Mwinjilist mtume nabii
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 2,437
- 1,097
Mimi na gwajima na wachungaji wote ni watu hatari sana. Tukiamua tunakusukumia mapepo sasa hivi.
Kijana unatukana Watakatifu?
Mai wangu weeee!
Na Ushindwe, ushindwee.
Wii wii wiii wiii.
Hangla shangla hunda henga,
Ai ai ai ai ai.
Weeee. Usicheze na Watakatifu. Utatambaa sasa hivi,
Mimi na gwajima na wachungaji wote ni watu hatari sana. Tukiamua tunakusukumia mapepo sasa hivi.
Kijana unatukana Watakatifu?
Mai wangu weeee!
Na Ushindwe, ushindwee.
Wii wii wiii wiii.
Hangla shangla hunda henga,
Ai ai ai ai ai.
Weeee. Usicheze na Watakatifu. Utatambaa sasa hivi,
Haleluyah mtumishi.Huyo Hajui Mamlaka Tuliyonayo!! Anadhani Yesu Aliondoka Na Upako Mbinguni? Yesu Aliondoka Lkn Upako Alituachia Na Mpk Leo Tunaweza Kuulaani Mti Na Ukakauka.
Mkwende huko na ushetani wenu.
Wee atoto, iyo ni tahadhali kwa ajili ya usalama wa maisha wako. mm nakushauri uokoke umpe yesu maisha yako, naye atakulinda na kukubariki.
Kwani shanga kazi yake nn mtumishi?
Salaam kwenu wanaJF wote popote mlipo. Amani iwe nanyi.
Nimekuwa kwenye mahusiano ya takribani miaka mitatu(3) sasa na msichana ambaye awali alikuwa yupo chuoni ila kwa sasa ni mfanyakazi taasisi fulani hivi (jina kapuni). Amepangiwa nje ya MKOA wa DAR nilipo.
Tulipoanza mahusiano haya hakuwahi kunionyesha anayonionesha hivi sasa.
Amekuwa akipost pictures mbalimbali akiwa amevaa ''vimini'' na ''vishanga (vikuku)'' mguuni.
Nimejaribu kumuuliza nini MANTIKI ya hizo picha, kanijibu eti "mbona kawaida tu.
NIPO SO FRUSTRATED; ISIJE IKAWA KAANZA KALE KATABIA... MAANA NILISHA MTAMBULISHA KWA BAADHI YA NDUGU.[/QUOTEhivyo ni vitu vya kaeaida tu