badiebey
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 5,875
- 3,112
yaaani mimi nisuke twende kilioni,??,??????? n baada ya kusuka naenda nazo wapi?????????,???? ohooooo mungu labda nishinde nazo ndani tu hiyo siku maana ni out of fasion
kichwa sio lazima kioshwe kila siku hata kila baada ya wiki inatosha
kuumwa na kichwa kwaweza kusababishwa na mengineyo ndugu yangu sio nywele tu
hhehheh shogaa ni zile twende kilioni upo nazo ofisinii,..mhh,inahuu,
cha msingi kufuga nywele zako uwe unaosha mara kwa mara,
hehehe awaulize hao wenye natural wenyewe wanaziosha mara ngapi...NATURALI af iwe kipilipilini sheeeda,...
Kusuka mbona tunasuka hatuumwi vichwa,labda ile siku ukitoka kusuka basi,na inategemea na style








