Pre GE2025 Uropokaji wa Tundu Lissu ni kilema hawezi kubadilika. Tumkatae kabla hajaleta maafa

Pre GE2025 Uropokaji wa Tundu Lissu ni kilema hawezi kubadilika. Tumkatae kabla hajaleta maafa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Waropokaji sio viongozi ila ni mabingwa wa kupanga mapinduzi bila mwendelezo.Hii ni kama wale mitume na manabii wa pesa,wanakuambia dini uliyopo audhehebu ni shida,ukimpa kichwa chako akaongoza unashangaa umefilisika,baadhi walokole wengi wamepigiwa hapa.Ndio maana hawa ni mabingwa wa kuongea ila utendaji ni ziro,ni mikwara tu.Ndilo kosa linataka kutokea
 
Wafuasi wa Tundu Lissu wamekuwa wakimtetea huyu 'masia' wao kuwa ni mkweli, kanyooka, penye nyeusi anaita nyeusi, ni msafi.

Lakini siku zinavyozidi kwenda inajidhiilisha Tundu Lissu sio mkweli bali ni mropokaji.
Lissu anaropoka jambo lolote ambalo anahisi wafuasi wake watapenda kulisikia na litamuongezea political mileage.

Lissu sio mwanasiasa mwenye mipango madhubuti yeye anategemea mdomo, kuwatukana na kudhalilisha wengine ili yeye akue. Lakini hawezi kufanya mikakati ya kiuongozi na kisiasa.

Viongozi waropokaji kama Tundu Lissu ni hatari kwa usalama wa taifa. Ni wepesi sana kuchochea machafuko ili wapate upenyo wa kushika madaraka hawajui mbinu nyingine za ziada zaidi ya kuropoka na kuchochea vurugu.

Adolf Hitler aliingiza dunia kwenye vita ya dunia kwa sababu ya kuropoka sana na kuchochea ubaguzi. Alipata alichokitaka.

Nduli Iddi Amini nae alikuwa mropokaji mzuri sana ilifikia wakati aliichimba mkwara mpaka Uingereza na mashabiki wake walikuwa wanamshangilia sana. Lakini Nyerere alimpa kinachomstahili.

Hapa Tanzania tulikuwa na Mtikila alikuwa ni mropokaji kama Lissu na Lissu ni kama anaenda kuwa Mtikila mpya baada ya huu uchaguzi wa Chadema. Mtikila ilifikia wakati akaaminisha mashabiki wake kuwa wahindi ndio tatizo kwenye hii nchi yani uwepo wa wahindi ndio unasababisha waswahili wasiendelee. Mtikila mpaka anafariki alikuwa mwanasiasa wa hovyo kabisa sababu ya uropokaji.

Sasa huyu tulie nae anaitwa Tundu Lissu ni tatizo sio tu kwenye chama chake cha Chadema bali ni tatizo kwa taifa. Huyu jamaa anaropoka sana mpaka amepitiliza. Sijui hata wafuasi wake kama wanapata picha huyu jamaa ataenda kuongozaje chama kwa tabia za namna hiyo. Kwa uropokaji wa Lissu hawezi kuongoza chama kikawa kimoja hajui kuunganisha watu anachoweza ni kubomoa.

Ameshatoa kauli zinazoenda kuua chama anachotaka kukiongoza lakini kama haitoshi ametoa kauli nzito zinazoweza kuhatarisha umoja na amani ya taifa letu.

Kauli zake kuhusu kikao cha faragha na viongozi wa kidini zinatosha kabisa kusema huyu mropokaji hafai kuwa kiongozi na ni hatari na ikiwezekana akapimwe utimamu wa ubongo wake maana hii sio kawaida.

Shukrani Mbowe kwa maono yako, umechagua maslahi ya taifa over upepo wa mihemko.

Mkishammaliza uko CHADEMA kazi yake huku nje ni nyepesi. Maana hatopata tena platform ya kufanya uropokaji wake na akachukuliwa serious.

#KataaMropokaji
Lissu anavyowapelekesha mpaka mtajamba cheche
 
Abdul alienda kwake kwa sababu alikaribishwa akuvamia.

Alafu Lissu sio kiongozi wa kwanza nchi hii kuongea na mtoto wa Rais. Yeye ni mropokaji ndio maana kaona ni ajabu.

Viongozi wa upinzani wanaongea na marais, wanaongea na viongozi wa dini, wanaongea na mabalozi, wanaongea na watu wa juu wa usalama. Ila wanakausha kiume.

