Pre GE2025 Uropokaji wa Tundu Lissu ni kilema hawezi kubadilika. Tumkatae kabla hajaleta maafa

Pre GE2025 Uropokaji wa Tundu Lissu ni kilema hawezi kubadilika. Tumkatae kabla hajaleta maafa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
akiwa rais ataapa kulinda siri za nchi. Why aropoke kutoa siri za nchi wakati ana maofisa usalama wa taifa? Kwenye huu mtifuano ni kampeni tu ajiweke front vew kwa wapiga kura wake dhidi ya mpinzani wake
Kutunza siri sio ishu ya kiapo ni ishu ya maadili na hekma ambavyo vyote Lissu hana.
 
Wafuasi wa Tundu Lissu wamekuwa wakimtetea huyu 'masia' wao kuwa ni mkweli, kanyooka, penye nyeusi anaita nyeusi, ni msafi.

Lakini siku zinavyozidi kwenda inajidhiilisha Tundu Lissu sio mkweli bali ni mropokaji.
Lissu anaropoka jambo lolote ambalo anahisi wafuasi wake watapenda kulisikia na litamuongezea political mileage.

Lissu sio mwanasiasa mwenye mipango madhubuti yeye anategemea mdomo, kuwatukana na kudhalilisha wengine ili yeye akue. Lakini hawezi kufanya mikakati ya kiuongozi na kisiasa.

Viongozi waropokaji kama Tundu Lissu ni hatari kwa usalama wa taifa. Ni wepesi sana kuchochea machafuko ili wapate upenyo wa kushika madaraka hawajui mbinu nyingine za ziada zaidi ya kuropoka na kuchochea vurugu.

Adolf Hitler aliingiza dunia kwenye vita ya dunia kwa sababu ya kuropoka sana na kuchochea ubaguzi. Alipata alichokitaka.

Nduli Iddi Amini nae alikuwa mropokaji mzuri sana ilifikia wakati aliichimba mkwara mpaka Uingereza na mashabiki wake walikuwa wanamshangilia sana. Lakini Nyerere alimpa kinachomstahili.

Hapa Tanzania tulikuwa na Mtikila alikuwa ni mropokaji kama Lissu na Lissu ni kama anaenda kuwa Mtikila mpya baada ya huu uchaguzi wa Chadema. Mtikila ilifikia wakati akaaminisha mashabiki wake kuwa wahindi ndio tatizo kwenye hii nchi yani uwepo wa wahindi ndio unasababisha waswahili wasiendelee. Mtikila mpaka anafariki alikuwa mwanasiasa wa hovyo kabisa sababu ya uropokaji.

Sasa huyu tulie nae anaitwa Tundu Lissu ni tatizo sio tu kwenye chama chake cha Chadema bali ni tatizo kwa taifa. Huyu jamaa anaropoka sana mpaka amepitiliza. Sijui hata wafuasi wake kama wanapata picha huyu jamaa ataenda kuongozaje chama kwa tabia za namna hiyo. Kwa uropokaji wa Lissu hawezi kuongoza chama kikawa kimoja hajui kuunganisha watu anachoweza ni kubomoa.

Ameshatoa kauli zinazoenda kuua chama anachotaka kukiongoza lakini kama haitoshi ametoa kauli nzito zinazoweza kuhatarisha umoja na amani ya taifa letu.

Kauli zake kuhusu kikao cha faragha na viongozi wa kidini zinatosha kabisa kusema huyu mropokaji hafai kuwa kiongozi na ni hatari na ikiwezekana akapimwe utimamu wa ubongo wake maana hii sio kawaida.

Shukrani Mbowe kwa maono yako, umechagua maslahi ya taifa over upepo wa mihemko.

Mkishammaliza uko chadema kazi yake huku nje ni nyepesi. Maana hatopata tena platform ya kufanya uropokaji wake na akachukuliwa serious.

#KataaMropokaji
Lisu ni mkweli
 
Kutunza siri sio ishu ya kiapo ni ishu ya maadili na hekma ambavyo vyote Lissu hana.
Utunze siri za wala rushwa? Hiyo ni tabia na hulka ya CCM kwamba wezi na wala rushwa wanatakiwa kufichiwa siri na kuheshimiwa, sasa LISSU sio mtu wa aina hiyo ndiyo maana aliwalipua wala rushwa mbele ya bunge na hadharani, kiapo cha kutunza siri za wala rushwa na wezi ni cha CCM
 
Ukipata kusikia hiyo ya 2015 ndipo utahamishia Timu yake kabisa. Kilichofanyika na kukubali kutokubaliana ili taasisi iendeleee
Ya 2015 tuliyasikia yote nadhani umesahau Lissu alivyomshambulia Slaa kwa kumkataa fisadi Lowassa.
 
