Pre GE2025 Uropokaji wa Tundu Lissu ni kilema hawezi kubadilika. Tumkatae kabla hajaleta maafa

Pre GE2025 Uropokaji wa Tundu Lissu ni kilema hawezi kubadilika. Tumkatae kabla hajaleta maafa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
H
Wafuasi wa Tundu Lissu wamekuwa wakimtetea huyu 'masia' wao kuwa ni mkweli, kanyooka, penye nyeusi anaita nyeusi, ni msafi.

Lakini siku zinavyozidi kwenda inajidhiilisha Tundu Lissu sio mkweli bali ni mropokaji.
Lissu anaropoka jambo lolote ambalo anahisi wafuasi wake watapenda kulisikia na litamuongezea political mileage.

Lissu sio mwanasiasa mwenye mipango madhubuti yeye anategemea mdomo, kuwatukana na kudhalilisha wengine ili yeye akue. Lakini hawezi kufanya mikakati ya kiuongozi na kisiasa.

Viongozi waropokaji kama Tundu Lissu ni hatari kwa usalama wa taifa. Ni wepesi sana kuchochea machafuko ili wapate upenyo wa kushika madaraka hawajui mbinu nyingine za ziada zaidi ya kuropoka na kuchochea vurugu.

Adolf Hitler aliingiza dunia kwenye vita ya dunia kwa sababu ya kuropoka sana na kuchochea ubaguzi. Alipata alichokitaka.

Nduli Iddi Amini nae alikuwa mropokaji mzuri sana ilifikia wakati aliichimba mkwara mpaka Uingereza na mashabiki wake walikuwa wanamshangilia sana. Lakini Nyerere alimpa kinachomstahili.

Hapa Tanzania tulikuwa na Mtikila alikuwa ni mropokaji kama Lissu na Lissu ni kama anaenda kuwa Mtikila mpya baada ya huu uchaguzi wa Chadema. Mtikila ilifikia wakati akaaminisha mashabiki wake kuwa wahindi ndio tatizo kwenye hii nchi yani uwepo wa wahindi ndio unasababisha waswahili wasiendelee. Mtikila mpaka anafariki alikuwa mwanasiasa wa hovyo kabisa sababu ya uropokaji.

Sasa huyu tulie nae anaitwa Tundu Lissu ni tatizo sio tu kwenye chama chake cha Chadema bali ni tatizo kwa taifa. Huyu jamaa anaropoka sana mpaka amepitiliza. Sijui hata wafuasi wake kama wanapata picha huyu jamaa ataenda kuongozaje chama kwa tabia za namna hiyo. Kwa uropokaji wa Lissu hawezi kuongoza chama kikawa kimoja hajui kuunganisha watu anachoweza ni kubomoa.

Ameshatoa kauli zinazoenda kuua chama anachotaka kukiongoza lakini kama haitoshi ametoa kauli nzito zinazoweza kuhatarisha umoja na amani ya taifa letu.

Kauli zake kuhusu kikao cha faragha na viongozi wa kidini zinatosha kabisa kusema huyu mropokaji hafai kuwa kiongozi na ni hatari na ikiwezekana akapimwe utimamu wa ubongo wake maana hii sio kawaida.

Shukrani Mbowe kwa maono yako, umechagua maslahi ya taifa over upepo wa mihemko.

Mkishammaliza uko CHADEMA kazi yake huku nje ni nyepesi. Maana hatopata tena platform ya kufanya uropokaji wake na akachukuliwa serious.

#KataaMropokaji
Hakika umeongea. Mtu anayetoa taarifa za vikao vya siri hadharani huyo hafai kuwa kiongozi. Chadema waache kuhemshwa na egostic behaviour ya huyu jamaa.
 
Asante sana tena sana. Nilidhani hili tatizo naliona peke yangu. Tundu Lisu yupo tayari kutoa siri za chumbani pale atapokosana na mkewe
Endeleeni kujitekenya na kucheka. Kibali kipo kwa Lissu. Na hakuna mtu wa kukiondoa hadi kusudi litimie. Ndiyo maana mnaweweseka tu muda wote Lissu, Lissu. Tambueni tu mioyo ya watanzania wapenda mabadiliko ipo kwa LISU.
 
Lissu anatonywa kuna watu wanataka kukuua. Kesho yake anaenda kwenye media anatoa details za aliyempa information kuanzia identity yake mpaka movements za mtoa siri.
hapo huwa anafanya makusudi ili maadui zake wajue kuwa habari anazo wasitishe mipango yao
 
Keahiyo mnataka watu wasio na madhara na chawa wa dikteta mbowe ndo waendee kugombea nafasi za uongozi
Lissu nae ni mgombea wajumbe wataamua nani anafaa kuongoza chama.
 
We jamaa kichwa chako kina tobo mahali hivyo ubongo unabunguliwa, mbona maelezo ya jambo hili yamenyooka kabisa na wala hayahitaji mjadala huwa nashikukushangaa unatabu gani kujifanya hujui abdul alifikaje kwa lissu
Abdul alikaribishwa na Lissu nyumbani kwake wakae waongee. Abdul akuvamia nyumba ya Lissu.
 