Lissu kwa uropokaji ule huwezi kuwa na trust ya kuongea nae jambo lolote la siri.
Nimeshangaa sana aliposema kuwa yale mambo yaliyokuwa yanajadiliwa kwenye ule MUAFAKA wa CCM na CHADEMA, 'kuna mambo' yasingefahamika, kama HECHE asingekuwemo kwenye wajumbe kutoka CHADEMA. Pamoja na kuwa, naye HECHE "HANA SIRI", Lissu hakupaswa kumtaja! Na wakichukua chama hiki, tutegemee mengi, kutokana kuwa na viongozi WANAOFANANA kwa kuto KUTUNZA SIRI!
 
Wafuasi wa Tundu Lissu wamekuwa wakimtetea huyu 'masia' wao kuwa ni mkweli, kanyooka, penye nyeusi anaita nyeusi, ni msafi.

Lakini siku zinavyozidi kwenda inajidhiilisha Tundu Lissu sio mkweli bali ni mropokaji.
Lissu anaropoka jambo lolote ambalo anahisi wafuasi wake watapenda kulisikia na litamuongezea political mileage.

Lissu sio mwanasiasa mwenye mipango madhubuti yeye anategemea mdomo, kuwatukana na kudhalilisha wengine ili yeye akue. Lakini hawezi kufanya mikakati ya kiuongozi na kisiasa.

Viongozi waropokaji kama Tundu Lissu ni hatari kwa usalama wa taifa. Ni wepesi sana kuchochea machafuko ili wapate upenyo wa kushika madaraka hawajui mbinu nyingine za ziada zaidi ya kuropoka na kuchochea vurugu.

Adolf Hitler aliingiza dunia kwenye vita ya dunia kwa sababu ya kuropoka sana na kuchochea ubaguzi. Alipata alichokitaka.

Nduli Iddi Amini nae alikuwa mropokaji mzuri sana ilifikia wakati aliichimba mkwara mpaka Uingereza na mashabiki wake walikuwa wanamshangilia sana. Lakini Nyerere alimpa kinachomstahili.

Hapa Tanzania tulikuwa na Mtikila alikuwa ni mropokaji kama Lissu na Lissu ni kama anaenda kuwa Mtikila mpya baada ya huu uchaguzi wa Chadema. Mtikila ilifikia wakati akaaminisha mashabiki wake kuwa wahindi ndio tatizo kwenye hii nchi yani uwepo wa wahindi ndio unasababisha waswahili wasiendelee. Mtikila mpaka anafariki alikuwa mwanasiasa wa hovyo kabisa sababu ya uropokaji.

Sasa huyu tulie nae anaitwa Tundu Lissu ni tatizo sio tu kwenye chama chake cha Chadema bali ni tatizo kwa taifa. Huyu jamaa anaropoka sana mpaka amepitiliza. Sijui hata wafuasi wake kama wanapata picha huyu jamaa ataenda kuongozaje chama kwa tabia za namna hiyo. Kwa uropokaji wa Lissu hawezi kuongoza chama kikawa kimoja hajui kuunganisha watu anachoweza ni kubomoa.

Ameshatoa kauli zinazoenda kuua chama anachotaka kukiongoza lakini kama haitoshi ametoa kauli nzito zinazoweza kuhatarisha umoja na amani ya taifa letu.

Kauli zake kuhusu kikao cha faragha na viongozi wa kidini zinatosha kabisa kusema huyu mropokaji hafai kuwa kiongozi na ni hatari na ikiwezekana akapimwe utimamu wa ubongo wake maana hii sio kawaida.

Shukrani Mbowe kwa maono yako, umechagua maslahi ya taifa over upepo wa mihemko.

Mkishammaliza uko CHADEMA kazi yake huku nje ni nyepesi. Maana hatopata tena platform ya kufanya uropokaji wake na akachukuliwa serious.

#KataaMropokaji
umemjua baada ya kugombea uenyekiti? Acha uchawa banamdogo fanya kazi halali
 
Makelele unayo wewe unaekuja humu kila siku kubwabwaja na wala hicho unachokizungumzia hakijulikani labda unafiki.
sasa hebu cheki na kufikiria vizuri,

kama viongozi wakuu wa chama mnakaa kwenye kikao tena cha kamati kuu, na mnakubaliana bila ubishi wala kutofautiana maoni kwamba kama viongozi wa chama kila moja ajitolee kuchangia kiasi fulani cha fedha kwa maslahi ya chama, vizuri tu, kila moja anasema sawa sawa, kikao kinafungwa salama.


