Urusi imehusisha asilimia 75% ya jeshi lake lote kwenye huu ugomvi, na bado shughuli ipo

Urusi imehusisha asilimia 75% ya jeshi lake lote kwenye huu ugomvi, na bado shughuli ipo

inaonekana NATO haipo sayari hii kwamba huo mzigo wao mpaka leo haujafika tuu RUSSIA kaishajiandaa na yote hayo
unahisi kwamba RUSSIA hakujua kwamba NATO watamsaidia MBWA wao namna ya KUBWEKA?
NATO anajua kabisa kuwa Russia bado hajafungulia turbo hapo!

Hao ni wanajeshi wa internship ndio wanatembeza kichapo na mavifaa ya kizamani! Hajafungua ile mizigo new model😅😆😁 ila akiifungua hamna kenge atabakia.
 
Jamaaa hatani aisee na hii ya kusema kapeleka asilimia 75 ni mitego Kwa Nato ili wajifanye hamnazo awabutue nao. Bunge la ujeruman Leo hii wanalaumiana na wanaogopa kumvaa mrusi kichwa kichwa unahis wajerumani hawajui mtiti wa Urusi
Mjerumani alichapika vilivyo hajasahau kile kipigo cha kihistoria 😅 kilichozalisha topic za form 2 kwenye vitabu mbali mbali nchini!
 
Haiondoi umuhimu wa nilichokua nakisema, kwa kifupi hata uunganishe active personel wa EAC yote na mpaka ufuate DRC na kati huko hautafikia idadi ya jeshi ambalo Urusi imewekeza kwenye huu ugomvi, na mpaka sasa bado ni ngonjera, alipaswa kumaliza hii issue ndani ya siku chache sana.
Nyumbani kaacha wanajeshi wachache wanalinda nchi, ina maana hawezi kupambana na multiple fronts warfare, hapo alipo amejianika huko nyumbani kiasi anaweza kuchakazwa na yeyote.
Anaesema kaacha wachache ni ww
 
Ama kwa kweli Urusi amedhihirisha udhaifu mkubwa sana, kwamba ahusishe asilimia 75% ya jeshi lake lote na kuacha nyumbani asilimia ndogo ilinde nchi, yote hii kupambana na kataifa kadogo kama Ukraine, na mpaka sasa wiki imeisha hajafaulu kukafagia......kwamba hata akifaulu kuteka Kiev leo hii, amechelewa sana na ameshasomwa kuwa dhaifu.

Sasa ingekua anapigana na mbabe kama China huko si ndio angeisha? Kwenye huu ugomvi amesomwa na wote kama bonge la bogus ambaye amekua akitisha tu.
Enzi zetu tukiwa wadogo shuleni, ilikua kama jamaa huonekana mkubwa, anaogopwa ogopwa, ila siku akija kupigana na dogo yeyote halafu hapo anasomwa uwezo wake, kwa namna atachakaza huyo dogo ndio tutajua kama tuendelee kumuogopa au ni nguvu ya soda.
====================================================

Before the invasion five days ago, officials estimated that Russia had more than 160,000 troops along its borders with Ukraine and inside Belarus, also along the border with Ukraine. If the estimate of 75 percent is correct, then 120,000 Russian troops are taking part in the invasion.

Ukrainians continue their David vs. Goliath battle against the Russian invaders. The official said that Russia has, thus far, failed to achieve air superiority over Ukraine. "The airspace over Ukraine remains contested," he said. "Ukrainian air defenses remain intact and viable, both in terms of aircraft and missile defense systems, and they're engaged."

Ukrainian ground forces have slowed the Russian advance on the capital city of Kyiv and Ukraine's second city of Kharkiv. Still, Russian forces are roughly 25 kilometers out of Kyiv. The official said this appears to be the Russian's main line of effort.

There have been roughly 380 ballistic and cruise missile launches against Ukraine, the official said.

Despite news reports, U.S. officials have seen no indications that Belarussian troops are being readied to move into Ukraine. "Our best information is that the forces inside Ukraine are all Russians," the senior official said.

