Mwinjilist mtume nabii
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 2,437
- 1,097
Mimi na gwajima na wachungaji wote ni watu hatari sana. Tukiamua tunakusukumia mapepo sasa hivi.
Kijana unatukana Watakatifu?
Mai wangu weeee!
Na Ushindwe, ushindwee.
Wii wii wiii wiii.
Hangla shangla hunda henga,
Ai ai ai ai ai.
Weeee. Usicheze na Watakatifu. Utatambaa sasa hivi,
Huyo Hajui Mamlaka Tuliyonayo!! Anadhani Yesu Aliondoka Na Upako Mbinguni? Yesu Aliondoka Lkn Upako Alituachia Na Mpk Leo Tunaweza Kuulaani Mti Na Ukakauka.