Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
demu mmoja kafukuziwa kwa muda sana.baadae akaja akaacept offer.ishu ikawa kutoa mzigo sasa,kabaana sana kwa madai yeye ni bikra kabisa mwanaume hamjui. Cku ya kutimba getto ilikua poa kwa mwanaume akijua leo kapata kitu roho inapenda.baada ya maongez flan na kumrubuni mtoto akakubali kuachia mzigo.dah ile anavua chakushangaza mtoto ana shanga km 10 kiunoni tena za kienyeji.sasa hii cjui imekaaje hapa.
Mbona hujamalizia stori, yaani umetuacha hewani. e.g. Baada ya kuona shanga nini kiliendeleademu mmoja kafukuziwa kwa muda sana.baadae akaja akaacept offer.ishu ikawa kutoa mzigo sasa,kabaana sana kwa madai yeye ni bikra kabisa mwanaume hamjui. Cku ya kutimba getto ilikua poa kwa mwanaume akijua leo kapata kitu roho inapenda.baada ya maongez flan na kumrubuni mtoto akakubali kuachia mzigo.dah ile anavua chakushangaza mtoto ana shanga km 10 kiunoni tena za kienyeji.sasa hii cjui imekaaje hapa.
part two ya hii story ikianza naomba mtu 'aniDIPU'!
demu mmoja kafukuziwa kwa muda sana.baadae akaja akaacept offer.ishu ikawa kutoa mzigo sasa,kabaana sana kwa madai yeye ni bikra kabisa mwanaume hamjui. Cku ya kutimba getto ilikua poa kwa mwanaume akijua leo kapata kitu roho inapenda.baada ya maongez flan na kumrubuni mtoto akakubali kuachia mzigo.dah ile anavua chakushangaza mtoto ana shanga km 10 kiunoni tena za kienyeji.sasa hii cjui imekaaje hapa.
kwani shanga zina uhusiano gani na bk?