Wafuasi wa Tundu Lissu wamekuwa wakimtetea huyu 'masia' wao kuwa ni mkweli, kanyooka, penye nyeusi anaita nyeusi, ni msafi.

Lakini siku zinavyozidi kwenda inajidhiilisha Tundu Lissu sio mkweli bali ni mropokaji.
Lissu anaropoka jambo lolote ambalo anahisi wafuasi wake watapenda kulisikia na litamuongezea political mileage.

Lissu sio mwanasiasa mwenye mipango madhubuti yeye anategemea mdomo, kuwatukana na kudhalilisha wengine ili yeye akue. Lakini hawezi kufanya mikakati ya kiuongozi na kisiasa.

Viongozi waropokaji kama Tundu Lissu ni hatari kwa usalama wa taifa. Ni wepesi sana kuchochea machafuko ili wapate upenyo wa kushika madaraka hawajui mbinu nyingine za ziada zaidi ya kuropoka na kuchochea vurugu.

Adolf Hitler aliingiza dunia kwenye vita ya dunia kwa sababu ya kuropoka sana na kuchochea ubaguzi. Alipata alichokitaka.

Nduli Iddi Amini nae alikuwa mropokaji mzuri sana ilifikia wakati aliichimba mkwara mpaka Uingereza na mashabiki wake walikuwa wanamshangilia sana. Lakini Nyerere alimpa kinachomstahili.

Hapa Tanzania tulikuwa na Mtikila alikuwa ni mropokaji kama Lissu na Lissu ni kama anaenda kuwa Mtikila mpya baada ya huu uchaguzi wa Chadema. Mtikila ilifikia wakati akaaminisha mashabiki wake kuwa wahindi ndio tatizo kwenye hii nchi yani uwepo wa wahindi ndio unasababisha waswahili wasiendelee. Mtikila mpaka anafariki alikuwa mwanasiasa wa hovyo kabisa sababu ya uropokaji.

Sasa huyu tulie nae anaitwa Tundu Lissu ni tatizo sio tu kwenye chama chake cha Chadema bali ni tatizo kwa taifa. Huyu jamaa anaropoka sana mpaka amepitiliza. Sijui hata wafuasi wake kama wanapata picha huyu jamaa ataenda kuongozaje chama kwa tabia za namna hiyo. Kwa uropokaji wa Lissu hawezi kuongoza chama kikawa kimoja hajui kuunganisha watu anachoweza ni kubomoa.

Ameshatoa kauli zinazoenda kuua chama anachotaka kukiongoza lakini kama haitoshi ametoa kauli nzito zinazoweza kuhatarisha umoja na amani ya taifa letu.

Kauli zake kuhusu kikao cha faragha na viongozi wa kidini zinatosha kabisa kusema huyu mropokaji hafai kuwa kiongozi na ni hatari na ikiwezekana akapimwe utimamu wa ubongo wake maana hii sio kawaida.

Shukrani Mbowe kwa maono yako, umechagua maslahi ya taifa over upepo wa mihemko.

Mkishammaliza uko CHADEMA kazi yake huku nje ni nyepesi. Maana hatopata tena platform ya kufanya uropokaji wake na akachukuliwa serious.

#KataaMropokaji
Pumbavu ,wewe apa ujaropoka , uzwazwa nchi hii ni mwingi sana , unaowaona ni wamaana kwako watakufa na kumuacha lissu
 
H

Hakika umeongea. Mtu anayetoa taarifa za vikao vya siri hadharani huyo hafai kuwa kiongozi. Chadema waache kuhemshwa na egostic behaviour ya huyu jamaa.
Nguvu ya kumtaka Lissu ipo zaidi nje ya chama, naamini chama kinaenda kufanya maamuzi sahihi ya kutuondolea huyu mropokaji.
 
Zitto kabwe, dr. Slaa, mdee, bulaya, now ni Tundulisu...
Kuna kitu hakipo sawa na wafia timu moja! Mkipewa nchi itakuaje? Hamtobadili katiba ili kuweka kiongozi kama rais kutokuwa na ukomo wa madaraka? Vipi wananchi ? Wanaanzaje kuwa na imani na nyie ?
Wafia mtu hawaonj kuwa chama kinadidimia , CHADEMA ya zamani sio kama hii, watu wengi wenye ushawishi wanaondoka kwa sababu ya nyie wafia mtu na sio chama!
Chama ni taasisi na sio mtu!
Ukimnyooshea CCM kidole na wewe pia unapaswa kujiangalia kama upo sawa!
 
hapo huwa anafanya makusudi ili maadui zake wajue kuwa habari anazo wasitishe mipango yao
Sio makusudi kile ni kilema hajui nini cha kubakisha anapoongea akiona mic anapandwa na midadi.
 
