Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Chakula kajianika wazi kabisa hadi ametrendPutin ni chakula ya Zele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chakula kajianika wazi kabisa hadi ametrendPutin ni chakula ya Zele
Putin saiz kakatazwa na basha wake Zele kuzurura hovyo ndo maana hata kwenye mkutano wa brics kwa Madiba hakwenda, kaambiwa akae ndani alee mimbaChakula kajianika wazi kabisa hadi ametrend
Nani kavaa vitait hadharani kapiga na kideo kabisa,,,,,,mengine yakufikirika ila Zele mambo hadharani anafukuliwaPutin saiz kakatazwa na basha wake Zele kuzurura hovyo ndo maana hata kwenye mkutano wa brics kwa Madiba hakwenda, kaambiwa akae ndani alee mimba
Putin hawezi hata kwenda kwenye mkutano wa BRICS ambao yeye ni mwanachama na unafanyika ndani ya nchi mwanachama kisa na mkasa kazuiwa na basha wake Zele atulie alee mimbaNani kavaa vitait hadharani kapiga na kideo kabisa,,,,,,mengine yakufikirika ila Zele mambo hadharani anafukuliwa
Leta kideo Putin kavaa vi tight kama Zelensky anajibinua.....Putin hawezi hata kwenda kwenye mkutano wa BRICS ambao yeye ni mwanachama na unafanyika ndani ya nchi mwanachama kisa na mkasa kazuiwa na basha wake Zele atulie alee mimba
Atatangulia Mmarekani"Hakuna marefu yasiyo na ncha". Mjerumani alikuwa na jeuri sana enzi zake, Warumi zamani ndo waliitawala dunia ya wakati huo lakini wote wameufikia mwisho wao. Huyu Mrusi naye, kama waliomtangulia, ataufikia mwisho wake. Ni suala la muda tuu.
Huwa sihifadhi video wala picha chafu.Leta kideo Putin kavaa vi tight kama Zelensky anajibinua.....
Sema huna,,,hayo mambo wanayo watu wenu wa NATO ma LGBT PROHuwa sihifadhi video wala picha chafu.
Putin akijifungua nadhani ataruhusiwa pia kuhudhuria mikutano ya UN
Wewe huko chato unazijuaje??Unajua habar za kiintelensia zinatokaje wewe. Au unaongea tu.
Ni sawa tuu, wote wako kwenye foleni.Atatangulia Mmarekani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ukiwa hapo yombo unaamini kabisa mrusi hakuzifanyia kazi?
Kaa kimya basi. Huyo aliyewafikishia na aliyepokea washamalizana. Coz washapewa taarifa nzima zilivyo ila baada ya kutokuchukua hatua ndio watu wanatafutaga wakumpa lawama mbele ya umma. Kumbuka black war ni kubwa kuliko live war. Na ili Russia apate uhalali wa kushambulia maslah ya west anatakiwa aje na ushahid usio na mashaka kuwa ndio waliohusika. Na sasa hiv utamuona Russia wakizifanyia kaz zile taarifa rasmi. Inawezekana Isis ni branch ya marekan kawautumia waislam bila wao kujua Lakin hiyo haimpi Russia uhalali wa kuwashawishi watu kuwa wametumwa na West. Dunia haiendeshwi kienyeji hivyo. Hapo Congo kila mtu anajua vita vile Ni vya Kagame Lakin leta ushahid mezan huna so unabaki kuwachanganya watu wengine watamuunga mkono wengine watampingaLkn pia kumbuka wahusika wa shambulio walikamatwa na wanahojiwa mpk Leo kwa maumivu makali mmoja alitobolewa jicho mwingine kakatwa sikio..... unadhani watajisazia ukweli wa Nani aliwatuma na kwa malengo yapi????