Urusi imehusisha asilimia 75% ya jeshi lake lote kwenye huu ugomvi, na bado shughuli ipo

Urusi imehusisha asilimia 75% ya jeshi lake lote kwenye huu ugomvi, na bado shughuli ipo

Mwanzoni ukraine alikuwa anapambana na wanamgambo wa majimbo yaliyojitenga ambao kimsingi wanamgambo hao ni wa-ukraine na kama Ukraine iliwaua basi iliua watu wake, jeshi la urusi ni ile convoy yenye urefu wa kilomita 65. Kwa convoy hiyo ndo inaweka idadi ya wanajeshi 120000 ambao umewasema na bado hata hawajatumika.

Hii leo Russia wakimaliza kazi Kiev hiyo convoy ndio linakuwa jeshi Rasmi la Ukraine na hilo ndio lengo la Putin
kwa hiyo hao wanajeshi wote watabaki Ukraine na Rusia itabakiwa na 25% peke yake
 
Unajiaibisha!! Tatizo huijui lugha ya malkia!! Wanaposema Urusi imeingiza asilimia 75 ya jeshi lake (120,000) Ukraine wanamaanisha ni wale wanajeshi waliokuwa mpakani na Ukraine, walioandaliwa kwa kazi hiyo ya dharula. Idadi ya wanajeshi hao inakadiriwa kuwa ni 150,000. Sasa mwenzangu na mimi anadhani ni asilimia 75 ya jeshi lote la Urusi!!! Pole!! Jeshi lote la Urusi si askari 150,000!!! Pole tena!!! Uliza upewe data!!
Nakuona mtoto kutoka Windsor Castle ukimwagika lugha ya Bibi yako Lily Betty ki ufasha kabisa. Hii vita imefanya watu hapa kuwa kila mtu mjuaji kuanzia maswala ya kivita hadi wataalamu wa lugha ya Malkia 🙂
 
Ama kwa kweli Urusi amedhihirisha udhaifu mkubwa sana, kwamba ahusishe asilimia 75% ya jeshi lake lote na kuacha nyumbani asilimia ndogo ilinde nchi, yote hii kupambana na kataifa kadogo kama Ukraine, na mpaka sasa wiki imeisha hajafaulu kukafagia......kwamba hata akifaulu kuteka Kiev leo hii, amechelewa sana na ameshasomwa kuwa dhaifu.

Sasa ingekua anapigana na mbabe kama China huko si ndio angeisha? Kwenye huu ugomvi amesomwa na wote kama bonge la bogus ambaye amekua akitisha tu.
Enzi zetu tukiwa wadogo shuleni, ilikua kama jamaa huonekana mkubwa, anaogopwa ogopwa, ila siku akija kupigana na dogo yeyote halafu hapo anasomwa uwezo wake, kwa namna atachakaza huyo dogo ndio tutajua kama tuendelee kumuogopa au ni nguvu ya soda.
====================================================

Before the invasion five days ago, officials estimated that Russia had more than 160,000 troops along its borders with Ukraine and inside Belarus, also along the border with Ukraine. If the estimate of 75 percent is correct, then 120,000 Russian troops are taking part in the invasion.

Ukrainians continue their David vs. Goliath battle against the Russian invaders. The official said that Russia has, thus far, failed to achieve air superiority over Ukraine. "The airspace over Ukraine remains contested," he said. "Ukrainian air defenses remain intact and viable, both in terms of aircraft and missile defense systems, and they're engaged."

Ukrainian ground forces have slowed the Russian advance on the capital city of Kyiv and Ukraine's second city of Kharkiv. Still, Russian forces are roughly 25 kilometers out of Kyiv. The official said this appears to be the Russian's main line of effort.

There have been roughly 380 ballistic and cruise missile launches against Ukraine, the official said.

Despite news reports, U.S. officials have seen no indications that Belarussian troops are being readied to move into Ukraine. "Our best information is that the forces inside Ukraine are all Russians," the senior official said.

