Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Uzushi huo! Kama ni maombi wewe huwezi Kuomba kwa Mungu hadi uende kwa mchungaji? Acha kuwatia hofu wanaovaa
 
Wagalatia walisema watakutana wanisomee Injili nipate kichaa.
Nikawauliza mstari gani mtakaosoma wa kumtia muungwana kichaa? Manake mistaru yote iliomo humo ni Mafumbo tu na mipasho.

Wakaanza matusi.
Baada ya kutukana nikawapa mfano wa mstari mmoja kisha nikaomba maana,

Mstari unasema

19"Kwa kuwa mtu awaye yote aliye na kilema hatakaribia; mtu kipofu, au kiwete, au mtu aliye na pua iliyoharibika, au aliye na kitu kilichozidi vimpasavyo mwili,-
19-au mtu aliyevunjika mguu, au aliyevunjika mkono,-
20-au aliye na kijongo, au aliye kibeti, au aliye na kilema cha jichoni, au aliye na upele, au mwenye buba, au aliyevunjika mapu.mbu;-

21-mtu awaye yote wa kizazi cha Haruni kuhani aliye na kilema asikaribie kuzisongeza sadaka za Bwana kwa njia ya moto; ana kilema huyo asikaribie kusongeza chakula cha Mungu wake.

Mambo ya walawi 21:19-21

Nikauliza je! Kwanini andiko linalaani walemavu na waliovunjika makende?
Na makosa yao nini hawa walemavu? Kuzaliwa na Upofu au ulemavu ni dhambi? Na kuvunjika makende kwenye ajali ya baskeli pia dhambi?

Wakaendelea kusali ili nipate kichaa.

Teh teh teh.

Mkuu naomba msaada wako tafadhali wa lile andiko la Paulo alivyokuwa anapenda kumiminwa kwenye mizabibu mimi nimelisahau linapatikana sehemu gani na kuna mgalatia mmoja mbishi sana anadai kuwa hilo andiko alipo mpaka nimpe ushahidi
 
Mkuu naomba msaada wako tafadhali wa lile andiko la Paulo alivyokuwa anapenda kumiminwa kwenye mizabibu mimi nimelisahau linapatikana sehemu gani na kuna mgalatia mmoja mbishi sana anadai kuwa hilo andiko alipo mpaka nimpe ushahidi
Kamanda matusi hayafai kaka.
Huyo mgalatia anaeleta tabu we niwekee link tu hapa nikambatize bila maji.
Maandiko kama hayo yako Mengi mno. Tena machafu zaidi ya hipo lkn tatizo ukiwawekea badala ya kukubali kuwa Andiko lao limechakachuliwa Wanaamua kumtukana Mungu na mitume wake.

Sasa huyu asikupe tabu. We weka Link hapa iwe ni Jf, Facebook, twitter au hata ya kichina. Sisi tutamfuata huko huko na maji ya uzima wa milele tukamsafishe kwa jina la bwana.

Ahsanta.
 
Kamanda matusi hayafai kaka.
Huyo mgalatia anaeleta tabu we niwekee link tu hapa nikambatize bila maji.
Maandiko kama hayo yako Mengi mno. Tena machafu zaidi ya hipo lkn tatizo ukiwawekea badala ya kukubali kuwa Andiko lao limechakachuliwa Wanaamua kumtukana Mungu na mitume wake.

Sasa huyu asikupe tabu. We weka Link hapa iwe ni Jf, Facebook, twitter au hata ya kichina. Sisi tutamfuata huko huko na maji ya uzima wa milele tukamsafishe kwa jina la bwana.

Ahsanta.



yaan watu wanamkufuru mungu bila hofu kabsa. wanafikiri ule upako uliokuwa kwa Elisha Umeisha? Hawajui Kama Bdo Upo Mpk Sasa. Watu Wengi Hawataki Habr Njema Lkn Wanaziunga Mkono Na Kupenda Sn Kuckiliza Habr Mbaya. Mungu Awaponye Kwa Jina La Yesu Kristo.
 
Uzushi huo! Kama ni maombi wewe huwezi Kuomba kwa Mungu hadi uende kwa mchungaji? Acha kuwatia hofu wanaovaa



pointi sio kupeleka kwa mchungaji, bali ni kuzikomboa. sasa huwezi kuzikomboa kama hujaokoka. kwa iyo cha mcngi ni Kumpa Yesu Maisha Yako, Ili Uweze Kuziombea Mwenyewe.
 
yaan watu wanamkufuru mungu bila hofu kabsa. wanafikiri ule upako uliokuwa kwa Elisha Umeisha? Hawajui Kama Bdo Upo Mpk Sasa. Watu Wengi Hawataki Habr Njema Lkn Wanaziunga Mkono Na Kupenda Sn Kuckiliza Habr Mbaya. Mungu Awaponye Kwa Jina La Yesu Kristo.
Ktk maandiko Ibada ya Yesu haokuwa hivyo, hio mmetunga nyie.
Yesu hakuomba kwa Jina lake bali JINA LA MUNGU na km wewe ni Mfuasi wa kweli wa Yesu basi unatakiwa Usali km alivyofundisha Yesu, sio kubumba kivyako.

