..yeye kasema ndiyo style aliyoipenda kwa sasa..
mwanamke hana uwezo wakuficha tabia yake kwa miez 6 wewe jaribu kumuinginza kidole ukisikia oooooooooh baby aaaaaah ujue Tatar hapo ukikiona kastuka ujue hana michezo hiyo
khe khe khe khe.....kweli jf kuna raha jaman
Salaam kwenu wanaJF wote popote mlipo. Amani iwe nanyi.
Nimekuwa kwenye mahusiano ya takribani miaka mitatu(3) sasa na msichana ambaye awali alikuwa yupo chuoni ila kwa sasa ni mfanyakazi taasisi fulani hivi (jina kapuni). Amepangiwa nje ya MKOA wa DAR nilipo.
Tulipoanza mahusiano haya hakuwahi kunionyesha anayonionesha hivi sasa.
Amekuwa akipost pictures mbalimbali akiwa amevaa ''vimini'' na ''vishanga (vikuku)'' mguuni.
Nimejaribu kumuuliza nini MANTIKI ya hizo picha, kanijibu eti "mbona kawaida tu.
NIPO SO FRUSTRATED; ISIJE IKAWA KAANZA KALE KATABIA... MAANA NILISHA MTAMBULISHA KWA BAADHI YA NDUGU.
Yupo Tanga,Mombasa au Pemba?
....kama zanzibar akivaa mguu wa kushoto huashiria mchezo mchafu....[/QUOTE said:Sio kweli hio. Jecha Salum Jecha kafuta kila kitu!
mkuu kwanini usizitume hizo picha hapa tuzione kama ni mbaya?...kibaya zaidi hizo pictures anazo post zinaonesha yupo comfortable kabisa mahali anakopita.. so sad!!!
embu tuwekee na ya mkubwa tuone shanga ikiwa kiunoni kwake inakuaje!!!Shanga ni utamaduni wa Kiafrika.
Jee, na huyu utasemaje?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Khaa!! NasikiaMost of times watu wanayo yawaza huwa hayapo mbali na ukweli
embu tuwekee na ya mkubwa tuone shanga ikiwa kiunoni kwake inakuaje!!!
Hahahahaaaaaaaa,yaonekana unakauzoefu mmmmmh
uzoefu mwingi maana tangu nikiwa darasa LA 2 c nilianza kujifunza haya mambo
..yeye kasema ndiyo style aliyoipenda kwa sasa..
Lakini kwa Baadhi ya Wanawake Huo Ni Urembo na Haumaanishi Hilo ambalo umeliwaza Mkuu... Mbona Humu ndani Kuna Wadada Wengi wanavaa na Hawapo katika Hicho unachowaza?
Mkuu msichana akikutana na good dick au sexy fantasy in real life.. HAWEZ jificha.... sasa kuwa makini mchunguze maana long distance relationship ni tatizo hasa kwa mahusiano machangaSalaam kwenu wanaJF wote popote mlipo. Amani iwe nanyi.
Nimekuwa kwenye mahusiano ya takribani miaka mitatu(3) sasa na msichana ambaye awali alikuwa yupo chuoni ila kwa sasa ni mfanyakazi taasisi fulani hivi (jina kapuni). Amepangiwa nje ya MKOA wa DAR nilipo.
Tulipoanza mahusiano haya hakuwahi kunionyesha anayonionesha hivi sasa.
Amekuwa akipost pictures mbalimbali akiwa amevaa ''vimini'' na ''vishanga (vikuku)'' mguuni.
Nimejaribu kumuuliza nini MANTIKI ya hizo picha, kanijibu eti "mbona kawaida tu.
NIPO SO FRUSTRATED; ISIJE IKAWA KAANZA KALE KATABIA... MAANA NILISHA MTAMBULISHA KWA BAADHI YA NDUGU.