The Ukrainian resistance and Russian military problems with logistics and sustainment have combined to slow the Russian invasion. "Our indications are that they ended up having to rely on fuel and sustainment capabilities earlier in the process than what we believe they had planned to," the official said. "So, on day four, they're running out of gas, and they're having logistics problems."
On top of that.,
bbc.jpg
 
Kuwekeza wanajeshi 120,000 kwenye vita ni jambo la gharama sana, akiendelea kuburuza itamgharimu sana kiuchumi, muda sio mrefu hao wanajeshi wataanza kuiba bata na kuku kutoka kwa wanavijiji.
Naona jamaa anapata hasira sana kadiri anavyozidi kucheleweshwa, na hatari nyingine ni pale wananchi wataanza kuzoea na kuhimili mabomu yake, kawaida siku za mwanzo mwanzo husababisha uwoga, lakini mkizoea milipuko, mnakua sugu nyote na kuendelea kwenye mapambano.

Nakuona mchambuzi wa masuala ya kijeshi na kivita
 
Hakuna anae semaukweli
Hapa kila mtu anavutia upande wake
Kwahiyo hii Vita ni Upumbavu tu
Kwani wapumba hawa wanagombania
Nini??
 
Ama kwa kweli Urusi amedhihirisha udhaifu mkubwa sana, kwamba ahusishe asilimia 75% ya jeshi lake lote na kuacha nyumbani asilimia ndogo ilinde nchi,
Unaongea kishabiki sana huku source yenyewe ikiwa sio independent source!

On top of that, hebu jisome mara mbili mbili ulichaondika hapo juu, kisha soma kwa makini hapa:-
Before the invasion five days ago, officials estimated that Russia had more than 160,000 troops along its borders with Ukraine and inside Belarus, also along the border with Ukraine. If the estimate of 75 percent is correct, then 120,000 Russian troops are taking part in the invasion.
Now tell me: Hao Wanajeshi 160K ndio JESHI LAKE LOTE?

Huoni hata common sense tu, nayo inakataa?!

Ukisoma kwa makini utaona kilichosemwa hapo ni kwamba, hadi sasa Urusi imetumia around 75% ya jeshi lake alilokusudia kuli-deploy Ukraine na sio kwamba 75% ya Jeshi lake LOTE!!

Na kwenye mambo ya kivita, usikute sehemu kubwa ya hiyo 75% inatokana na Reserve Army, na hiyo 25% ndo yenyewe hasa huku ikikaa tayari in case ile 75% wanaishiwa pumzi!!
 
Kwa nilivyoiona hili jeshi la Russia mpaka sasa ninaweza kusema kwamba hawana kabisa uwezo wa kupambana uso kwa uso na jeshi kama la Ufaransa au Uingereza.

Marekani siiongelei hapa kwa sababu wako mbele ya Russia kwa umbali mrefu mno in terms of logistical arrangement, battle planning, combat skills and even in terms of propaganda dissemination which is a very important aspect in winning any war.

Huu uvamizi wa Russia dhidi ya Ukraine umekuwa ni faida kubwa sana kwa nchi za Nato kwani imewasaidia kuifahamu vema Russia kwa angle zote mbili za strength and weaknesses na itawasaidia kuwawezesha majeshi ya Ukraine kupambana vilivyo na Russia pale askari wa Russia watakuwa wamo ndani ya Ukraine kwa uwingi wao.

Nchi za magharibi zinaamini dhahiri kwamba kwa vikwazo walivyowekewa Russia kamwe hawatakuwa na uwezo wa kuwa-sustain wanajeshi wao watakaokuwa ndani ya Ukraine kwa muda mrefu huku pia wakikabiliana na Guerrilla Warfare toka kwa wananchi wa Ukraine.

Hapa tayari Russia ameshapigiwa mahesabu makali sana na watu wajuaji kumzidi. Kama Marekani tu pamoja na uwezo wake mkubwa kiuchumi kukaa kwake Afghanistan na Iraq imemgharimu zaidi ya dola trilioni tatu sasa Russia tu mwenye uchumi mdogo kuliko South Korea atawezaje kumudu kukaa Ukraine na vikwazo juu.

Kama sasa hivi tu ndio safari yao ya kwenda Ukraine inakabiliwa na changamoto kibao ya mara kuishiwa mafuta njiani, askari kupungukiwa vyakula na low level morale on the part of the soldiers to the extent that some elements within the Russian intelligence services have alerted the Ukrainian authorities on the impending assassination plot being planned by the Putin regime on the Ukrainian president Volodomyr Zelenskyy using the Chechen snipers.

