Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Nakeleka kweli na hii kitu
 
Mkuu umenielewa visivyo...
ninacho maanisha mimi ni sawasawa na mtu mwenye mwili mdogo alafu akatembea barabarani na kawoshi/singrendi inayo onesha mikono na kifua.
Ama mwanadada mwenye miguu ya hilo kabila akavaa kimini kinacho ishia mapajani. Hawezi kuwa na show.

Vivyo hivyo kwa hivi vidude ni urembo ndio lkn lazima uzingatie sio kila mtu utampendezea.
 
Navaa vizuri na sijawahi kumbana na watu wenye akili finyu kama zako. Unafikiri kila mtu anakaa kuwaza ufirauni kama wewe.
Nitake radhi dada,Mimi sio firauni,kama ushauri wangu ni mbovu usinitusi.Sitegemei ktk maisha yangu nitakayoishi hapa dunia na kesho kwa Mungu kumkosea adabu kiumbe kinaitwa mwanamke
 
kushoto ndo Tigo..kulia Airtel

vikuku kwa mila na desturi zetu...ni ishara ya umalaya tu hamna kingine
ndio maana hutakaa ukute mama mchungaji kavaa kikuku au wanawake wanaojitambua
Siku ya mwisho natamani sana kuwe na litivii likubwa tuone hawa watu wanaoaminika ni wema .,.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…