Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

kuna mmoja nimrmkuta na chen kiunoni mmmmm yaani cjui kama nitamwacha nimeoa lkn yeye mmmmm ni mtam ajabu
 
hayo macheni ni mizigo tu na kuigaiga asili yake ni kwenye kuvaa hurizi kiunoni eti sasa siku hizi ndio wanajifanya wame-modify.
 
Marhabaaaa!mahala pake demu hana cheni wala shanga hujihisi kama nagonga bint wa primary kiukweli nisipokuta khabari hizo hunyong'onyea kimtindo.
 
usihusishe vazi la mtu na tabia iyo ni tofauti kabisa vazi litabaki kua vazi siku zote na tabia ni tabia tu, kwa upande nikimuona mwanamke kavaa kikuku au cheni kiunoni nachukulia kama vazi alipendalo, ukweli ni kwamba wanawake wanapovaa kikuku sio siri wanapendeza sana hasa vikiwa vya kisasa....
 
Hasili ya kikuku ni pwani na michezo ya pwani inajulikana kwahyo mm nikimuona mwanamke amevaa kikiku najua michezo ya pwani inahusika bila kuuliza 0713
 
usihusishe vazi la mtu na tabia iyo ni tofauti kabisa vazi litabaki kua vazi siku zote na tabia ni tabia tu, kwa upande nikimuona mwanamke kavaa kikuku au cheni kiunoni nachukulia kama vazi alipendalo, ukweli ni kwamba wanawake wanapovaa kikuku sio siri wanapendeza sana hasa vikiwa vya kisasa....

Na mumeo akivaa shanga kiunoni utamchukulia kama ni urembo tu?
 
Na mumeo akivaa shanga kiunoni utamchukulia kama ni urembo tu?

nafurahi kusikia ivyo japo sijalizika kwamaana mm dume la mbegu mke wangu namnuliliaga mwenyewe ivyo vikuku na cheni dada yangu, kwangu vazi litabakia kua vazi ila wanaume tunamavazi yetu na wanawake pia xx nakushaanga ww mwanaume vazi mwanamke linakuwashia usiusishe vazi na imani zako
 
nafurahi kusikia ivyo japo sijalizika kwamaana mm dume la mbegu mke wangu namnuliliaga mwenyewe ivyo vikuku na cheni dada yangu, kwangu vazi litabakia kua vazi ila wanaume tunamavazi yetu na wanawake pia xx nakushaanga ww mwanaume vazi mwanamke linakuwashia usiusishe vazi na imani zako
Samahani sana kwa kudhani wewe ni mwanamke, lakini ni wapi imeandikwa shanga ni urembo wa kike? Wabarbaig wanavaa shanga wanaume.
 
Hasili ya kikuku ni pwani na michezo ya pwani inajulikana kwahyo mm nikimuona mwanamke amevaa kikiku najua michezo ya pwani inahusika bila kuuliza 0713

asili ya vikuku ni pwani?una uhakika?
 
Samahani sana kwa kudhani wewe ni mwanamke, lakini ni wapi imeandikwa shanga ni urembo wa kike? Wabarbaig wanavaa shanga wanaume.

mbona tunashindwa kuelewana cc hapa hatuzungumzii shanga tunazungumzia cheni kiunoni mada yetu imetupeleka mpaka kwenye kikuku,xx bc uelewe iv kwa kifupi tunazungumzia vazi limuhusulo mwanamke maana kikuku au cheni ni vazi, aijalishi kiwe cha shanga au kamba,kiwe cha dhahabu au silver, ni kweli akuna sehemu iliyoandikwa kwamba shanga ni urembo,xx sikia kwanza lazima ufahamu maana ya urembo, urembo asili yake nikujilemba, na kujiremba maana yake nikuzidisha jambo au kitu ambao aukuanacho ktk mwili wako, xx nakuhuliza na wewe pia wapi ulipoandikwa kwamba ukivaa kikuku basi unatoa iyo kitu
 
mbona tushindwa kuelewana cc hapa hatuzungumzii shanga tunazungumzia cheni kiunoni mada yetu imetupeleka mpaka kwenye kikuku,xx bc uelewe iv kwa kifupi tunazungumzia vazi limuhusulo mwanamke maana kikuku au cheni ni vazi, aijalishi kiwe cha shanga au kamba,kiwe cha dhahabu au silver, ni kweli akuna sehemu iliyoandikwa kwamba shanga ni urembo,xx sikia kwanza lazima ufahamu maana ya urembo, urembo asili yake nikujilemba, na kujiremba maana yake nikuzidisha jambo au kitu ambao akuanacho ktk mwili wako, xx nakuhuliza na ww wapi ulipoandikwa kwamba ukivaa kikuku basi unatoa tigo

Bado mavazi au urembo vinaashiria tabia flani, ndio maana humkuti mchungaji na kombati ya jeshi. Vikuku vinatumiwa na wanawake kuonesha ishara kuwa wanatoa ndogo, hao wanaoiga ni huenda hawajui maana au nao ni watoa ndogo.
 
Bado mavazi au urembo vinaashiria tabia flani, ndio maana humkuti mchungaji na kombati ya jeshi. Vikuku vinatumiwa na wanawake kuonesha ishara kuwa wanatoa ndogo, hao wanaoiga ni huenda hawajui maana au nao ni watoa ndogo.

naitaji unijibu je kati ya vazi na viashilia vp vilianza? nadhani utanijibu vazi, xx kama utanijibu ivyo kuna ubaya gani wanawake kuvaa ilo vazi au wakati lilikuepo kabla ya viashilia na je unausibitisho gani km ukivaa kikuku basi ww unatabia chafu sikatai kila mtu anazumuni la vazi lake,l lakini sio kila anayevaa ivyo bc ni mkosefu, pili umezungumzia padri kwa nn avai kombati,xx mm nakujibu kati ya vazi la padri na mwajeshi yote ni mavazi tofauti yake aina ya sare wanazo zitumia na sare aziusiani na tabia ya mtu,kwa mfano mbona tunasikia hao wanaovaa hayo mavazi wengine wanatoa, na wengine wanaingiza je utasemaje hapo kuhusiana na mavazi yao, tunaludi palepale vazi sio tabia ndugu tabia ni mtu mwenyewe, vp kuhusu mlegezo?
 
Back
Top Bottom