Urusi haina habari ya ISIS, yaipiga Ukraine kwa nguvu kulipiza kisasi

Urusi haina habari ya ISIS, yaipiga Ukraine kwa nguvu kulipiza kisasi

ISIS ni group liloundwa na Obama na Hillary Clinton hata Trump alikiri hayo ilikuwasaidia Israel.

Kwa hio Mrusi wacha awapige tu hao Ukraine ndio hao hao
Inaelekea Hili tukio litaibua mengi sana - ya kweli na ya uongo/uzushi.
 
Russia siyo Afrika NATo wanataka kuitreat Russia kama Afrika
Hayo ni majaribio mbalimbali ya kuidhoofisha Russia lakini hapa mbinu imefeli kwa kiwango kikubwa kabisa
Maneno ya Marekani kuwa ukraine hausiki
Inatafsirika kwamba anayehusika wanamjua
Ndiyo maana ya kusema wasaidie kumtafuta muhusika

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Acha upimbi
 
Wao ndio wamejifanya kuikingia kifua Ukraine kuwa haikuhusika.Ina maana wanamjua aliyefanya tukio hilo
Mkuu, wanauhakika kwamba USA atatekereza matakwa hayo, au USA anapaswa awafanyie Russia kwa moyo wa kupenda na si shinikizo
 
Anakataza warusi wenzie kuliwa ili aliwe peke yake.

Naona kwenye gallary Yako umetunza picha zenu za mambo yenu pendwa
Unamkana upinde mwenzenu,,,,,ndo haki mnazopigania hizo,,,,,,kama rais ndo hivyo mnaomtetea hali itakua ni mbaya zaidi
 
Marekani isaidie kutafuta nini?

🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Isaidie kuwatafuta waliofanya tukio maana wao si wamekanusha kuwa wahusika sio Ukraine basi mnawajua tutajieni kwa mujibu wa mleta bandiko, mimi sina ujuzi na hizi taarifa 😅
 
Kufuatia shambulia kubwa kwenye ukumbi wa starehe jijini Moscow ambapo kundi la ISIS lilijitaja kupitia vyombo vya magharibi kuwa ndilo lililohusika.Urusi imeonekana kutoshawishika na uozo wa taarifa hizo.

Watu kadhaa walikamatwa mara tu baada ya shambulio hilo kutokea ambapo watu zaidi ya 130 wamefariki dunia.

Tangu taarifa hizo za tukio na tuhuma za washukiwa kutoka nchi marafiki wa Ukraine kwa upande wake Urusi haijaonekana kutaja chochote kuhusu kikundi chochote cha kiislamu. Badala yake jeshi la Urusi limeshambulia kwa nguvu kubwa maeneo mbali mbali ya Ukraine yote. Shambulio ambalo ni kubwa kufanyika kwa siku za karibuni.

Kwa upande mwengine Urusi imeitaka Marekani isaidie kupatikana kwa wahusika kufuatia kauli yake kwamba Ukraine sio waliotekeleza shambulia hilo.
Kwaio wana usalama wa USA wakisema wako tayari kusaidia kupatikana kwa wahusika hao, wana usalama wa Urusi wataungana na wenzano wa Marekani katika kutafuta wahusika hao ? Yani wataunda timu ya ushirikiano, dah hii dunia bhana 😂 😂 😂
 
Unamkana upinde mwenzenu,,,,,ndo haki mnazopigania hizo,,,,,,kama rais ndo hivyo mnaomtetea hali itakua ni mbaya zaidi
Post inazungumzia vita na ugaidi na ndo kitu watu wote tunajadili hapa, lakini naona wewe umechomekea ajenda yenu hapa na ndo mnavyofanya kwenye mada mbalimbali hapa jukwaani, manajitrendisha kijanja. Nyie liweni tu.
 
Post inazungumzia vita na ugaidi na ndo kitu watu wote tunajadili hapa, lakini naona wewe umechomekea ajenda yenu hapa na ndo mnavyofanya kwenye mada mbalimbali hapa jukwaani, manajitrendisha kijanja. Nyie liweni tu.
Huyo sio memba wenu ,mbona povu blaza unamkana? Hii nayo ni vita kuwapinga maboya wanaotetea upinde,,,,,,unamkana leo mwenzenu??
PUTIN AKILI KUBWA
images.jpeg-60.jpg
images.jpeg-59.jpg
images.jpeg-58.jpg
images.jpeg-56.jpg
 
Back
Top Bottom