The Ukrainian resistance and Russian military problems with logistics and sustainment have combined to slow the Russian invasion. "Our indications are that they ended up having to rely on fuel and sustainment capabilities earlier in the process than what we believe they had planned to," the official said. "So, on day four, they're running out of gas, and they're having logistics problems."
Don't trust western media
 
Yaani ile tu kwamba bado mnaongea ongea ni udhaifu mkubwa sana, rais wa Ukraine alipaswa kuwa kwenye mikono ya Urusi kufikia sasa. Yaani asilimia 75% ya jeshi la Urusi, wanajeshi 120,000 wote wamehusishwa, hivi unajua Tanzania ina Active personnel 27,000 only.
Hebu waza hiyo nyomi yote na mpaka leo mnaongea ongea tu...
Acha kupotosha wewe,aliyekumbia jeshi zima la urusi lina wanajeshi 120,000 kakudanganya,google kisha urudi hapa kubisha tena.Jeshi la urusi lina wanajeshi zaidi ya milioni 1 waliopo kazini na zaidi ya milioni 2 wa akiba.Na pia hiyo idadi ya waliongia ukraine umeitoa wapi?
 
Hahahaha...kama una ndugu yako Kiev mwambie aondoke leo Russia inaenda kufanya jambo lake. NATO mpaka sasa hajui kama kama Russia anatumie silaha za enzi za Soviet au mpya na Putin kawaweka mtegoni wakijiingiza tu.

Leo ndio Putin anamaliza operation yake ambayo aliipanga imalizike 02/03/2022. Kitakachofanyika Leo Ukraine Ukraine itajuta
Ndoto za alinacha. Huo ugomvi hauishi leo wala mwezi huu
 
Ama kwa kweli Urusi amedhihirisha udhaifu mkubwa sana, kwamba ahusishe asilimia 75% ya jeshi lake lote na kuacha nyumbani asilimia ndogo ilinde nchi, yote hii kupambana na kataifa kadogo kama Ukraine, na mpaka sasa wiki imeisha hajafaulu kukafagia......kwamba hata akifaulu kuteka Kiev leo hii, amechelewa sana na ameshasomwa kuwa dhaifu.

Sasa ingekua anapigana na mbabe kama China huko si ndio angeisha? Kwenye huu ugomvi amesomwa na wote kama bonge la bogus ambaye amekua akitisha tu.
Enzi zetu tukiwa wadogo shuleni, ilikua kama jamaa huonekana mkubwa, anaogopwa ogopwa, ila siku akija kupigana na dogo yeyote halafu hapo anasomwa uwezo wake, kwa namna atachakaza huyo dogo ndio tutajua kama tuendelee kumuogopa au ni nguvu ya soda.
====================================================

Before the invasion five days ago, officials estimated that Russia had more than 160,000 troops along its borders with Ukraine and inside Belarus, also along the border with Ukraine. If the estimate of 75 percent is correct, then 120,000 Russian troops are taking part in the invasion.

Ukrainians continue their David vs. Goliath battle against the Russian invaders. The official said that Russia has, thus far, failed to achieve air superiority over Ukraine. "The airspace over Ukraine remains contested," he said. "Ukrainian air defenses remain intact and viable, both in terms of aircraft and missile defense systems, and they're engaged."

Ukrainian ground forces have slowed the Russian advance on the capital city of Kyiv and Ukraine's second city of Kharkiv. Still, Russian forces are roughly 25 kilometers out of Kyiv. The official said this appears to be the Russian's main line of effort.

There have been roughly 380 ballistic and cruise missile launches against Ukraine, the official said.

Despite news reports, U.S. officials have seen no indications that Belarussian troops are being readied to move into Ukraine. "Our best information is that the forces inside Ukraine are all Russians," the senior official said.

The Ukrainian resistance and Russian military problems with logistics and sustainment have combined to slow the Russian invasion. "Our indications are that they ended up having to rely on fuel and sustainment capabilities earlier in the process than what we believe they had planned to," the official said. "So, on day four, they're running out of gas, and they're having logistics problems."
Sio kweli. Kimkakati (strategic) na kijeshi (military) huwezi kutumia hata nusu ya nyenzo, u aweza pigwa kama kenge mwizi siku za usoni.
 
Hahahaha...kama una ndugu yako Kiev mwambie aondoke leo Russia inaenda kufanya jambo lake. NATO mpaka sasa hajui kama kama Russia anatumie silaha za enzi za Soviet au mpya na Putin kawaweka mtegoni wakijiingiza tu.

