Urais wa Tanzania hautafutwi kwa nguvu ya pesa wala upendeleo

Ulifika lini Mbinguni ukayakuta hayo unayoyasema? Kwanini manabii + mitume wa nyakati hizi wanafanya lobbying kupata waumini?
Soma thread: Live Kutoka Mbinguni- Rabbon.

Utapata majibu.

Kuhusu manabii fake kufanya lobbying kupata waumini, waulize wenyewe watakujibu.

Na baada ya kusema hayo,

Karibu tuendelee na MADA🙏
 
Watu wako radhi kumwaga damu za wenzao kuupata Urais, wewe unaongea rushwa ya pesa ambacho ni kitu cha kawaida kwenye chaguzi zetu. Lazima wewe utakuwa unaishi Burundi kama unashidwa kuyaona haya. Kikwete pesa ya EPA ilifanya kazi ili aupate Rais.
 
Watu wako radhi kumwaga damu za wenzao kuupata Urais, wewe unaongea rushwa ya pesa ambacho ni kitu cha kawaida kwenye chaguzi zetu. Lazima wewe utakuwa unaishi Burundi kama unashidwa kuyaona haya. Kikwete pesa ya EPA ilifanya kazi ili aupate Rais.
Kumbe sasa tuseme,

Lowassa hakuwa na Pesa, na ndio sababu za kuukosa Urais!!

Nitakuwa sawa kusema hivyo?
 
Kumbe sasa tuseme,

Lowassa hakuwa na Pesa, na ndio sababu za kuukosa Urais!!

Nitakuwa sawa kusema hivyo?
Kwa hiyo shida ilikuwa kumuongelea Lowassa. Ni hivi hiyo nafasi ilikuwa ikikodolewa macho na makundi mengine baada ya kipindi cha pili cha jk, na Edo alikuwa tishio kwa mambo mawili, kukubalika kwake na pili kasi ya utendaji. Wakaanga sumu, wazee wa fitina, walisoma hilo gap ikawalazimu wamfitinishe mapema kwa mzee baba kwamba hasipoangalia jamaa atachukuwa nafsi kabla ya yeye kumaliza muhula wa pili, na mzee mkubwa alishawishika kwa huo ushahuri akaona hisiwe taabu, wakaamua kumtafutia ajali.
 
Kwahiyo ni sawa kusema pesa pekee haitoshi kukupa Urais katika Nchi ya Tanzania.
 
Umenikumbisha maneno ya Dr. Salmin Amour Juma Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mstaafu, wakati akizungumzia Urais wa Zanzibar, alisema Urais si Halua kwamba kila mtu alambe.
Na dharau zake Sasa hivi Kawa kipofu.
 
Punguza ubishi. Kikwete alimuengua Lowassa kwaajili ya Membe.
 
Fact...
 
Kanda ya ziwa pekee, zimeshapelekwa pikipiki za mtia Nia zenye picha yake zaidi ya 6000,

Urais unatafutwa hivyo?
 
we nae unatuvuruga sasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…