Kabla hajaanza kumuumbua dikteta uchwara Mbowe mbona haujawahi kusema Lissu ni mropokaji?
Alikuwa hana madhara kwa sasa anataka kuwa mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani na mgombea urais.
 
Utunze siri za wala rushwa? Hiyo ni tabia na hulka ya CCM kwamba wezi na wala rushwa wanatakiwa kufichiwa siri na kuheshimiwa, sasa LISSU sio mtu wa aina hiyo ndiyo maana aliwalipua wala rushwa mbele ya bunge na hadharani, kiapo cha kutunza siri za wala rushwa na wezi ni cha CCM
Mla rushwa ni anayemkaribisha Abdul nyumbani kwake wakati anajua utaratibu wa kupata stahiki zake.
 
lissu ana hekima na busara, anajua nini ni cha kuongea na nini si cha kuongea
Lissu anatonywa kuna watu wanataka kukuua. Kesho yake anaenda kwenye media anatoa details za aliyempa information kuanzia identity yake mpaka movements za mtoa siri.
 
Asante sana tena sana. Nilidhani hili tatizo naliona peke yangu. Tundu Lisu yupo tayari kutoa siri za chumbani pale atapokosana na mkewe
Mkuu shukuru Mungu amekujalia upeo wa kuona kile ambacho wengine hawana ubavu wa kukiona.
 
Alikuwa hana madhara kwa sasa anataka kuwa mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani na mgombea urais.
Keahiyo mnataka watu wasio na madhara na chawa wa dikteta mbowe ndo waendee kugombea nafasi za uongozi
 
Mla rushwa ni anayemkaribisha Abdul nyumbani kwake wakati anajua utaratibu wa kupata stahiki zake.
We jamaa kichwa chako kina tobo mahali hivyo ubongo unabunguliwa, mbona maelezo ya jambo hili yamenyooka kabisa na wala hayahitaji mjadala huwa nashikukushangaa unatabu gani kujifanya hujui abdul alifikaje kwa lissu
 
Mkuu shukuru Mungu amekujalia upeo wa kuona kile ambacho wengine hawana ubavu wa kukiona.
Yani wewe hapo ulipo na ukoo wako wote mkusanye hadi vitoto vidogo hadi mimba lakin bado hamuwezi kufikia hata robo ya uelewa wa mambo alio nao tundu lissu, unapamba kumachafua mtu ambaye hachafuliki kwa namna yeyote ile.
 
Hata yeye hajipendi, sisi tunataka awe mwanacha mtiifu, uongozi hawezi.
Hana break.
 
Wafuasi wa Tundu Lissu wamekuwa wakimtetea huyu 'masia' wao kuwa ni mkweli, kanyooka, penye nyeusi anaita nyeusi, ni msafi.

Lakini siku zinavyozidi kwenda inajidhiilisha Tundu Lissu sio mkweli bali ni mropokaji.
Lissu anaropoka jambo lolote ambalo anahisi wafuasi wake watapenda kulisikia na litamuongezea political mileage.

Lissu sio mwanasiasa mwenye mipango madhubuti yeye anategemea mdomo, kuwatukana na kudhalilisha wengine ili yeye akue. Lakini hawezi kufanya mikakati ya kiuongozi na kisiasa.

Viongozi waropokaji kama Tundu Lissu ni hatari kwa usalama wa taifa. Ni wepesi sana kuchochea machafuko ili wapate upenyo wa kushika madaraka hawajui mbinu nyingine za ziada zaidi ya kuropoka na kuchochea vurugu.

Adolf Hitler aliingiza dunia kwenye vita ya dunia kwa sababu ya kuropoka sana na kuchochea ubaguzi. Alipata alichokitaka.

Nduli Iddi Amini nae alikuwa mropokaji mzuri sana ilifikia wakati aliichimba mkwara mpaka Uingereza na mashabiki wake walikuwa wanamshangilia sana. Lakini Nyerere alimpa kinachomstahili.

Hapa Tanzania tulikuwa na Mtikila alikuwa ni mropokaji kama Lissu na Lissu ni kama anaenda kuwa Mtikila mpya baada ya huu uchaguzi wa Chadema. Mtikila ilifikia wakati akaaminisha mashabiki wake kuwa wahindi ndio tatizo kwenye hii nchi yani uwepo wa wahindi ndio unasababisha waswahili wasiendelee. Mtikila mpaka anafariki alikuwa mwanasiasa wa hovyo kabisa sababu ya uropokaji.

