Hizo nguvu za KIKWETE kucheza Rafu Kwa wenye pesa alizitoa wapi wakati huo Lowassa alikuwa na pesa za kutosha?Mkuu wewe ni CCM damu damu kwa utetezi huo.Kauli ya Nyerere kusema,"Ikulu ni mahali patakatifu" ni kwa sababu ya Kikwete.Kikwete kama 2005 angekuwapo Nyerere asingepata Urais nakwambia.Kikwete ndiyo mcheza rafu namba moja Tanzania,anakumaliza huku akikuchekea.
Kwanini hakumkata Magu ikiwa Membe ndio chaguo lake?Usaliti wa Kikwete ni kuengue majina yote mazuri ya wagombea na kumwacha Membe na wanawake wawili ili Membe apite kirahisi kwa mujibu wa mila za Watanzania.
Kikwete na Lowasa walikuwa na pesa hilo halipingiki.Hizo nguvu za KIKWETE kucheza Rafu Kwa wenye pesa alizitoa wapi wakati huo Lowassa alikuwa na pesa za kutosha?
Pia Mimi Si mwana CCM, ni Mtanzania mzalendo wa Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA ๐น๐ฟ
Alimkata,lakini alidhibitiwa na wakubwa zake(MWINYI NA MKAPA)Kwanini hakumkata Magu ikiwa Membe ndio chaguo lake?
1995 JK hakuwa na pesa,Kikwete na Lowasa walikuwa na pesa hilo halipingiki.
Ndo nasema,Alimkata,lakini alidhibitiwa na wakubwa zake(MWINYI NA MKAPA)
Kikwete kwanza kazaliwa Serikalini,kafanya kazi mbalimbali Serikalini kwa nini akose pesa?1995 JK hakuwa na pesa,
Ushasishi alikuwa nao, na hakuwa na tuhuma na makandokando ukilinganisha na Lowassa.
Na alikuwa kijana wa Nyerere.
Hapo tutabishana mpaka kesho kutwa ni sawa na kusema chaguzi za 2019 na 2020 zilikuwa za haki.Ndo nasema,
Kumtuhumu JK Kwa usaliti Kwa Lowassa Si sawa, sababu JK hakuwa final say juu ya nani awe Rais.
Hakuwa na Pesa kama za Lowassa.Kikwete kwanza kazaliwa Serikalini,kafanya kazi mbalimbali Serikalini kwa nini akose pesa?
Sasa unakiri Rais Alidhibitiwa Kisha unagoma kumuondolea usaliti Kwa Lowassa ๐๐Hapo tutabishana mpaka kesho kutwa ni sawa na kusema chaguzi za 2019 na 2020 zilikuwa za haki.
Hacha kumuingiza Mungu kwenye uchawa na unafiki! Ulifanya kikao na Mungu akakueleza ujinga huu?Mungu ndiye amepanga Rais Samia kuongoza Taifa letu mpaka 2030
Hilo halipingiki mahaba ya Kikwete kwa Membe yalionesha pasipo na shaka usaliti kwa Lowasa.Yeye angefanya katika top three na jina Lowasa liwepo ila top one liondolewe kwa namna yoyote ile hakuna mtu ambaye angemlaumu.Sasa unakiri Rais Alidhibitiwa Kisha unagoma kumuondolea usaliti Kwa Lowassa ๐๐
Kikwete na Lowasa walishinda kwa kishindo.2005 ilikuwaje?, Wana mtandao walishinda Kwa kishindo
Cha kushangaza ni hiki,2005 ilikuwaje?, Wana mtandao walishinda Kwa kishindo
Kaz Kweli Kweli!!Hilo halipingiki mahaba ya Kikwete kwa Membe yalionesha pasipo na shaka usaliti kwa Lowasa.Yeye angefanya katika top three na jina Lowasa liwepo ila top one liondolewe kwa namna yoyote ile hakuna mtu ambaye angemlaumu.
Hata hapa Tz,Samia ni Rais lakini haijawahi kuwa na wazo hilo maishani mwakeMbona hapo Kenya Ruto kautafuta na kaupata๐ผ
Ulifika lini Mbinguni ukayakuta hayo unayoyasema? Kwanini manabii + mitume wa nyakati hizi wanafanya lobbying kupata waumini?Kule ni kuimba, kusifu na kuabudu, hakuna lobbying!!
Umewaza Kimaskini sana bwashee ๐Hata hapa Tz,Samia ni Rais lakini haijawahi kuwa na wazo hilo maishani mwake
Bado sijatoboa mkuu,najitafutaUmewaza Kimaskini sana bwashee ๐