Ndani ya jeshi la wavamizi la Russia kuna maaskari ambao wanapinga nchi yao kuivamia kijeshi Ukraine hali ambayo imechangia uvamizi kusuasua na kushindwa kufikia malengo na wengine wameshambulia hadi hospitali ktk jiji la pili kwa ukubwa la Kharkov lengo likiwa ni kuiamsha dunia ilaani Russia kwamba inaua hadi wagonjwa.

Nato hawawezi kuingilia vita kwa kupigana ndani ya Ukraine lkn kitendo chao cha kuwapa Ukraine silaha ni mtego wa kuifanya Russia waishambulie nchi yoyote ya Nato kisha wapate sababu ya kuingia vitani na Russia ambao wakati huo uchumi wao utakuwa taabani hivyo kupigana nao itakuwa ni kama kumsukuma tu mlevi na makamanda wengine wa Russia wanaopinga vita watawaamuru askari wao wajisalimishe ili kuepuka umwagaji wa damu wa kipumbavu.

Kuna taarifa kwamba kabla ya uvamizi kutekelezwa kulikuwa na mjadala ulioibuka huko Moscow ukihusisha rais Putin na makamanda wake huku wale waliokuwa wakipinga vita wakitoa hoja kwamba baada ya uvamizi lazima Nato wataingia vitani kwa mlango wa nyuma bila kusahau vikwazo vya kiuchumi na itakuwa shida kwa Russia hoja ambayo ilipuuzwa na akina Putin na mashabiki wa uvamizi.

Hata hivyo, kuna wasiwasi kwa upande wa Russia kwamba morale pamoja na commitment ya maaskari wengine haiko vizuri kwani hawaungi mkono uvamizi wa kijeshi dhidi ya Ukraine na hao ndio wako radhi kuua raia ili ili ionekane kwamba hata hilo nalo ni lengo la uvamizi na lawama ziiendee serikali ya Putin.
 
We give Russia Twodays
Civilian mnaongea as if mmesha fanya mmeshashiriki military drilling hata kwa kutazama poor wabongo, fundi kujua hamna kitu kichwani, ushabiki ndio kitu mmebarikiwa
 
Kwa nilivyoiona hili jeshi la Russia mpaka sasa ninaweza kusema kwamba hawana kabisa uwezo wa kupambana uso kwa uso na jeshi kama la Ufaransa au Uingereza.

Marekani siiongelei hapa kwa sababu wako mbele ya Russia kwa umbali mrefu mno in terms of logistical arrangement, battle planning, combat skills and even in terms of propaganda dissemination which is a very important aspect in winning any war.

Huu uvamizi wa Russia dhidi ya Ukraine umekuwa ni faida kubwa sana kwa nchi za Nato kwani imewasaidia kuifahamu vema Russia kwa angle zote mbili za strength and weaknesses na itawasaidia kuwawezesha majeshi ya Ukraine kupambana vilivyo na Russia pale askari wa Russia watakuwa wamo ndani ya Ukraine kwa uwingi wao.

Nchi za magharibi zinaamini dhahiri kwamba kwa vikwazo walivyowekewa Russia kamwe hawatakuwa na uwezo wa kuwa-sustain wanajeshi wao watakaokuwa ndani ya Ukraine kwa muda mrefu huku pia wakikabiliana na Guerrilla Warfare toka kwa wananchi wa Ukraine.

Hapa tayari Russia ameshapigiwa mahesabu makali sana na watu wajuaji kumzidi. Kama Marekani tu pamoja na uwezo wake mkubwa kiuchumi kukaa kwake Afghanistan na Iraq imemgharimu zaidi ya dola trilioni tatu sasa Russia tu mwenye uchumi mdogo kuliko South Korea atawezaje kumudu kukaa Ukraine na vikwazo juu.

Kama sasa hivi tu ndio safari yao ya kwenda Ukraine inakabiliwa na changamoto kibao ya mara kuishiwa mafuta njiani, askari kupungukiwa vyakula na low level morale on the part of the soldiers to the extent that some elements within the Russian intelligence services have alerted the Ukrainian authorities on the impending assassination plot being planned by the Putin regime on the Ukrainian president Volodomyr Zelenskyy using the Chechen snipers.