Sasa huyu tulie nae anaitwa Tundu Lissu ni tatizo sio tu kwenye chama chake cha Chadema bali ni tatizo kwa taifa. Huyu jamaa anaropoka sana mpaka amepitiliza. Sijui hata wafuasi wake kama wanapata picha huyu jamaa ataenda kuongozaje chama kwa tabia za namna hiyo. Kwa uropokaji wa Lissu hawezi kuongoza chama kikawa kimoja hajui kuunganisha watu anachoweza ni kubomoa.

Ameshatoa kauli zinazoenda kuua chama anachotaka kukiongoza lakini kama haitoshi ametoa kauli nzito zinazoweza kuhatarisha umoja na amani ya taifa letu.

Kauli zake kuhusu kikao cha faragha na viongozi wa kidini zinatosha kabisa kusema huyu mropokaji hafai kuwa kiongozi na ni hatari na ikiwezekana akapimwe utimamu wa ubongo wake maana hii sio kawaida.

Shukrani Mbowe kwa maono yako, umechagua maslahi ya taifa over upepo wa mihemko.

Mkishammaliza uko chadema kazi yake huku nje ni nyepesi. Maana hatopata tena platform ya kufanya uropokaji wake na akachukuliwa serious.

#KataaMropokaji
Kwani wewe hujui watu wa huo ukanda ni waropokaji na wenye viburi?hukimbilia yule jamaa aliyesema kama hamtaki kulipa kodi mhamie Burundi?mmemsahau huyo profesa mlopokaji?hiyo ndio hulka ya watu wa ukanda huo.ai wanawake si wanaume wote ni hali moja.
 
Wafuasi wa Tundu Lissu wamekuwa wakimtetea huyu 'masia' wao kuwa ni mkweli, kanyooka, penye nyeusi anaita nyeusi, ni msafi.

Lakini siku zinavyozidi kwenda inajidhiilisha Tundu Lissu sio mkweli bali ni mropokaji.
Lissu anaropoka jambo lolote ambalo anahisi wafuasi wake watapenda kulisikia na litamuongezea political mileage.

Lissu sio mwanasiasa mwenye mipango madhubuti yeye anategemea mdomo, kuwatukana na kudhalilisha wengine ili yeye akue. Lakini hawezi kufanya mikakati ya kiuongozi na kisiasa.

Viongozi waropokaji kama Tundu Lissu ni hatari kwa usalama wa taifa. Ni wepesi sana kuchochea machafuko ili wapate upenyo wa kushika madaraka hawajui mbinu nyingine za ziada zaidi ya kuropoka na kuchochea vurugu.

Adolf Hitler aliingiza dunia kwenye vita ya dunia kwa sababu ya kuropoka sana na kuchochea ubaguzi. Alipata alichokitaka.

Nduli Iddi Amini nae alikuwa mropokaji mzuri sana ilifikia wakati aliichimba mkwara mpaka Uingereza na mashabiki wake walikuwa wanamshangilia sana. Lakini Nyerere alimpa kinachomstahili.

Hapa Tanzania tulikuwa na Mtikila alikuwa ni mropokaji kama Lissu na Lissu ni kama anaenda kuwa Mtikila mpya baada ya huu uchaguzi wa Chadema. Mtikila ilifikia wakati akaaminisha mashabiki wake kuwa wahindi ndio tatizo kwenye hii nchi yani uwepo wa wahindi ndio unasababisha waswahili wasiendelee. Mtikila mpaka anafariki alikuwa mwanasiasa wa hovyo kabisa sababu ya uropokaji.

Sasa huyu tulie nae anaitwa Tundu Lissu ni tatizo sio tu kwenye chama chake cha Chadema bali ni tatizo kwa taifa. Huyu jamaa anaropoka sana mpaka amepitiliza. Sijui hata wafuasi wake kama wanapata picha huyu jamaa ataenda kuongozaje chama kwa tabia za namna hiyo. Kwa uropokaji wa Lissu hawezi kuongoza chama kikawa kimoja hajui kuunganisha watu anachoweza ni kubomoa.

Ameshatoa kauli zinazoenda kuua chama anachotaka kukiongoza lakini kama haitoshi ametoa kauli nzito zinazoweza kuhatarisha umoja na amani ya taifa letu.

