anabebeshwa makarai ya zege? Au urais huu utapimwa kwa kiasi cha 'push ups' anazoweza kuzifanya mgombea?Je Tundu Lissu amepona? Anauwezo wa kufanya kampeni? Au ndio zuga nayo tu ili mradi mtu asimame?
Anyway napita tu
Duuuu umenikumbusha mbali sana enzi hizo tupo mstali wa mbele tunaimba Nduli lazima ang'oleweCCM Kuna nduli, hamna mtu mwingine kugombea urais
Mwisho vyote vinakuwa kazi bure.
JPM again 2020-2025.
Yaani seriously Msigwa mkwe sijui shemeji ya Magufuli asimame wapingane??? Huyuhuyu aliyelipiwa faini magereza? Au ni bosheni tu?
Je Tundu Lissu amepona? Anauwezo wa kufanya kampeni? Au ndio zuga nayo tu ili mradi mtu asimame?
Anyway napita tu
Nakazia my lady.Yaani seriously Msigwa mkwe sijui shemeji ya Magufuli asimame wapingane??? Huyuhuyu aliyelipiwa faini magereza? Au ni bosheni tu?
Je Tundu Lissu amepona? Anauwezo wa kufanya kampeni? Au ndio zuga nayo tu ili mradi mtu asimame?
Anyway napita tu
Mkuu Msigwa hatoshi hatoshi hatoshi hata theluthi kuwa Rais.
Mh. Lissu hafai hata kidogo kupewa cheo kikuubwa zaidi ya kuwa Mwanasheria Mkuu wa serikali yenu mtakayoiunda.
Mh. Rais na mh. Lissu tofauti yao ni ndogo sana hata kiwatokacho midomoni mwao.
Msiwe na haraka mtafuteni mwenye hekima na busara ndani yenu mtampata.
#KIKOSI_maalumu_CHA_MATUSI_karibuni
Bora upite tu maana kiukweli hueleweki
Mkuu Msigwa hatoshi hatoshi hatoshi hata theluthi kuwa Rais.
Mh. Lissu hafai hata kidogo kupewa cheo kikuubwa zaidi ya kuwa Mwanasheria Mkuu wa serikali yenu mtakayoiunda.
Mh. Rais na mh. Lissu tofauti yao ni ndogo sana hata kiwatokacho midomoni mwao.
Msiwe na haraka mtafuteni mwenye hekima na busara ndani yenu mtampata.
#KIKOSI_maalumu_CHA_MATUSI_karibuni