Ndani ya jeshi la wavamizi la Russia kuna maaskari ambao wanapinga nchi yao kuivamia kijeshi Ukraine hali ambayo imechangia uvamizi kusuasua na kushindwa kufikia malengo na wengine wameshambulia hadi hospitali ktk jiji la pili kwa ukubwa la Kharkov lengo likiwa ni kuiamsha dunia ilaani Russia kwamba inaua hadi wagonjwa.

Nato hawawezi kuingilia vita kwa kupigana ndani ya Ukraine lkn kitendo chao cha kuwapa Ukraine silaha ni mtego wa kuifanya Russia waishambulie nchi yoyote ya Nato kisha wapate sababu ya kuingia vitani na Russia ambao wakati huo uchumi wao utakuwa taabani hivyo kupigana nao itakuwa ni kama kumsukuma tu mlevi na makamanda wengine wa Russia wanaopinga vita watawaamuru askari wao wajisalimishe ili kuepuka umwagaji wa damu wa kipumbavu.

Kuna taarifa kwamba kabla ya uvamizi kutekelezwa kulikuwa na mjadala ulioibuka huko Moscow ukihusisha rais Putin na makamanda wake huku wale waliokuwa wakipinga vita wakitoa hoja kwamba baada ya uvamizi lazima Nato wataingia vitani kwa mlango wa nyuma bila kusahau vikwazo vya kiuchumi na itakuwa shida kwa Russia hoja ambayo ilipuuzwa na akina Putin na mashabiki wa uvamizi.

Hata hivyo, kuna wasiwasi kwa upande wa Russia kwamba morale pamoja na commitment ya maaskari wengine haiko vizuri kwani hawaungi mkono uvamizi wa kijeshi dhidi ya Ukraine na hao ndio wako radhi kuua raia ili ili ionekane kwamba hata hilo nalo ni lengo la uvamizi na lawama ziiendee serikali ya Putin.
Kwa ndoto kama hizi nilale style gani
 
Kwa nilivyoiona hili jeshi la Russia mpaka sasa ninaweza kusema kwamba hawana kabisa uwezo wa kupambana uso kwa uso na jeshi kama la Ufaransa au Uingereza.

Marekani siiongelei hapa kwa sababu wako mbele ya Russia kwa umbali mrefu mno in terms of logistical arrangement, battle planning, combat skills and even in terms of propaganda dissemination which is a very important aspect in winning any war.

Huu uvamizi wa Russia dhidi ya Ukraine umekuwa ni faida kubwa sana kwa nchi za Nato kwani imewasaidia kuifahamu vema Russia kwa angle zote mbili za strength and weaknesses na itawasaidia kuwawezesha majeshi ya Ukraine kupambana vilivyo na Russia pale askari wa Russia watakuwa wamo ndani ya Ukraine kwa uwingi wao.

Nchi za magharibi zinaamini dhahiri kwamba kwa vikwazo walivyowekewa Russia kamwe hawatakuwa na uwezo wa kuwa-sustain wanajeshi wao watakaokuwa ndani ya Ukraine kwa muda mrefu huku pia wakikabiliana na Guerrilla Warfare toka kwa wananchi wa Ukraine.

Hapa tayari Russia ameshapigiwa mahesabu makali sana na watu wajuaji kumzidi. Kama Marekani tu pamoja na uwezo wake mkubwa kiuchumi kukaa kwake Afghanistan na Iraq imemgharimu zaidi ya dola trilioni tatu sasa Russia tu mwenye uchumi mdogo kuliko South Korea atawezaje kumudu kukaa Ukraine na vikwazo juu.

Kama sasa hivi tu ndio safari yao ya kwenda Ukraine inakabiliwa na changamoto kibao ya mara kuishiwa mafuta njiani, askari kupungukiwa vyakula na low level morale on the part of the soldiers to the extent that some elements within the Russian intelligence services have alerted the Ukrainian authorities on the impending assassination plot being planned by the Putin regime on the Ukrainian president Volodomyr Zelenskyy using the Chechen snipers.

