Salmah99
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 307
- 518
Kupaka wanja chini ya macho na lipstick kwa mbali basi..so urembo wako zaid ni nn?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupaka wanja chini ya macho na lipstick kwa mbali basi..so urembo wako zaid ni nn?
Sina hata umri kubwa ila nlipojifungua nlinenepa sana ndo ikawa mwisho wa kuvaa hizo nguo
Natembea kila siku asubuhi na jioni kumpeleka mtoto shule na kumfata maana ni mbali kidogo na home lakini sioni dalili ya kupunguaohoo!fanya mazoezi!kimbia au tembea walau lisaa li1!
Hahaha wewe akili zako sio za nchi hii, zihurumie mbavu zangu banaMi nikiona wedges kichwani huwa itakuja picha ya Asha ngedere, huwa anawakata mitama wanaume huku kavaa wedges 😀😀😀
😀😀😀😀Hahaha wewe akili zako sio za nchi hii, zihurumie mbavu zangu bana
Mbavu zngu miee hahahaKuvaa wigi na wivin nilivaa wakati wa kipaimara . ...
Kufuga kucha na kubandika yani hata za miguu huwa nakuta vipisi tu na maumivu zimekatikia wapi hata sijui natembea miguu baja ha haha ...
Kuongeza kalio yani nimeletewa dawa mpaka na shuhuda mi hata hawanishawishi wameishia kuniita pasi na mbahili.. niongeze kalio halafu iweje Acha niendelee kutikisa mgongo
Tunavaa kwa shida tu huwa hatupend.. Tunapenda mitindo mbali mbali asa ni ghali mkuuJF Utaipenda kwa Kuwa Fake.... Mpaka Muda huu hakuna Dada aliyemsupport au kuwa kinyume na Mtoa Mada kuwa anapenda kuvaa Wigi, Lakini walio wengi wanavaa , Sana nashangaa hapa wanajitoa ufahamu hawapendi.. Enyi Wadada mara moja mseme Ukweli Basi
Haha yani sijui nazionaje teh
Mi nikiona wedges kichwani huwa itakuja picha ya Asha ngedere, huwa anawakata mitama wanaume huku kavaa wedges 😀😀😀
Nikiona wedges hii ndo picha inakuja kichwani
View attachment 541033
View attachment 540995 ngj nitafte pic ya mrembo mweusi unielewe
Teh ngoja nianze mazoezi ya make up atleast niwe hivi
View attachment 541017
Tege bwana likipinda vizuri, likawa 180° halafu na nyama, unalivalia chochote, heels, flats, sneakers you name it.
Lakini lisiwe na nyama halafu ukavae mini au shorts, inabidi usafiri uendane na abiria.
Hahaha nishawahi itumia hiyo avatar. #TeamNatural#
Kunyoa nyusi na kuchora zangu! Na zaida sana ni kuvaaa wigi la kilo 25KG kichwani kwangu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
hhahah tege na mm ninalo na mm la nje ,ila nishalizoea mie umin napiga tu! bas mume wangu ananiambiaga nisijumuike kushika /kufukuza kuku! eti tutakesha coz kuku atakuwa anapita TOBO! hahaha mwanamke tege babu we! ila ukivaa high heels huwa linadisapear kimtindo!
Hahaha!, uwi pole mwaya. Eti kuku atapita mwenye TOBO [emoji16]
Kama nakuona vile unainama kumdaka halafu anakatiza tu...lol!
Haha watuache na matege yetu bana, bonge la swaggahhahah tege na mm ninalo na mm la nje ,ila nishalizoea mie umin napiga tu! bas mume wangu ananiambiaga nisijumuike kushika /kufukuza kuku! eti tutakesha coz kuku atakuwa anapita TOBO! hahaha mwanamke tege babu we! ila ukivaa high heels huwa linadisapear kimtindo!
Haha watuache na matege yetu bana, bonge la swagga
Ngoja nikutumie picha[emoji126] [emoji126] [emoji126]hahaha wewe unayo ya desgn ipi!