Yesu alisali hivi.

"Baba yetu uliye mbinguni,
jina lako litukuzwe.
Ufalme wako ufike.
Utakalo lifanyike duniani kama mbinguni.
Utupe leo mkate wetu wa kila siku.
Utusamehe makosa yetu,
kama tunavyowasamehe na sisi waliotukosea.
Usitutie katika kishawishi,
lakini utuopoe maovuni.
Amina.

Hapo hakuna kuongezea Jina la kiumbe Yyt.

Hio ndio Ibada na Dua Ya BWANA YESU.
 
pointi sio kupeleka kwa mchungaji, bali ni kuzikomboa. sasa huwezi kuzikomboa kama hujaokoka. kwa iyo cha mcngi ni Kumpa Yesu Maisha Yako, Ili Uweze Kuziombea Mwenyewe.
Hivi Shanga za kuvaa kiunoni Unataka uzikomboe na kitu gani?
Mbona viumbe mmekuwa na fikra za ajabu ajabu namna hii?
At mpe maisha yako yesu, !!
Sasa Shanga zinahusika vipi na kutoa maisha yako kwa Yesu?

Hizi ni SHANGA tu, tena Za kuvaa Kiunoni wakati wa Ngono. halafu we unaleta Mahubiri. Wapi na wapi!
 
Kwani ni mpaka mchungaji aziombee? Kwani mimi binafsi siwezi kuziombea?
 
Kwani ni mpaka mchungaji aziombee? Kwani mimi binafsi siwezi kuziombea?
We sio mtakatifu. huenda una pepo wa ngono. Lzm uje kwetu sisi wasafi wazee wa upako tukuombee kijana.
La sivyo utakosa uzazi.
 
We sio mtakatifu. huenda una pepo wa ngono. Lzm uje kwetu sisi wasafi wazee wa upako tukuombee kijana.
La sivyo utakosa uzazi.

Huo utakatifu nani aliuthibitisha kwako? Una hakika gani mie nina pepo? Yawezekana wewe ndio pepo mwenyewe nikaja ukaniongezea mapepo so bora nijiombee niliondoe hata hilo moja nililonalo.
 
Huo utakatifu nani aliuthibitisha kwako? Una hakika gani mie nina pepo? Yawezekana wewe ndio pepo mwenyewe nikaja ukaniongezea mapepo so bora nijiombee niliondoe hata hilo moja nililonalo.
Mimi na gwajima na wachungaji wote ni watu hatari sana. Tukiamua tunakusukumia mapepo sasa hivi.
Kijana unatukana Watakatifu?
Mai wangu weeee!
Na Ushindwe, ushindwee.
Wii wii wiii wiii.
Hangla shangla hunda henga,
Ai ai ai ai ai.
Weeee. Usicheze na Watakatifu. Utatambaa sasa hivi,
 
Mimi na gwajima na wachungaji wote ni watu hatari sana. Tukiamua tunakusukumia mapepo sasa hivi.
Kijana unatukana Watakatifu?
Mai wangu weeee!
Na Ushindwe, ushindwee.
Wii wii wiii wiii.
Hangla shangla hunda henga,
Ai ai ai ai ai.
Weeee. Usicheze na Watakatifu. Utatambaa sasa hivi,

Teh teh teh.
Mkuu we nakuaminia. Ni balaa.
 
Mimi na gwajima na wachungaji wote ni watu hatari sana. Tukiamua tunakusukumia mapepo sasa hivi.
Kijana unatukana Watakatifu?
Mai wangu weeee!
Na Ushindwe, ushindwee.
Wii wii wiii wiii.
Hangla shangla hunda henga,
Ai ai ai ai ai.
Weeee. Usicheze na Watakatifu. Utatambaa sasa hivi,

Mkwende huko na ushetani wenu.
 
Mkwende huko na ushetani wenu.
Ntamuomba mwenzangu Gwajima akufanyie maombi leo jioni uondokane na Pepo la kiburi ulilonalo.
Tunachoomba kwako ni sadaka tu ya kufanyia maombi km shs laki 1 tu. Mengine tutamaliza wenyewe.

Unajua Pepo la kiburi lina gharama kubwa sana kulitoa.
Ubarikiwe lkn mpk ulete hio sadaka.
 
Back
Top Bottom