Ndani ya jeshi la wavamizi la Russia kuna maaskari ambao wanapinga nchi yao kuivamia kijeshi Ukraine hali ambayo imechangia uvamizi kusuasua na kushindwa kufikia malengo na wengine wameshambulia hadi hospitali ktk jiji la pili kwa ukubwa la Kharkov lengo likiwa ni kuiamsha dunia ilaani Russia kwamba inaua hadi wagonjwa.

Nato hawawezi kuingilia vita kwa kupigana ndani ya Ukraine lkn kitendo chao cha kuwapa Ukraine silaha ni mtego wa kuifanya Russia waishambulie nchi yoyote ya Nato kisha wapate sababu ya kuingia vitani na Russia ambao wakati huo uchumi wao utakuwa taabani hivyo kupigana nao itakuwa ni kama kumsukuma tu mlevi na makamanda wengine wa Russia wanaopinga vita watawaamuru askari wao wajisalimishe ili kuepuka umwagaji wa damu wa kipumbavu.

Kuna taarifa kwamba kabla ya uvamizi kutekelezwa kulikuwa na mjadala ulioibuka huko Moscow ukihusisha rais Putin na makamanda wake huku wale waliokuwa wakipinga vita wakitoa hoja kwamba baada ya uvamizi lazima Nato wataingia vitani kwa mlango wa nyuma bila kusahau vikwazo vya kiuchumi na itakuwa shida kwa Russia hoja ambayo ilipuuzwa na akina Putin na mashabiki wa uvamizi.

Hata hivyo, kuna wasiwasi kwa upande wa Russia kwamba morale pamoja na commitment ya maaskari wengine haiko vizuri kwani hawaungi mkono uvamizi wa kijeshi dhidi ya Ukraine na hao ndio wako radhi kuua raia ili ili ionekane kwamba hata hilo nalo ni lengo la uvamizi na lawama ziiendee serikali ya Putin.
Safi kabisa mwamba ume analyse vizuri sana, morale ya askari wa russia iko chini sana kiasi cha kushindwa kufanya effective group assualt, Sasa hivi wanatumia messile kupiga miji ili kuwa frustrate ukrain still bado wanaface resistance, magari yao mengi ya logistics yameharibiwa vibaya kiasi cha kudukuliwa vibaya. Mabeberu yamedhamilia kumuumiza Putin yamefanikiwa kuoneza chuki kwa picha ambayo inaonesha tatizo sio warusi ila ni kiongozi wao mkuu
 
Jamaaa hatani aisee na hii ya kusema kapeleka asilimia 75 ni mitego Kwa Nato ili wajifanye hamnazo awabutue nao. Bunge la ujeruman Leo hii wanalaumiana na wanaogopa kumvaa mrusi kichwa kichwa unahis wajerumani hawajui mtiti wa Urusi
Usifananishe akili za mabeberu na za kwako wenzako wanaamua mambo kwa logistics sio mihemuko, kuwa trick mabeberu sio kazi rahisi kama unavyofikili wenzako wana spy network zenye weledi wa hali ya juu ndio maana kama ni mtu makini wanamlia timing Putin hawataki kuingia vitani kupoteza maisha ya watu, watu wanataka kula bata sio vita, punguza mahaba ya Simba na yanga
 
Mkuu, katika vita hii Russia ameshindwa kqa vigezo hivi;
1. Ametumia nguvu kubwa kuivamia nchi ndogo jst bila sababu ya msingi...hivyo hawezi kujiita mshindi zaidi ni mhakifu wa kivita.

2. Russia ameshindwa tena ushindi wa mezani..how?
Nchi za magharibi ni smart sana...sanctions waliyomuekea Mrusi ni ushindi mkubwa sana kwao. Kwasasa wenye akili wanakunywa wine na kugonga glass...kwanini?
- wauporomosha uchumi wa Urusi vibaya
Mno.
- Urusi haitakaa iwe na utulivu kutokana
Uchumi kuporomoka...migogoro ya ndani
- Huu ndio mwisho wa utukufu wa Putin..
Wamemchimbia kaburi suala la muda tu.

Dunia ya sasa inahitaji akili zaidi na sio miguvu kama ya Putin.
MK254
Absolutely ...