baada ya muda unaskia mayowe mitandaoni na kwenye majukwaa ya kisiasa kutoka kwa kiongozi yule yule aliekubali kuchangia kwenye kikao cha kamati kuu, eti anadai hakuna sheria wala kanuni ya chama inayomlazimisha kiongozi kuchangia kitu chochote kwaajili ya chama.🤣

hii ni kelele au mayowe my friends, ladies and gentlemen 🐒
 
Nimeshangaa sana aliposema kuwa yale mambo yaliyokuwa yanajadiliwa kwenye ule MUAFAKA wa CCM na CHADEMA, 'kuna mambo' yasingefahamika, kama HECHE asingekuwemo kwenye wajumbe kutoka CHADEMA. Pamoja na kuwa, naye HECHE "HANA SIRI", Lissu hakupaswa kumtaja! Na wakichukua chama hiki, tutegemee mengi, kutokana kuwa na viongozi WANAOFANANA kwa kuto KUTUNZA SIRI!
Chadema wengi ni watu wa vibe awafanyi analysis wakisikia lolote wanamshangilia ilimrad lisemwe na wanayempenda. Lissu ni disaster.
 
Wafuasi wa Tundu Lissu wamekuwa wakimtetea huyu 'masia' wao kuwa ni mkweli, kanyooka, penye nyeusi anaita nyeusi, ni msafi.

Lakini siku zinavyozidi kwenda inajidhiilisha Tundu Lissu sio mkweli bali ni mropokaji.
Lissu anaropoka jambo lolote ambalo anahisi wafuasi wake watapenda kulisikia na litamuongezea political mileage.

Lissu sio mwanasiasa mwenye mipango madhubuti yeye anategemea mdomo, kuwatukana na kudhalilisha wengine ili yeye akue. Lakini hawezi kufanya mikakati ya kiuongozi na kisiasa.

Viongozi waropokaji kama Tundu Lissu ni hatari kwa usalama wa taifa. Ni wepesi sana kuchochea machafuko ili wapate upenyo wa kushika madaraka hawajui mbinu nyingine za ziada zaidi ya kuropoka na kuchochea vurugu.

Adolf Hitler aliingiza dunia kwenye vita ya dunia kwa sababu ya kuropoka sana na kuchochea ubaguzi. Alipata alichokitaka.

Nduli Iddi Amini nae alikuwa mropokaji mzuri sana ilifikia wakati aliichimba mkwara mpaka Uingereza na mashabiki wake walikuwa wanamshangilia sana. Lakini Nyerere alimpa kinachomstahili.

Hapa Tanzania tulikuwa na Mtikila alikuwa ni mropokaji kama Lissu na Lissu ni kama anaenda kuwa Mtikila mpya baada ya huu uchaguzi wa Chadema. Mtikila ilifikia wakati akaaminisha mashabiki wake kuwa wahindi ndio tatizo kwenye hii nchi yani uwepo wa wahindi ndio unasababisha waswahili wasiendelee. Mtikila mpaka anafariki alikuwa mwanasiasa wa hovyo kabisa sababu ya uropokaji.

Sasa huyu tulie nae anaitwa Tundu Lissu ni tatizo sio tu kwenye chama chake cha Chadema bali ni tatizo kwa taifa. Huyu jamaa anaropoka sana mpaka amepitiliza. Sijui hata wafuasi wake kama wanapata picha huyu jamaa ataenda kuongozaje chama kwa tabia za namna hiyo. Kwa uropokaji wa Lissu hawezi kuongoza chama kikawa kimoja hajui kuunganisha watu anachoweza ni kubomoa.

Ameshatoa kauli zinazoenda kuua chama anachotaka kukiongoza lakini kama haitoshi ametoa kauli nzito zinazoweza kuhatarisha umoja na amani ya taifa letu.

Kauli zake kuhusu kikao cha faragha na viongozi wa kidini zinatosha kabisa kusema huyu mropokaji hafai kuwa kiongozi na ni hatari na ikiwezekana akapimwe utimamu wa ubongo wake maana hii sio kawaida.

Shukrani Mbowe kwa maono yako, umechagua maslahi ya taifa over upepo wa mihemko.

Mkishammaliza uko CHADEMA kazi yake huku nje ni nyepesi. Maana hatopata tena platform ya kufanya uropokaji wake na akachukuliwa serious.

#KataaMropokaji
Naona CCM mnahangaika sana kujifanya nyie Chadema.

Lissu sio mropokaji. Labda ungetuambia uropokaji wa Lissu ni upi na una madhara gani kwa Chadema au Tanzania?

Nyie CCM kibaraka anayekula hela zenu na kuwadekea ili muendelee kuila Tanzania ndo mpinzani mnayemtaka. Mpinzani kweli anayewaambia ukweli kazi yenu kumtengenezea fitna tu.
 
Back
Top Bottom