Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

Urembo wa vikuku, vishaufu na cheni (shanga) kiunoni kwa wadada

demu mmoja kafukuziwa kwa muda sana.baadae akaja akaacept offer.ishu ikawa kutoa mzigo sasa,kabaana sana kwa madai yeye ni bikra kabisa mwanaume hamjui. Cku ya kutimba getto ilikua poa kwa mwanaume akijua leo kapata kitu roho inapenda.baada ya maongez flan na kumrubuni mtoto akakubali kuachia mzigo.dah ile anavua chakushangaza mtoto ana shanga km 10 kiunoni tena za kienyeji.sasa hii cjui imekaaje hapa.

Kwani wewe unaelewaje..kwamba wasio bikra ndio huvaa shanga?? halafu acha kumrubuni mtoto wa watu.
 
Kumbe shanga zinztoaga bikra! Nilikuwa sijui! Nakubwa haya.
 
Kumbe shanga zinatoaga bikra! Nilikuwa sijui! Makubwa haya.
 
kwani kuvaa kwake shanga kunaondoa vipi ubikra wake?
Au ukiwa bikra huruhusiwi kuvaa shanga? AU shanga havaliwa na wasio na bikra TU.
 
demu mmoja kafukuziwa kwa muda sana.baadae akaja akaacept offer.ishu ikawa kutoa mzigo sasa,kabaana sana kwa madai yeye ni bikra kabisa mwanaume hamjui. Cku ya kutimba getto ilikua poa kwa mwanaume akijua leo kapata kitu roho inapenda.baada ya maongez flan na kumrubuni mtoto akakubali kuachia mzigo.dah ile anavua chakushangaza mtoto ana shanga km 10 kiunoni tena za kienyeji.sasa hii cjui imekaaje hapa.
Mbona hujamalizia stori, yaani umetuacha hewani. e.g. Baada ya kuona shanga nini kiliendelea
 
Shanga ina ondoa bikra!

Nahisi hii story umetunga na umesahau jinsi ya kuiweka vizuri!
 
demu mmoja kafukuziwa kwa muda sana.baadae akaja akaacept offer.ishu ikawa kutoa mzigo sasa,kabaana sana kwa madai yeye ni bikra kabisa mwanaume hamjui. Cku ya kutimba getto ilikua poa kwa mwanaume akijua leo kapata kitu roho inapenda.baada ya maongez flan na kumrubuni mtoto akakubali kuachia mzigo.dah ile anavua chakushangaza mtoto ana shanga km 10 kiunoni tena za kienyeji.sasa hii cjui imekaaje hapa.

Malizia tu ulivyopiga hodi ulikuta mlango u wazi tutakuwa tumekuelewa
 
uvaaji shanga ni utamaduni wa kiafrika, hauna uhusiano na ubikira. ni vizuri tuenzi mila zetu.
 
Acha uzinzi,oa na chapili shanga ni utamaduni wa baadhi ya makabila ya TZ kwa wamakonde,wamwera,wazaramo ,wamakuwana watu wa Tanga.Huvaa tangia utotoni.
 
Wenyewe wanakuwa wakali sana wakijadiliwa...na kuishia kuwatusi watu kuwa washamba..!
 
huyo anapiga mguu moja tu ..akivaa miguu yote basi ujue ni kama lampard yaani anatumia miguu yote wa KUSHOTO na KULIA
 
Analitufiliwa huyo kwahyo ukienda naye we usiombe tu GOti we peleka tu moja kwa moja!
 
Baadhi ya makabila hapa Tanzania huvaa shanga kama urembo,ila kuna makabila huvaa shanga ambazo kwa Mwanaume azionapo hugundua nini kinaendelea...
Kwa wenzetu walioendelea kuvaa ki ushangaa mguu wa kushoto ni ishara kuwa wewe Mwili wako unautumia Back na Front.
Lakini utakapo vaa mguu wa kulia huashiria kuwa wewe hujaolewa na uko tayari kuolewa kwa yoyote atakae jitokeza.
Kùvaa miguu yote ni ishara ya kuonyesha mambo mawili tajwa hapo juu na Maana hii hata hapa Tanzania hufikiria maana moja tu kuwa mvaaji wa kikuu ni mtumia wa kisima cha Asali na pomba la taka.
Tanzani yetu kuna Rangi mbili baadhi ya makabila huzitumia..ukiachilia ukawaida wa wadada kuvaa shanga nyingi kama mzigo wa kuni nakusababisha mazalio ya chawa,kunguni.
Turudi kwenye Rangi endapo una mke/mpenzi anatumia shanga jaribu kumsoma Kama anatumia shanga zenye rangi nyekundu muda gani na rangi nyeupe muda.
Shanga za rangi nyekundu ni ishara ya kuwa yupo kwenye siku zake na hutakiwa hata kumgusa.Shanga za Rangi Nyeupe Huashiria kuwa yupo kwenye siku salama anaweza kukutana na mwenzi wake atakavyo.
...machache kwa leo.
 
Back
Top Bottom