Kauli zake kuhusu kikao cha faragha na viongozi wa kidini zinatosha kabisa kusema huyu mropokaji hafai kuwa kiongozi na ni hatari na ikiwezekana akapimwe utimamu wa ubongo wake maana hii sio kawaida.

Shukrani Mbowe kwa maono yako, umechagua maslahi ya taifa over upepo wa mihemko.

Mkishammaliza uko CHADEMA kazi yake huku nje ni nyepesi. Maana hatopata tena platform ya kufanya uropokaji wake na akachukuliwa serious.

#KataaMropokaji
Mkatae mzazi wako aliyebakwa ukatoka wewe
 
Wafuasi wa Tundu Lissu wamekuwa wakimtetea huyu 'masia' wao kuwa ni mkweli, kanyooka, penye nyeusi anaita nyeusi, ni msafi.

Lakini siku zinavyozidi kwenda inajidhiilisha Tundu Lissu sio mkweli bali ni mropokaji.
Lissu anaropoka jambo lolote ambalo anahisi wafuasi wake watapenda kulisikia na litamuongezea political mileage.

Lissu sio mwanasiasa mwenye mipango madhubuti yeye anategemea mdomo, kuwatukana na kudhalilisha wengine ili yeye akue. Lakini hawezi kufanya mikakati ya kiuongozi na kisiasa.

Viongozi waropokaji kama Tundu Lissu ni hatari kwa usalama wa taifa. Ni wepesi sana kuchochea machafuko ili wapate upenyo wa kushika madaraka hawajui mbinu nyingine za ziada zaidi ya kuropoka na kuchochea vurugu.

Adolf Hitler aliingiza dunia kwenye vita ya dunia kwa sababu ya kuropoka sana na kuchochea ubaguzi. Alipata alichokitaka.

Nduli Iddi Amini nae alikuwa mropokaji mzuri sana ilifikia wakati aliichimba mkwara mpaka Uingereza na mashabiki wake walikuwa wanamshangilia sana. Lakini Nyerere alimpa kinachomstahili.

Hapa Tanzania tulikuwa na Mtikila alikuwa ni mropokaji kama Lissu na Lissu ni kama anaenda kuwa Mtikila mpya baada ya huu uchaguzi wa Chadema. Mtikila ilifikia wakati akaaminisha mashabiki wake kuwa wahindi ndio tatizo kwenye hii nchi yani uwepo wa wahindi ndio unasababisha waswahili wasiendelee. Mtikila mpaka anafariki alikuwa mwanasiasa wa hovyo kabisa sababu ya uropokaji.

Sasa huyu tulie nae anaitwa Tundu Lissu ni tatizo sio tu kwenye chama chake cha Chadema bali ni tatizo kwa taifa. Huyu jamaa anaropoka sana mpaka amepitiliza. Sijui hata wafuasi wake kama wanapata picha huyu jamaa ataenda kuongozaje chama kwa tabia za namna hiyo. Kwa uropokaji wa Lissu hawezi kuongoza chama kikawa kimoja hajui kuunganisha watu anachoweza ni kubomoa.

Ameshatoa kauli zinazoenda kuua chama anachotaka kukiongoza lakini kama haitoshi ametoa kauli nzito zinazoweza kuhatarisha umoja na amani ya taifa letu.

Kauli zake kuhusu kikao cha faragha na viongozi wa kidini zinatosha kabisa kusema huyu mropokaji hafai kuwa kiongozi na ni hatari na ikiwezekana akapimwe utimamu wa ubongo wake maana hii sio kawaida.

Shukrani Mbowe kwa maono yako, umechagua maslahi ya taifa over upepo wa mihemko.

Mkishammaliza uko CHADEMA kazi yake huku nje ni nyepesi. Maana hatopata tena platform ya kufanya uropokaji wake na akachukuliwa serious.

#KataaMropokaji
Kwa Tanzania, hutakiwi kuwa mkweli sana, ndiyo majina hayo mnayompachika, mara mropokaji, mpayukaji nk. Kisa kasema ukweli uliopitiliza. Mngesema, uongo wake kwa mifano na tukio, sio kumtukana. Hata aliporipoti taarifa za kufuatiliwa na watu wasiojulikana kabla ya kushambuliwa mlimsema na kumbeza. Ameshambuliwa leo mnamkejeli anakwenda Ubelgiji kutalii wakati mtu ana vyuma mwili mzima. Msiwe wanyama kuliko wanyama wenyewe
 
Back
Top Bottom