Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

mimi navaa nyeusi na orenji....nini maana yake.....?
 
Ndiyo maendeleo hayo?
 
sasa naona unawatusi waganga wa kienyeji...maana ndio wanavaa sana shanga nyekundu,bluu n.k.

 

Attachments

  • profimedia-0006642987.jpg
    25.3 KB · Views: 1,287
Hizo shanga anavaa wapi ndio ujue hizo signs? Au mpaka avue? Maana kuziona hizo shanga hivhiv sio rahisi!
 
mimi navaa nyeusi na orenji....nini maana yake.....?

Uvaapo nyeusi,na mwenzi wako akaiona ni kuwa siku hyo unakuwa hauko au hujisikii kukutana nae kutokana na mambo kadha wa kadha yanayowazunguka kimaisha...unapoonekana umevaa orange na nyeupe...siku uko happy ndo hyo orange na nyeupe kuwa upo clean and ready kuenjoy na mume wako.
 
Hizo shanga anavaa wapi ndio ujue hizo signs? Au mpaka avue? Maana kuziona hizo shanga hivhiv sio rahisi!

Kama ni mke wako utaziona ila makabila fulan fulan huvaa kiuononi za rang mchanganyiko lakini anapokuwa kama breed atavaa shanga kama bangili mkononi kwa rangi husika kukujulisha hayuko sawa..
 
hakuana ulembo wa namna hiyo mimi nikiona harafu nikaimba ukaitikia lazima tigo nipige MAMBO YA KUIGA SIO MAZURI FANYA JAMBO UKIJUA MAANA YAKE
 
tafuta hata baadhi ya mashoga huvaa hivyo anayevaa kama pambo hajui maana yake wanaovaa vile huliwa mavi.
 
Raha ya kikuku uwe na mguu wa kuvalia hicho kikuku lol
 
Nazungumzia x-gf wangu hapa, kwa hiyo nina uhakika na ninachokisema mkuu!!
ulimwomba akakataa, ulimgusa pale kwenye tigo akaruka na kukimbia au ulinyamaza tu yeye akaona soo kulianzisha akaona umelegea tu wewe hujui anachokitaka hata akakumwaga na kwenda kwa wengine? i mean x grl wako. wanawake usiwawekee shilingi aisee, wana siri nzito na huwa wanafanya mambo ya ajabu sana huko sirini ila tukikutana nao mitaani wanaweza kweli kutupiga changa la macho...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…