- Thread starter
- #101
Usijitoe ufahamu,Sio kila anaetoa hela anahtaji return wewe. Nimekuambia kuna watu by nature wanapenda mawazo mapya so anaweza kukusaidia tu bila kutaka chochote kwako. Nina ndugu alisomeshwa bure na mmama mjane tena masikin wa huko Italy kwasababu tu alikuja kikanisa kujitolea akamsikiliza akamsaidia kufikia ndoto zake. Hiz akili za kimasikin hiz kwamba kila anaekusaidia anahtaji chochote mnazo waswahili na ni kwasababu hatuna exposure hatujui dunia ya nje inajiendeshaje.na ndio maana nikakuuliza ninani aliyeenda ikulu bila kuiba au ndugu zake kuiba. Ni upuuzi tu
Kuchangiwa Nyerere nauli kwenda kudai Uhuru Si kuutafuta Urais Kwa pesa.
Kuusaka Urais Kwa pesa ni kutumia pesa kutengeneza vikundi Nchi nzima Ili kupata uungwaji mkono kuukwaa Urais.