Urusi haina habari ya ISIS, yaipiga Ukraine kwa nguvu kulipiza kisasi

Chakula kajianika wazi kabisa hadi ametrend
Putin saiz kakatazwa na basha wake Zele kuzurura hovyo ndo maana hata kwenye mkutano wa brics kwa Madiba hakwenda, kaambiwa akae ndani alee mimba
 
Putin saiz kakatazwa na basha wake Zele kuzurura hovyo ndo maana hata kwenye mkutano wa brics kwa Madiba hakwenda, kaambiwa akae ndani alee mimba
Nani kavaa vitait hadharani kapiga na kideo kabisa,,,,,,mengine yakufikirika ila Zele mambo hadharani anafukuliwa
 
Nani kavaa vitait hadharani kapiga na kideo kabisa,,,,,,mengine yakufikirika ila Zele mambo hadharani anafukuliwa
Putin hawezi hata kwenda kwenye mkutano wa BRICS ambao yeye ni mwanachama na unafanyika ndani ya nchi mwanachama kisa na mkasa kazuiwa na basha wake Zele atulie alee mimba
 
Putin hawezi hata kwenda kwenye mkutano wa BRICS ambao yeye ni mwanachama na unafanyika ndani ya nchi mwanachama kisa na mkasa kazuiwa na basha wake Zele atulie alee mimba
Leta kideo Putin kavaa vi tight kama Zelensky anajibinua.....
 
"Hakuna marefu yasiyo na ncha". Mjerumani alikuwa na jeuri sana enzi zake, Warumi zamani ndo waliitawala dunia ya wakati huo lakini wote wameufikia mwisho wao. Huyu Mrusi naye, kama waliomtangulia, ataufikia mwisho wake. Ni suala la muda tuu.
Atatangulia Mmarekani
 
Mbona nmeona taarifa ya Putin ikisema ni shambulio lililofanywa na JIHHAD ISLAMISTS GROUP??
 
Ukraine sijui kaahidiwa nn na NATO sio Kwa hivi vipigo anavopata.😟
 
Lk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…