Iyerdoi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 2,717
- 3,895
Nimecheka sana - eti Kuisaidia Polisi.Tulia wewe ni lazima marekani isaidie polisi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka sana - eti Kuisaidia Polisi.Tulia wewe ni lazima marekani isaidie polisi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Humu ndani kung'amua mambo kwa jicho la pili wako wachache sana wengi wako kiushabikiUrusi inajikomba kwa Irani wanaowasaidia silaha na drones za Iran
Wameona wakisema ni ISIS Watakosana na Iran mfadhili mkubwa wa makundi ya kigaidi ya kiislamu
Huu ni mwezi wa Ramadhani kwa waislamu siasa kali hakutakiwi kuwa na sherehe yeyote. Hao wameua watu kwenye sherehe ndio maana wakiwa wanaua walikuwa wakipiga kelele Allah akbarKundi la kislamu lenye msismamo mkali
Wanataka kutuaminisha kwamba Hali imekuwa tofauti kwa Ukraine Sasa, [emoji28]Ukraine kapigwa tofauti na anavyopigwa kwa miaka mi3 nyuma au ni yale yale?
Mkuu upo!!,Wanataka kutuaminisha kwamba Hali imekuwa tofauti kwa Ukraine Sasa, [emoji28]
Itikadi kali kama wameanza operation Moscow kabisa swali la kujiuliza kwa nini sasa?Russia haitotawalika mabomu yatalipuka kila kona acha acheze nao kiboko ya hao itikadi kali ni myahudi
[emoji28]Yani m-US alimpa hiyo Taarifa na kumwangalia (kumpima) kama mwalimu aliyetoa Quiz kwa mwanafunzi wake mjeuri.
Mjerumani kaanza kutema bungo,,,,powerhouse uchumi umeyumba wakati mrusi uchumi umekua,,,tena hii ishu ya Ukraine imemboost sana urusi na imeziangusha nchi za ulaya wamewekwa mtu kati huku marekani anawabinya kende na huku mrusi anawabinya,,,akiingia Trump nchi za ulaya kwisha kabisaIla kwa Safari hii, nyani atatema bungo aisee. Subiri tuone.
Ukishasema sio huyo kampiga mwenzake inamaana tukio la kupiga uliliona na aliyepiga ulimuona!Russia siyo Afrika NATo wanataka kuitreat Russia kama Afrika
Hayo ni majaribio mbalimbali ya kuidhoofisha Russia lakini hapa mbinu imefeli kwa kiwango kikubwa kabisa
Maneno ya Marekani kuwa ukraine hausiki
Inatafsirika kwamba anayehusika wanamjua
Ndiyo maana ya kusema wasaidie kumtafuta muhusika
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Kama vile yeye mwenyewe Russia ambavyo hawezi kukwepa kichapo.Anakwepesha wapi wakati hata hio ISIS ni chaka la haohao wamagharibi, halafu vimeo wakawa wanakimbilia Ukraine,,,,kichapo hawawezi kukwepa Ukraine na anaewasaidia
Uhakika sina sema nataka Ukraine atandikwe tuUna uhakika na taarifa ya mleta mada au umevamia tu uzi na kubazi zako
Ukrein inatumia kila bedui aliye tayari kufanya naye kazi ...nini kinacho kushangaza ...kumbuka marekani wakati wa vita ya dunia alitumia hadi magenge ya wauza madawa ya kulevya makubwaHivi ISIS inapigana upande wa Ukraine? Je, hayo ni kweli au unatuingiza chaka?
Hebu thibitisha hilo.
waliosema ni wao ISIS tumia akil muda mwingineWanataka kukwepesha adhabu kuwatupia kesi ISIS
mwaka wa pili huu milipuko ndo inazid ndan ya urusi na washaanza uana wao kwa wao muda si mrefu mtaikataa iyoo urusiMrusi aendelee kumgonga ukraine hapo hapo kwenye ugoko
jifunze kufuatilia hiyo urusi ni mchumba tu haijui hata civil warMarekani angepata mapigo kama aliyopitia mrusi kwa sasa lile taifa kila jimbo lingeomba kukusanya virago vyake na kujitegemea wenyewe, mjapan tu kuwapiga kidogo jamaa wakapanic hadi kwenda kutumia bomu la nyuklia
Toka lini mtu asie na marinda akatoa kichapoKama vile yeye mwenyewe Russia ambavyo hawezi kukwepa kichapo.
Kazipiga hizo kabla hata ya mmarekani kupigana zake kujitoa kwa wakoloni wakejifunze kufuatilia hiyo urusi ni mchumba tu haijui hata civil war