Excellent 👍

Uchumi wa Urussi kwisha

Wale Maoligarch watamgeuka

Spy Mkuu wa Urussi alimshauri Putin, acha, Mzee akawa mkali..
 
Unaongea kishabiki sana huku source yenyewe ikiwa sio independent source!

On top of that, hebu jisome mara mbili mbili ulichaondika hapo juu, kisha soma kwa makini hapa:-

Now tell me: Hao Wanajeshi 160K ndio JESHI LAKE LOTE?

Huoni hata common sense tu, nayo inakataa?!

Ukisoma kwa makini utaona kilichosemwa hapo ni kwamba, hadi sasa Urusi imetumia around 75% ya jeshi lake alilokusudia kuli-deploy Ukraine na sio kwamba 75% ya Jeshi lake LOTE!!

Na kwenye mambo ya kivita, usikute sehemu kubwa ya hiyo 75% inatokana na Reserve Army, na hiyo 25% ndo yenyewe hasa huku ikikaa tayari in case ile 75% wanaishiwa pumzi!!
Good analysis,
Japo hiyo kipande uliyosema kwamba ametumia reserve sio kweli, huez risk vifaa vya gharama kubwa kwa wanajeshi wasio na uwezo

Nadhan hapo Russia ame fail kwenye mbinu mkakati wa hii vita
 
Unaijua nguvu kubwa ya Russia? Russia ikitumia nguvu kubwa yawezekana asilimia 90-95 ya watu duniani wakapoteza maisha kwa sababu atatumia chemical, biological na nuclear weapons. Mpaka sasa Ukraine hata chemical weapons
Mwambie huyo mbumbumbu sijui amezipimaje nguvu za russia kwamba zimeisha au yaani uji wa magimbi ni shida
 
Ama kwa kweli Urusi amedhihirisha udhaifu mkubwa sana, kwamba ahusishe asilimia 75% ya jeshi lake lote na kuacha nyumbani asilimia ndogo ilinde nchi, yote hii kupambana na kataifa kadogo kama Ukraine, na mpaka sasa wiki imeisha hajafaulu kukafagia......kwamba hata akifaulu kuteka Kiev leo hii, amechelewa sana na ameshasomwa kuwa dhaifu.

Sasa ingekua anapigana na mbabe kama China huko si ndio angeisha? Kwenye huu ugomvi amesomwa na wote kama bonge la bogus ambaye amekua akitisha tu.
Enzi zetu tukiwa wadogo shuleni, ilikua kama jamaa huonekana mkubwa, anaogopwa ogopwa, ila siku akija kupigana na dogo yeyote halafu hapo anasomwa uwezo wake, kwa namna atachakaza huyo dogo ndio tutajua kama tuendelee kumuogopa au ni nguvu ya soda.
====================================================

Before the invasion five days ago, officials estimated that Russia had more than 160,000 troops along its borders with Ukraine and inside Belarus, also along the border with Ukraine. If the estimate of 75 percent is correct, then 120,000 Russian troops are taking part in the invasion.

Ukrainians continue their David vs. Goliath battle against the Russian invaders. The official said that Russia has, thus far, failed to achieve air superiority over Ukraine. "The airspace over Ukraine remains contested," he said. "Ukrainian air defenses remain intact and viable, both in terms of aircraft and missile defense systems, and they're engaged."

Ukrainian ground forces have slowed the Russian advance on the capital city of Kyiv and Ukraine's second city of Kharkiv. Still, Russian forces are roughly 25 kilometers out of Kyiv. The official said this appears to be the Russian's main line of effort.

There have been roughly 380 ballistic and cruise missile launches against Ukraine, the official said.

Despite news reports, U.S. officials have seen no indications that Belarussian troops are being readied to move into Ukraine. "Our best information is that the forces inside Ukraine are all Russians," the senior official said.

The Ukrainian resistance and Russian military problems with logistics and sustainment have combined to slow the Russian invasion. "Our indications are that they ended up having to rely on fuel and sustainment capabilities earlier in the process than what we believe they had planned to," the official said. "So, on day four, they're running out of gas, and they're having logistics problems."
Kalata yao ya mwisho ni nyuklia.
 
Back
Top Bottom