Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Inawezekana ndivyo wanavyotafsiri huko mitaani lakini kwa mimi naona ni urembo tu tena vinawapendeza sana.
 
Dada zetu na mama zetu, mapambo ni kwa kiasi yakizidi ni tatizo. Kwa upande wa vikuku mimi sikujua ni batili mpaka pale Mwana FA katika wimbo wa 'Mabinti' aliposema 'Unaona shanga za miguuni naita vikuku, japo kwa wenye ufahamu ni batili'.

Ukweli unabaki kuwa wadada wamama jipambeni kwa kiasi. Naamini hata wewe ukiona mapambo yanazidi yanageuka kero. Mimi naomba nikupeleke deep zaidi kwenye saikolojia ya mapambo. Kwa vile lengo la mapambo toka enzi na enzi ni kumfanya mwanamke apendeze na mwanamke akishapendeza amini usiamini anakolea zaidi katika mambo fulani.

Wanawake walioongoza kwa kuvaa dhahabu walikuwa wanawake wa Kimisri enzi za Malkia Cleopatra. Mapambo haya yalifikia kilele chumbani wakati wanawake hawa walipojifunua miili yao na kubaki kama walivyozaliwa na walianza kucheza kila aina za mikatiko huku wakisaula kimoja kimoja hatimaye walibakisha shanga za kiunoni, vipini na vikuu na shughuli ilifuatia.

Mpaka leo wanaoongoza kuvaa mapambo hswa dhahabu ni wanawake wa kiarabu lakini mapambo yote ndani ya baibui mpaka muda muafaka wa kujifunua tena kwa mlengwa pekee.

Kutokana na dhahabu kuwa ghali, wadada zetu ili kuonyesha jeuri ya pesa sasa ni kupanga macheni, mapete na mahereni lukuki tena wengine mpaka shanga za dhahabu!. Na asienavyo si haba shurti aazime.

Hapa ndipo kwenye matatizo. Mapambo yakizidi ni dalili ya inferiority complex kwa baadhi ya wanawake kujipamba kupindukia ili kujiridhisha nafsi zao kwa sasa wamependeza. Wajipambao kwa dhahabu ama wametoka familia duni na sasa wamepata wanataka kuutangazia ulimwengu wote hiyo sasa ndio thamani yao. Wanawake matajiri wa kiukweli wanavaa mapambo simple tuu halafu nenda kwenye mkesha wa mdundiko
Uone mijimama inavyoshindana kwa dhahabu.

Namalizia na pambo la ndani la shanga za kiuno. Baadhi ya wanawake wanaamini shanga hizo huwapagawisha wenzi wao. Basi utawakuta wengine wanafikiri ukizidisha idadi unakuwa bingwa zaidi. Niliwahi kuzihesabu za bingwa mmoja a Tanga, alinivalia 40!. Kwa vile mie sio hoi kwa somo hilo, huyo dada japo ulikuwa bingwa hilo zigo la maashanga kwangu lilikuwa kero kiasi cha kuharibu ladha yote ya somo zima!.

Na sasa hivi visichana vinavyochipukia, vinavaa lundo la shanga mikononi kama bangili ili kukupa nafasi ya kujiuliza kama mkononi ndio hivyo, huko kwenyewe itakuwaje?!.
Mapambo ni kwa kiasi tuu yakizidi inakuwa taabu.
Umenena vyema mkuu
 
Hao wanaovaa vikuku miguu yote, mie nina mashaka nao ya kutatuliwa marinda nasikiaga
 
Wasalam..!

Kama nilivyo wasalimia kijana ni mgen kwenye huu mtandao, nimiez michache nimejiunga humu.

Hapo mwanzo nilikiua nasikia jamii forum, lakin rafiki yangu juz, tukiwa tunapata mbili tatu bas nilimuona akiperuz baadhi ya thread humu jf.

Kikubwa kilicho nileta kwenu ni hilo swali hapo juu. Kuna baadhi ya wa dau wana maoni tofauti kutokana na uzoefu wao.

Basi kupitia hayo maoni mbalimbali ya wadau, nabaki njia panda

Hiv majuz kuna mshikaji aliniambia kuwa huo ni urembo na hauna maana yeyote.

Nilivyo kuwa na xuli advance,kuna mdau aliniambia kuwa et wanatoa ndogo...

Bas mm nimewaletea mbele yenu wadau, mnitoe upofu, hiv maana yeke nn?
 
Kikuku kinanukia ahaaa...
Kikuku kinanukia ahaaa...

Yekeyeke mshua yekeyeke
Yekeyeke mshua yekeyeke.
 
Kuna hii dhana kwamba ukiona mdada kavaa cheni(Kikuku) mguuni hasa mguu mmoja kwa kushoto basi tambua Moja kwa moja mdada huyo anapigwa nyuma?

Swali kwenu wa Dada je ni kweli hii Dhana au uzushi tu?
Screenshot_20190216-123629.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kweli na haina uhusiano wowote wa kuvaa kikuu na kufanya ngono kinyume na maumbile hzo ni dhana potofu na mitazamo ya watu kulingana na upeo wa kila mtu na namna anavyofikiri maana ipo midume yenyewe inafata tu mikumbo kwa kusikia tu baadhi ya fikra za watu ila ni urembo kama ambavo wanawake wanavaa pete, hereni na mikufu...maana vikuku mpaka kwenye maandiko ya kikristo vipo na vimeandikwa kama mojawapo ya mapambo kwa mwanamke...
 
Ila Tz ndio nchi pekee ambayo we dont know how to mind our businesses...huwaga tuna mitazamo negative sana when it comez to living our lives...poor us
 
Back
Top Bottom