Watajuaje Wakati Huzivai?
mnajua kuzitumia au basi.tu mnatupa lawama.....
siyo wote wanaozipenda asieee.....kuna wanaume umvalie shanga anakutoa nduki.....kumbuka kila mtu na uchaguzi wake......kuna wanaopenda cheni badala ya shanga......na kuna ambao hawataki uvae chochote......ndiyo raha yake.....
Nadhani hii ipo katika tamaduni za kikabila zaidi mfano wasukuma kuanzia mtoto wa kike akiwa mdogo anavishwa hii kitu na akishakua anafundishwa ni jinsi gani azitumie ktk ndoa lakini ukija mbeya kuna kabila la kinyakyusa hawajui kwanza watakushangaa labda kwa wale waliotembea na kuchangamana na makabila tofauti yenye tamaduni hizo
Hata hao wanaume wenyewe wanajuwa hata kuzitumia basi;
Haya mambo yalikwepo ilala usasa ndo unaharibu huyo anae kataa sababu kamuona ciara na cheni shanga zinatumika pia kugawanya kiuno cha mtoto wa kike lakin nnahakika hawavalishi tena
Hamvai sasa tutajimfunzaje kutumia? Yani cc bado watumwa wengine anakuambia ni uchafu lakin akiingizwa dole akipewa analinyonya ujinga mtupu
wanaume wa siku hizi ukiwavalia shanga wanakuona malaya,labda uwavalie cheni ya Gold au silver ndiyo kidogo heshima itakuwepo.
wewe mwenyewe binafsi unaweza mvalisha mtoto wako wa kike shanga akiwa angali mtoto ili kiuno kigawanyike...? na pia unaweza mpeleka mtoto wako unyagoni...? kuna vitu vimebadilika sana....kwahiyo si swala la kuwalaumu wanawake....wewe kama unapenda mwambie akuvalie basi......
ukivaa mwingine anakushangaa hayo manini toa.....
Unaijua kazi ya shanga lakini au basi tu? Kama unajua nipe kazi 5 za shanga kwenye uwanja wa fundi seremala ndo nitajua yaliyomo yamo au hayamo.
umenikumbusha mbali sana ! Niliwahi kukutana na mtoto flan wa kizambia ana shanga moja ya silver dah.........!nomaaaa
Ha Ha Haaa!.Kumbe Hata Wewe Humo Ila Hauvumi Tu.
Yaan nimemgusia mpenzi wangu hilo swala amewaaaka huyo..