Urusi haina habari ya ISIS, yaipiga Ukraine kwa nguvu kulipiza kisasi

Urusi haina habari ya ISIS, yaipiga Ukraine kwa nguvu kulipiza kisasi

Kufuatia shambulia kubwa kwenye ukumbi wa starehe jijini Moscow ambapo kundi la ISIS lilijitaja kupitia vyombo vya magharibi kuwa ndilo lililohusika.Urusi imeonekana kutoshawishika na uozo wa taarifa hizo.

Watu kadhaa walikamatwa mara tu baada ya shambulio hilo kutokea ambapo watu zaidi ya 130 wamefariki dunia.

Tangu taarifa hizo za tukio na tuhuma za washukiwa kutoka nchi marafiki wa Ukraine kwa upande wake Urusi haijaonekana kutaja chochote kuhusu kikundi chochote cha kiislamu. Badala yake jeshi la Urusi limeshambulia kwa nguvu kubwa maeneo mbali mbali ya Ukraine yote. Shambulio ambalo ni kubwa kufanyika kwa siku za karibuni.

Kwa upande mwengine Urusi imeitaka Marekani isaidie kupatikana kwa wahusika kufuatia kauli yake kwamba Ukraine sio waliotekeleza shambulia hilo.
Haihitaji elimu ya chuo kikuu kutambua ukraine inahusika maana ndio walikua busy kuwatorosha wapigwee mpaka wamalizwe!
 
Kama ni hivyo anaenda kwa mnyonge wake Ukraine na wala siyo wengine wa Magharibi!
Hata walioshikwa kwani walikua wanakimbilia Ufaransa? Watapeleka salamu kwa mabwana zao
Screenshot_20240325-153046_RT News.jpg
 
Lakini mbona ISIS wamekiri kuhusika? Mrusi anaogopa nini kuwajibu wahusika?
ISIS ni group liloundwa na Obama na Hillary Clinton hata Trump alikiri hayo ilikuwasaidia Israel.

Kwa hio Mrusi wacha awapige tu hao Ukraine ndio hao hao
 
Mjerumani kaanza kutema bungo,,,,powerhouse uchumi umeyumba wakati mrusi uchumi umekua,,,tena hii ishu ya Ukraine imemboost sana urusi na imeziangusha nchi za ulaya wamewekwa mtu kati huku marekani anawabinya kende na huku mrusi anawabinya,,,akiingia Trump nchi za ulaya kwisha kabisa
Inasikitisha saaana, nchi za Ulaya zinaonekana kama mafala fala vile hasa baada ya kushurutishwa na Merikani kujiingiza blindly ku-support vita ambavyo havina kichwa wala miguu - wakijua wazi wazi kwamba zelensky hana ubavu wa kumshinda kijeshi mrusi wanacho taka wao ni kuendeleza vita kwa muda mrefu waki amini hilo tu lita dhoofisha kijeshi na kiuchumi Russia bado wapo kwenye ndoto za mchana - Urusi taifa nyingine.
 
ISIS ni group liloundwa na Obama na Hillary Clinton hata Trump alikiri hayo ilikuwasaidia Israel.

Kwa hio Mrusi wacha awapige tu hao Ukraine ndio hao hao
Marekani wameitesa sana dunia na dude lake hili la isis baada ya kulitaliki dude la mwanzo Alqaeda.
Lakini Urusi sio Afrika
 
Marekani walipotoa tahadhari kuwa kuna shambulio la kigaidi litatokea walikuwa na taarifa zote! Nadhani wanataka kuiondoa Russia kwenye focus yake ya kutimiza malengo yake Ukraine.
 
Lakin waliwapa taarifa mapema Russia wakapuuza
Taarifa marekani walipata wapi? Au ndio ule msimo wa ' umeniibia penseli yangu alafu unanisaidia kuitafuta'

Marekani ahache kubwekabweka ovyo. Wausika wa mauwaji tumeshawatia mkononi. Watatapika kila kitu na kila aliyehusika ataadhibiwa
 
Kwani hizo nchi za Magharibi ndizo ziliombwa zimtaje Mhusika au ni mhusika mwenyewe (ISIS) alitamka kwamba yeye ndiye amehusika? Mbona ISIS na Marekani hawaendani ni vitu tofauti?
Wewe jamaa ni jinga sana. Mwamba Putin hayumbishwi na miluzi mingi
 
Russia wanamuogopa mjahideen ndo maana wanakwepesha magoli, hawajasahau kilichowapata Afghanistan enzi zile
Hao imujahideena si ndio walikuwa wanatumiwa na magharibi kumuondoa Ahsad?
 
Ukiwa hapo yombo unaamini kabisa mrusi hakuzifanyia kazi? Unaamini mrusi hakuwa na taarifa zake binafsi? Taarifa za shambulio hata ukiwa nazo wewe na ndie raisi wa nchi ila taarifa hizo hazijataja eneo husika hata uwe na shirika la usalama wa taifa imara kiasi gani utashambuliwa tu. As long as taarifa ulizo nazo hazitaji eneo husiika. Tuneona imetoka israel na sasa urusi na marekani pia ilitokea na hata hapo Dar ilitokea.
NB: KUNYAMAZA SIWEZI!!
Yeye ni nani kwanza kukunyamazisha

Nakubali mwamba watu wanajifanya mods humu pumbavu zao
 
Kwani hizo nchi za Magharibi ndizo ziliombwa zimtaje Mhusika au ni mhusika mwenyewe (ISIS) alitamka kwamba yeye ndiye amehusika? Mbona ISIS na Marekani hawaendani ni vitu tofauti?
Marekani na washirika wake watawachezea akili watu vilaza kama wewe ila sio Putin
 
Back
Top Bottom