passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Warussia wanauza Ngano karibu dunia nzima kumbukaHizo data ni za production tuwekee na za consumption
Sababu waweza kuwa producer mkubwa lakini consumption yako inapita production inabidi u import
Wanazalisha kingi kuliko matumizi yaoRussia inazalisha 11 percent ya ngano yote duniani wakati matumizi yake ya ngano ni 41 percent ya ngano yote duniani
Usiangalie production tu angalia na consumption umesikia wewe pro Russia
FactRussia inazalisha 11 percent ya ngano yote duniani wakati matumizi yake ya ngano ni 41 percent ya ngano yote duniani
Usiangalie production tu angalia na consumption umesikia wewe pro Russia
warusi wa Tanzania ni warusi koko wengi wao ni viraza. Ila mimi ni kiraza pekee nisieshabikia upande wowote. Binadamu kupigana ni wehuWarusi wenyewe wenye nchi yao wanaandamana kupinga vita batili vya Putin, lkn kuna Warusi wa Tanzania wanashabikia yale mauaji ya halaiki !!!
Jaman muwe na akili Warusi wanazalisha Sana chakulaFact
Hamjitambui nyie team USA urusi analinda nchi Yao marekani anataka aweke silaha Ukraine ili amshambulie kirahisi.na Hamna uwezo wa kumfanya chochote Putin.Purtin is rubbish muuaji
Pro Russia huyo baada ya kunyolewa na Zelensky pembeni hapoHivyo vyanzo vyenu vya habari za mahaba niue dhidi ya Russia ni upuuzi mtupu usiovumilika....[emoji847]
Nchi imebaki magofu endeleeni kumdanganya.Pro Russia huyo baada ya kunyolewa na Zelensky pembeni hapoView attachment 2159693
Sawa dadaView attachment 2159691Hiyo vita Haina support ya warusi wananchi wala wa Ukraine .Wanajeshi tu ndio wanapigan a bila support ya raia wa kawaida
Huzijui siasa za Urusi mkubwa na uzuri Putin alishawaonesha mfano wa yatakayompata oligarch yeyote atakaeenenda kinyume na matakwa ya Kremlin,huo utajiri ulioshikiliwa huko US nk ni kama tone la maji kwa fursa za kutengenezewa na serikali wanazopewa hao matajiri watiifu kwa ikulu ya KremlinNi sawa sasa wana maisha magumu pesa zao zimekamatwa na mali kumtosa ili kufurahisha nchi za Magharibi waachie Mali zao ni kitu kidogo .Nchi za Magharibi zikiwambia mtoseni tuachie mali zenu muendelee kula bata mbona Putin Kesho tu anauawa au kupinduliwa
Kuna mji wa mauripol wanakwambia zaidi ya 80% ya nyumba zote zimeangushwa ama kuharibiwa vibaya kwa makombora ya mbabe PutinNchi imebaki magofu endeleeni kumdanganya.
Mkileta habari zenu muwe na data inayoeleweka.Russia inazalisha 11 percent ya ngano yote duniani wakati matumizi yake ya ngano ni 41 percent ya ngano yote duniani
Usiangalie production tu angalia na consumption umesikia wewe pro Russia
Waache waendelee kumdanganya huyo Rais.Kuna mji wa mauripol wanakwambia zaidi ya 80% ya nyumba zote zimeangushwa ama kuharibiwa vibaya kwa makombora ya mbabe Putin
Hizo nchi kubwa zimetengenezwa Kwa vita.kwa hiyo sometime vita ni namna ya kujenga future.warusi wa Tanzania ni warusi koko wengi wao ni viraza. Ila mimi ni kiraza pekee nisieshabikia upande wowote. Binadamu kupigana ni wehu
duuh fikiria population ya nchi ya Russia na mahitaji ya kila familia mkuu wakati hapa tz kuna watu ni kawaida kupiga desh mchana kwajili ya ugumu wa maisha unaweza kuta kila mtu mmoja anatumia wastani wa 10000 kwa siku moja huko Russia mahitaji ni makubwa mnno tofauti na huku Africa mtoto anakuzwa na muindi wa kuchoma..Pro Western Media ni balaa Russia ni wakulima wakubwa sana wa ngano na mahindi na vyakula vingine Wana chakula Cha kulisha nchi miaka zaidi ya kumi bila shida. Tatizo liko kwa Ukraine maana wamekuwa wakimbizi kwa nchi za jirani hakuna kulima vyakula vinaachwa kwenye maghara kuepusha roho zao. Hivyo uwe unachuja habari siyo kukwapua info ambazo hazina miguu wala kichwa. Tanzania walipigana na Uganda miaka karibu miwili lakini watu hawakufa njaa sembuse taifa kubwa kama Russia ndo week moja wafe njaa. Jaribuni kutumia angalau .001 % ya ubongo wako waweza jua dunia inaenda wapi.
jamaa anapumulia hivi hivi mlimponza Saddam...Mkuu haya majamaa ni matahila.
Hulo Europe Sasa hivi kila kitu juzi. Kila siku viongozi wao wanakili wazi kuwa Hali itakuwa mbaya, uzalishaji viwandani unashuka. Lakini huskii chochote kuhusu Hilo from Western media.
Ila mtu akisema F......u hiyo ni habari.
Hawa jamaa wako hoi wanatamani kitu kitokee kwa Russia Ila hakitokei, matoke yake kahabari kokote negative kuhusu Russia hata Kama hakana ukweli wanakuchukua juu juu. You know what? Ni namna ya kujiliwaza kutokana na mfadhaiko wa kisaikolojia wanaoipitia kwa sasa
Watu wa yule mwenye giza usoni hamtaki kusikia kingine zaidi kutaka kuona akisifiwa.Hivyo vyanzo vyenu vya habari za mahaba niue dhidi ya Russia ni upuuzi mtupu usiovumilika....[emoji847]