Leo ndio Putin anamaliza operation yake ambayo aliipanga imalizike 02/03/2022. Kitakachofanyika Leo Ukraine Ukraine itajuta
bila swaka upo karibu na bwana Putini
 
Ama kwa kweli Urusi amedhihirisha udhaifu mkubwa sana, kwamba ahusishe asilimia 75% ya jeshi lake lote na kuacha nyumbani asilimia ndogo ilinde nchi, yote hii kupambana na kataifa kadogo kama Ukraine, na mpaka sasa wiki imeisha hajafaulu kukafagia......kwamba hata akifaulu kuteka Kiev leo hii, amechelewa sana na ameshasomwa kuwa dhaifu.

Sasa ingekua anapigana na mbabe kama China huko si ndio angeisha? Kwenye huu ugomvi amesomwa na wote kama bonge la bogus ambaye amekua akitisha tu.
Enzi zetu tukiwa wadogo shuleni, ilikua kama jamaa huonekana mkubwa, anaogopwa ogopwa, ila siku akija kupigana na dogo yeyote halafu hapo anasomwa uwezo wake, kwa namna atachakaza huyo dogo ndio tutajua kama tuendelee kumuogopa au ni nguvu ya soda.
====================================================

Before the invasion five days ago, officials estimated that Russia had more than 160,000 troops along its borders with Ukraine and inside Belarus, also along the border with Ukraine. If the estimate of 75 percent is correct, then 120,000 Russian troops are taking part in the invasion.

Ukrainians continue their David vs. Goliath battle against the Russian invaders. The official said that Russia has, thus far, failed to achieve air superiority over Ukraine. "The airspace over Ukraine remains contested," he said. "Ukrainian air defenses remain intact and viable, both in terms of aircraft and missile defense systems, and they're engaged."

Ukrainian ground forces have slowed the Russian advance on the capital city of Kyiv and Ukraine's second city of Kharkiv. Still, Russian forces are roughly 25 kilometers out of Kyiv. The official said this appears to be the Russian's main line of effort.

There have been roughly 380 ballistic and cruise missile launches against Ukraine, the official said.

Despite news reports, U.S. officials have seen no indications that Belarussian troops are being readied to move into Ukraine. "Our best information is that the forces inside Ukraine are all Russians," the senior official said.

The Ukrainian resistance and Russian military problems with logistics and sustainment have combined to slow the Russian invasion. "Our indications are that they ended up having to rely on fuel and sustainment capabilities earlier in the process than what we believe they had planned to," the official said. "So, on day four, they're running out of gas, and they're having logistics problems."

Unajiaibisha!! Tatizo huijui lugha ya malkia!! Wanaposema Urusi imeingiza asilimia 75 ya jeshi lake (120,000) Ukraine wanamaanisha ni wale wanajeshi waliokuwa mpakani na Ukraine, walioandaliwa kwa kazi hiyo ya dharula. Idadi ya wanajeshi hao inakadiriwa kuwa ni 150,000. Sasa mwenzangu na mimi anadhani ni asilimia 75 ya jeshi lote la Urusi!!! Pole!! Jeshi lote la Urusi si askari 150,000!!! Pole tena!!! Uliza upewe data!!
 
Mpaka sasa, uvamizi wa Urusi nchini Ukraine umekwisha onesha kasoro za wazi (technical infeasibility) kwa kiwango fulani. Urusi mpaka sasa haijalazimika kutumia maximum capacity ya uwezo wake katika conventional warfare lakini hilo haliondoi facts kuwa imeonesha kiwango kikubwa tu cha mapungufu au makosa ya kimbinu (tactical blunders).

Kimsingi, Urusi inaonesha haikutegemea (anticipate) kiwango cha upinzani ambacho imekipata mpaka sasa. Kufanya 'operation' ya muda mfupi ya kulidhoofisha 'completely' jeshi kama Ukraine si jambo rahisi sana. Huko ni ku-underestimate uwezo wa adui! Jeshi la Ukraine bado limeendelea kuwa active sana katika maeneo mengi tu ya kiulinzi, hata hiyo 'air supremacy' inayosemwa, haionekani kuwa tishio.

Lakini, bado ni mapema kutoa conclusion kuhusu mapigano sababu bado yanaendelea. Tusubiri tuone jinsi mabadiliko ya hali yatakavyokuwa!
Upo sahihi na nikwambie kitu Mkuu. Akili ya mrusi alifikiri Ni Kama kumchukua mtoto na kumchapa fimbo bila yeye kurudishia. Yanayoendelea akuyategemea na mtazamo wa kiburi Cha Putin ni siraha za nyukilia tu.
 
