Mtumishi hujui tamu ya shanga wewe...wala usitake kujaribu utatenguliwa upako buuuure
mi nauzaga hzo shanga ila naziombea heri:
1. Atakayevaa akate kiuno sana
2. Atakayevaa atulie na mwanaume mmoja ila sidhani
3. Atakayevaa amtamanishe mtu wake
NB: Nauza bei poa sana:crazy::crazy:
Bwana Yesu asifiwe!
Leo nataka niwafungueni macho kondoo zangu.
Wanawake wengi wamekua wakipenda sana kuvaa shanga viunoni wakiamini ili kuwafurahisha wapenzi wao. shanga ni moja ya vitu vinavyotumiwa sana na waganga wa kienyeji kwny kazi zao.
Hivyo ili kuwashambulia wanawake kwa njia ya mapepo, waganga wengi wa kienyeji ndio watengenezaji wa shanga izo na kuzisambaza madukani kupitia watu wao ambapo huwa wanazinuizia roho za mapepo ya aina mbalmbal kama ifuatavyo:
1. Atakaevaa awe mgumba
2. Atakaevaa awe malaya, kahaba
3. Kwa alyeolewa asidumu katika ndoa
4. Atakaevaa asifanikiwe kiuchumi, mpenda anasa
5. Atakaevaa awe na mashetani
6. Atakaevaa aachike
7. Atakaevaa mfumo wake wa hedhi uvurugike
8. Atakaevaa awe na magomvi ktk na mumewe
9. Atakaevaa aingiwe na roho ya hasira
Hivyo wapendwa wangu unaweza kuona hukuwa na tabia fulani lakini kwa kuvaa ukajikuta unabadilika.Ndo maana ili wakujue umevaa shanga unakua unazini na kila mtu.
USHAURI: Kabla hujavaa shanga peleka kwa MCHUNGAJI Akaziombee ili kutengua hayo manuizo.
Bwana Yesu asifiwe!
Leo nataka niwafungueni macho kondoo zangu.
Wanawake wengi wamekua wakipenda sana kuvaa shanga viunoni wakiamini ili kuwafurahisha wapenzi wao. shanga ni moja ya vitu vinavyotumiwa sana na waganga wa kienyeji kwny kazi zao.
Hivyo ili kuwashambulia wanawake kwa njia ya mapepo, waganga wengi wa kienyeji ndio watengenezaji wa shanga izo na kuzisambaza madukani kupitia watu wao ambapo huwa wanazinuizia roho za mapepo ya aina mbalmbal kama ifuatavyo:
1. Atakaevaa awe mgumba
2. Atakaevaa awe malaya, kahaba
3. Kwa alyeolewa asidumu katika ndoa
4. Atakaevaa asifanikiwe kiuchumi, mpenda anasa
5. Atakaevaa awe na mashetani
6. Atakaevaa aachike
7. Atakaevaa mfumo wake wa hedhi uvurugike
8. Atakaevaa awe na magomvi ktk na mumewe
9. Atakaevaa aingiwe na roho ya hasira
Hivyo wapendwa wangu unaweza kuona hukuwa na tabia fulani lakini kwa kuvaa ukajikuta unabadilika.Ndo maana ili wakujue umevaa shanga unakua unazini na kila mtu.
USHAURI: Kabla hujavaa shanga peleka kwa MCHUNGAJI Akaziombee ili kutengua hayo manuizo.
haahaaha! hapana. alafu we *evelyn salt* unapenda kunichokoza!!! kabla hujavaa niambie ili niweze kuziombea na namba zangu: 0786100772, 0673100772, 0757856336
mmmm hii kali ivi unaanzaje kumpa mchungaji shanga aziombe? zinakua kwenye mfuko au unamtolea azishike? mbona mnapenda kuwapa watu wa mungu majaribu mazito....
na ndio maana tunahubiri watu waokoke ili wao wenyewe wangeweza kuziombea. lkn ndo upo mbali na mchungaji hata mama mchungaji unampelekea c lazma mchungaji.
Amina mchungaji.........nitatenda ipasavyo...........
Oooh sasa hizi used tuzitupe au, tuende nazo pia
Amen mtumishi, unatengua zikiwa zimevaliwa au?
Well and good, nionavyo mimi, zivue halafu weka mkobani kisha nenda nazo. Akishamaliza kuziombea na kuzibariki nenda nazo nyumbani, shukuru Mungu then vaa sasa uendelee kuenjoy.
nadhani hapo hakuna shida, ama la vinginevyo.
Hadi sasa umeombea ngapi mtumishi