Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Pamoja Na Shanga, Lakini Pia Hata Nguo Ya Ndani*chupi* Na Ndio Maana Huwezi Kuanika Nje Hadharani Kwa Sbb Inavaliwa Sirini. Ingawa Shanga Au Chupi Unanunua Hadharani,tena Kwa Mwanaume, Lkn Ukishanunua Tu huwezi kuweka tena hadharani hata yule aliyekuuzia huwezi kumwonyesha. kwa iyo hata chupi ni vema kuziombea.
 
Pamoja Na Shanga, Lakini Pia Hata Nguo Ya Ndani*chupi* Na Ndio Maana Huwezi Kuanika Nje Hadharani Kwa Sbb Inavaliwa Sirini. Ingawa Shanga Au Chupi Unanunua Hadharani,tena Kwa Mwanaume, Lkn Ukishanunua Tu huwezi kuweka tena hadharani hata yule aliyekuuzia huwezi kumwonyesha. kwa iyo hata chupi ni vema kuziombea.
Mbona siku hizi zinaanikwa hadharani tu? Tena kipindi hiki cha mvua tunazianua sana tu na kuwatunzia wamiliki!
 
Nguo zinazovaliwa ndani huchafuka haraka kwa sababu zinagusana na mwili, ndio maana chupi zinafuliwa mara nyingi sidhani kama shanga zinafuliwa mara kwa mara.
 
Uchungaji bila elimu nayo ni kujiaibisha tu.

Haya tueleze umeyasema hayo kwa mamlaka gani?
 
Bwana Yesu asifiwe!

Leo nataka niwafungueni macho kondoo zangu.

Wanawake wengi wamekua wakipenda sana kuvaa shanga viunoni wakiamini ili kuwafurahisha wapenzi wao. shanga ni moja ya vitu vinavyotumiwa sana na waganga wa kienyeji kwny kazi zao.

Hivyo ili kuwashambulia wanawake kwa njia ya mapepo, waganga wengi wa kienyeji ndio watengenezaji wa shanga izo na kuzisambaza madukani kupitia watu wao ambapo huwa wanazinuizia roho za mapepo ya aina mbalmbal kama ifuatavyo:

1. Atakaevaa awe mgumba

2. Atakaevaa awe malaya, kahaba

3. Kwa alyeolewa asidumu katika ndoa

4. Atakaevaa asifanikiwe kiuchumi, mpenda anasa

5. Atakaevaa awe na mashetani

6. Atakaevaa aachike

7. Atakaevaa mfumo wake wa hedhi uvurugike

8. Atakaevaa awe na magomvi ktk na mumewe

9. Atakaevaa aingiwe na roho ya hasira

Hivyo wapendwa wangu unaweza kuona hukuwa na tabia fulani lakini kwa kuvaa ukajikuta unabadilika.Ndo maana ili wakujue umevaa shanga unakua unazini na kila mtu.

USHAURI: Kabla hujavaa shanga peleka kwa MCHUNGAJI Akaziombee ili kutengua hayo manuizo.

kama kuna ukweli!!
 
Mental retardation in the name of religion...... Pyeeeee
 
Bwana Yesu asifiwe!

Leo nataka niwafungueni macho kondoo zangu.

Wanawake wengi wamekua wakipenda sana kuvaa shanga viunoni wakiamini ili kuwafurahisha wapenzi wao. shanga ni moja ya vitu vinavyotumiwa sana na waganga wa kienyeji kwny kazi zao.

Hivyo ili kuwashambulia wanawake kwa njia ya mapepo, waganga wengi wa kienyeji ndio watengenezaji wa shanga izo na kuzisambaza madukani kupitia watu wao ambapo huwa wanazinuizia roho za mapepo ya aina mbalmbal kama ifuatavyo:

1. Atakaevaa awe mgumba

2. Atakaevaa awe malaya, kahaba

3. Kwa alyeolewa asidumu katika ndoa

4. Atakaevaa asifanikiwe kiuchumi, mpenda anasa

5. Atakaevaa awe na mashetani

6. Atakaevaa aachike

7. Atakaevaa mfumo wake wa hedhi uvurugike

8. Atakaevaa awe na magomvi ktk na mumewe

9. Atakaevaa aingiwe na roho ya hasira

Hivyo wapendwa wangu unaweza kuona hukuwa na tabia fulani lakini kwa kuvaa ukajikuta unabadilika.Ndo maana ili wakujue umevaa shanga unakua unazini na kila mtu.

USHAURI: Kabla hujavaa shanga peleka kwa MCHUNGAJI Akaziombee ili kutengua hayo manuizo.

Umekosea kabla ya kuvaa akavalishwe na mchungaji wakiwa chumbani mkewe pastor asione
 
ukiona dada ameanika chupi zake nje, hujue huyo anapepo la ukahaba, anataka mjue kama anavaa chupi gani. iyo ndo roho ya umalaya. wakimbie kama ukoma.
Mkuu leo hii kaya zisizoanika kufuli za kike nje ni za kutafuta (hii ni mijini)
 
Bwana Yesu asifiwe!

Leo nataka niwafungueni macho kondoo zangu.

Wanawake wengi wamekua wakipenda sana kuvaa shanga viunoni wakiamini ili kuwafurahisha wapenzi wao. shanga ni moja ya vitu vinavyotumiwa sana na waganga wa kienyeji kwny kazi zao.

Hivyo ili kuwashambulia wanawake kwa njia ya mapepo, waganga wengi wa kienyeji ndio watengenezaji wa shanga izo na kuzisambaza madukani kupitia watu wao ambapo huwa wanazinuizia roho za mapepo ya aina mbalmbal kama ifuatavyo:

1. Atakaevaa awe mgumba

2. Atakaevaa awe malaya, kahaba

3. Kwa alyeolewa asidumu katika ndoa

4. Atakaevaa asifanikiwe kiuchumi, mpenda anasa

5. Atakaevaa awe na mashetani

6. Atakaevaa aachike

7. Atakaevaa mfumo wake wa hedhi uvurugike

8. Atakaevaa awe na magomvi ktk na mumewe

9. Atakaevaa aingiwe na roho ya hasira

Hivyo wapendwa wangu unaweza kuona hukuwa na tabia fulani lakini kwa kuvaa ukajikuta unabadilika.Ndo maana ili wakujue umevaa shanga unakua unazini na kila mtu.

USHAURI: Kabla hujavaa shanga peleka kwa MCHUNGAJI Akaziombee ili kutengua hayo manuizo.

Habari za asubuhi?
 
Back
Top Bottom