Mimi ni timu Lisu lakini kiukweli Lisu apunguze kidogo kumjibu mbowe na mafisadi wengine ajikite kwenye mikakati ya kujenga chama.
 
Wafuasi wa Tundu Lissu wamekuwa wakimtetea huyu 'masia' wao kuwa ni mkweli, kanyooka, penye nyeusi anaita nyeusi, ni msafi.

Lakini siku zinavyozidi kwenda inajidhiilisha Tundu Lissu sio mkweli bali ni mropokaji.
Lissu anaropoka jambo lolote ambalo anahisi wafuasi wake watapenda kulisikia na litamuongezea political mileage.

Lissu sio mwanasiasa mwenye mipango madhubuti yeye anategemea mdomo, kuwatukana na kudhalilisha wengine ili yeye akue. Lakini hawezi kufanya mikakati ya kiuongozi na kisiasa.

Viongozi waropokaji kama Tundu Lissu ni hatari kwa usalama wa taifa. Ni wepesi sana kuchochea machafuko ili wapate upenyo wa kushika madaraka hawajui mbinu nyingine za ziada zaidi ya kuropoka na kuchochea vurugu.

Adolf Hitler aliingiza dunia kwenye vita ya dunia kwa sababu ya kuropoka sana na kuchochea ubaguzi. Alipata alichokitaka.

Nduli Iddi Amini nae alikuwa mropokaji mzuri sana ilifikia wakati aliichimba mkwara mpaka Uingereza na mashabiki wake walikuwa wanamshangilia sana. Lakini Nyerere alimpa kinachomstahili.

Hapa Tanzania tulikuwa na Mtikila alikuwa ni mropokaji kama Lissu na Lissu ni kama anaenda kuwa Mtikila mpya baada ya huu uchaguzi wa Chadema. Mtikila ilifikia wakati akaaminisha mashabiki wake kuwa wahindi ndio tatizo kwenye hii nchi yani uwepo wa wahindi ndio unasababisha waswahili wasiendelee. Mtikila mpaka anafariki alikuwa mwanasiasa wa hovyo kabisa sababu ya uropokaji.

Sasa huyu tulie nae anaitwa Tundu Lissu ni tatizo sio tu kwenye chama chake cha Chadema bali ni tatizo kwa taifa. Huyu jamaa anaropoka sana mpaka amepitiliza. Sijui hata wafuasi wake kama wanapata picha huyu jamaa ataenda kuongozaje chama kwa tabia za namna hiyo. Kwa uropokaji wa Lissu hawezi kuongoza chama kikawa kimoja hajui kuunganisha watu anachoweza ni kubomoa.

Ameshatoa kauli zinazoenda kuua chama anachotaka kukiongoza lakini kama haitoshi ametoa kauli nzito zinazoweza kuhatarisha umoja na amani ya taifa letu.

Kauli zake kuhusu kikao cha faragha na viongozi wa kidini zinatosha kabisa kusema huyu mropokaji hafai kuwa kiongozi na ni hatari na ikiwezekana akapimwe utimamu wa ubongo wake maana hii sio kawaida.

Shukrani Mbowe kwa maono yako, umechagua maslahi ya taifa over upepo wa mihemko.

Mkishammaliza uko CHADEMA kazi yake huku nje ni nyepesi. Maana hatopata tena platform ya kufanya uropokaji wake na akachukuliwa serious.

#KataaMropokaji
dili na mond tu huku kwa LISSU achana nae
 
Zitto kabwe, dr. Slaa, mdee, bulaya, now ni Tundulisu...
Kuna kitu hakipo sawa na wafia timu moja! Mkipewa nchi itakuaje? Hamtobadili katiba ili kuweka kiongozi kama rais kutokuwa na ukomo wa madaraka? Vipi wananchi ? Wanaanzaje kuwa na imani na nyie ?
Wafia mtu hawaonj kuwa chama kinadidimia , CHADEMA ya zamani sio kama hii, watu wengi wenye ushawishi wanaondoka kwa sababu ya nyie wafia mtu na sio chama!
Chama ni taasisi na sio mtu!
Ukimnyooshea CCM kidole na wewe pia unapaswa kujiangalia kama upo sawa!
Chadema chini ya Lissu akiwezi kuwa chama kitakuwa kikundi cha vurugu.
 
Tundu Lissu ni mropokaji sio mkweli, angekuwa mkweli tungemsikia kwenye uchaguzi wa 2015 kwenye mchakato wa kumkaribisha Lowassa kwenye chama kulikuwa na mambo mengi ya hovyo lakini kwa kuwa alikuwa sehemu ya wanufaika pesa ilimfumba mdomo wake mrefu.
Lilikuwa Dili la mwenyekiti
 
Lissu anatonywa kuna watu wanataka kukuua. Kesho yake anaenda kwenye media anatoa details za aliyempa information kuanzia identity yake mpaka movements za mtoa siri.
Alimuuliza lakini kama anaweza kuliweka public...Hebu sema siri ya nchi aliyo expose Lissu public nasisi tuijue labda.
 
Back
Top Bottom