Hii vita ikiendelea kwa mda wa mwezi mmoja plus urusi atakuwa kwenye mgogoro mkubwa wa kiuchumi anacho jaribu kufanya ni kufanya uaribifu wa miondo mbinu, majengo na makazi ya watu kwa kutumia nguvu kubwa na silaha ambazo sio sehemu husika ili vita isichukue mda mrefu. Hii ni mbinu ya kuwavunja raia morali kisaikolojia ili waogope lakini hali ikiendelea hivi hivi lazima watakaa mezani kufikia muafaka jambo ambalo ni gumu kupigana vita sio lelemama haijalishi how strong you are
 
Unaijua nguvu kubwa ya Russia? Russia ikitumia nguvu kubwa yawezekana asilimia 90-95 ya watu duniani wakapoteza maisha kwa sababu atatumia chemical, biological na nuclear weapons. Mpaka sasa Ukraine hata chemical weapons
Hayo ni maneno yenu ya kila siku ya kwenye karatasi tofauti na tunavyoona uhalisia grounds. By the way hizo nuclear,biological na chemicals weapons anazo Mrusi peke yake? Mrusi ni Chui wa Karatasi.
 
Acha kupotosha wewe,aliyekumbia jeshi zima la urusi lina wanajeshi 120,000 kakudanganya,google kisha urudi hapa kubisha tena.Jeshi la urusi lina wanajeshi zaidi ya milioni 1 waliopo kazini na zaidi ya milioni 2 wa akiba.Na pia hiyo idadi ya waliongia ukraine umeitoa wapi?
Western media propaganda
 
Tutaona wataalamu wengi wa kivita wanaotoka katika vijiwe vya kahawa
Mpaka sasa, uvamizi wa Urusi nchini Ukraine umekwisha onesha kasoro za wazi (technical infeasibility) kwa kiwango fulani. Urusi mpaka sasa haijalazimika kutumia maximum capacity ya uwezo wake katika conventional warfare lakini hilo haliondoi facts kuwa imeonesha kiwango kikubwa tu cha mapungufu au makosa ya kimbinu (tactical blunders).

Kimsingi, Urusi inaonesha haikutegemea (anticipate) kiwango cha upinzani ambacho imekipata mpaka sasa. Kufanya 'operation' ya muda mfupi ya kulidhoofisha 'completely' jeshi kama Ukraine si jambo rahisi sana. Huko ni ku-underestimate uwezo wa adui! Jeshi la Ukraine bado limeendelea kuwa active sana katika maeneo mengi tu ya kiulinzi, hata hiyo 'air supremacy' inayosemwa, haionekani kuwa tishio.

Lakini, bado ni mapema kutoa conclusion kuhusu mapigano sababu bado yanaendelea. Tusubiri tuone jinsi mabadiliko ya hali yatakavyokuwa!
 
Hii vita ikiendelea kwa mda wa mwezi mmoja plus urusi atakuwa kwenye mgogoro mkubwa wa kiuchumi anacho jaribu kufanya ni kufanya uaribifu wa miondo mbinu, majengo na makazi ya watu kwa kutumia nguvu kubwa na silaha ambazo sio sehemu husika ili vita isichukue mda mrefu. Hii ni mbinu ya kuwavunja raia morali kisaikolojia ili waogope lakini hali ikiendelea hivi hivi lazima watakaa mezani kufikia muafaka jambo ambalo ni gumu kupigana vita sio lelemama haijalishi how strong you are

Kuwekeza wanajeshi 120,000 kwenye vita ni jambo la gharama sana, akiendelea kuburuza itamgharimu sana kiuchumi, muda sio mrefu hao wanajeshi wataanza kuiba bata na kuku kutoka kwa wanavijiji.
Naona jamaa anapata hasira sana kadiri anavyozidi kucheleweshwa, na hatari nyingine ni pale wananchi wataanza kuzoea na kuhimili mabomu yake, kawaida siku za mwanzo mwanzo husababisha uwoga, lakini mkizoea milipuko, mnakua sugu nyote na kuendelea kwenye mapambano.
 
Back
Top Bottom