Urusi imehusisha asilimia 75% ya jeshi lake lote kwenye huu ugomvi, na bado shughuli ipo

Urusi imehusisha asilimia 75% ya jeshi lake lote kwenye huu ugomvi, na bado shughuli ipo

Umeandika kishabiki Sana sababu za kupiga Ukraine zipo wap ni kulinda mipaka yake

Na kuhusu vikwazo hawez kuumia mbona hiv vichache alichukua Jimbo la Crimea waliweka kila kitu had mmiliki wa Chelsea swahiba wake Putin alikuwa kwenye list kampuni kubwa la nishati urusi ziliwekewa vikwazo

Kingine miji aliyoteka Urusi ndiyo ina utajili wa mafuta,gesi aluminium na makaa ya mawe kwahiyo unaweza ukaona kiuchumi nani kapata na nani kapoteza hapo kati ya Ukraine na urusi
Putin hataki kushika nchi, anachotaka ni kumtoa huyu rais mhuni na kiweka uongozi anaoutaka
 
Ama kwa kweli Urusi amedhihirisha udhaifu mkubwa sana, kwamba ahusishe asilimia 75% ya jeshi lake lote na kuacha nyumbani asilimia ndogo ilinde nchi, yote hii kupambana na kataifa kadogo kama Ukraine, na mpaka sasa wiki imeisha hajafaulu kukafagia......kwamba hata akifaulu kuteka Kiev leo hii, amechelewa sana na ameshasomwa kuwa dhaifu.

Sasa ingekua anapigana na mbabe kama China huko si ndio angeisha? Kwenye huu ugomvi amesomwa na wote kama bonge la bogus ambaye amekua akitisha tu.
Enzi zetu tukiwa wadogo shuleni, ilikua kama jamaa huonekana mkubwa, anaogopwa ogopwa, ila siku akija kupigana na dogo yeyote halafu hapo anasomwa uwezo wake, kwa namna atachakaza huyo dogo ndio tutajua kama tuendelee kumuogopa au ni nguvu ya soda.
====================================================

Before the invasion five days ago, officials estimated that Russia had more than 160,000 troops along its borders with Ukraine and inside Belarus, also along the border with Ukraine. If the estimate of 75 percent is correct, then 120,000 Russian troops are taking part in the invasion.

Ukrainians continue their David vs. Goliath battle against the Russian invaders. The official said that Russia has, thus far, failed to achieve air superiority over Ukraine. "The airspace over Ukraine remains contested," he said. "Ukrainian air defenses remain intact and viable, both in terms of aircraft and missile defense systems, and they're engaged."

Ukrainian ground forces have slowed the Russian advance on the capital city of Kyiv and Ukraine's second city of Kharkiv. Still, Russian forces are roughly 25 kilometers out of Kyiv. The official said this appears to be the Russian's main line of effort.

There have been roughly 380 ballistic and cruise missile launches against Ukraine, the official said.

Despite news reports, U.S. officials have seen no indications that Belarussian troops are being readied to move into Ukraine. "Our best information is that the forces inside Ukraine are all Russians," the senior official said.

The Ukrainian resistance and Russian military problems with logistics and sustainment have combined to slow the Russian invasion. "Our indications are that they ended up having to rely on fuel and sustainment capabilities earlier in the process than what we believe they had planned to," the official said. "So, on day four, they're running out of gas, and they're having logistics problems."
Wewe jamaa acha propaganda zako, hiyo asilimia 75% inayosemwa ni wanajeshi waliokuwa mpakani, kumbuka ilitangazwa ana wanajeshi zaidi ya 150k mpakani hao ndio aslimia 75 yao inasemwa wako ndani Ukrane.
 
INGIA HAPA UONE DIRECT KINACHO ENDELEA UKRAINE , NI LINK YA GROUP LA TELEGRAM ,,, NI HATAREEE TUPUUUUUUUUUU.
Канал для российских матерей.
. Sema lugha gongana tuuu. WEKA translate app italeta into English....
 
INGIA HAPA UONE DIRECT KINACHO ENDELEA UKRAINE , NI LINK YA GROUP LA TELEGRAM ,,, NI HATAREEE TUPUUUUUUUUUU.
Канал для российских матерей.
. Sema lugha gongana tuuu. WEKA translate app italeta into English....
Tunaomba na link ya Jeshi la urusi mzee
 
Kwa nilivyoiona hili jeshi la Russia mpaka sasa ninaweza kusema kwamba hawana kabisa uwezo wa kupambana uso kwa uso na jeshi kama la Ufaransa au Uingereza.

Marekani siiongelei hapa kwa sababu wako mbele ya Russia kwa umbali mrefu mno in terms of logistical arrangement, battle planning, combat skills and even in terms of propaganda dissemination which is a very important aspect in winning any war.

Huu uvamizi wa Russia dhidi ya Ukraine umekuwa ni faida kubwa sana kwa nchi za Nato kwani imewasaidia kuifahamu vema Russia kwa angle zote mbili za strength and weaknesses na itawasaidia kuwawezesha majeshi ya Ukraine kupambana vilivyo na Russia pale askari wa Russia watakuwa wamo ndani ya Ukraine kwa uwingi wao.

Nchi za magharibi zinaamini dhahiri kwamba kwa vikwazo walivyowekewa Russia kamwe hawatakuwa na uwezo wa kuwa-sustain wanajeshi wao watakaokuwa ndani ya Ukraine kwa muda mrefu huku pia wakikabiliana na Guerrilla Warfare toka kwa wananchi wa Ukraine.

Hapa tayari Russia ameshapigiwa mahesabu makali sana na watu wajuaji kumzidi. Kama Marekani tu pamoja na uwezo wake mkubwa kiuchumi kukaa kwake Afghanistan na Iraq imemgharimu zaidi ya dola trilioni tatu sasa Russia tu mwenye uchumi mdogo kuliko South Korea atawezaje kumudu kukaa Ukraine na vikwazo juu.

Kama sasa hivi tu ndio safari yao ya kwenda Ukraine inakabiliwa na changamoto kibao ya mara kuishiwa mafuta njiani, askari kupungukiwa vyakula na low level morale on the part of the soldiers to the extent that some elements within the Russian intelligence services have alerted the Ukrainian authorities on the impending assassination plot being planned by the Putin regime on the Ukrainian president Volodomyr Zelenskyy using the Chechen snipers.

Ndani ya jeshi la wavamizi la Russia kuna maaskari ambao wanapinga nchi yao kuivamia kijeshi Ukraine hali ambayo imechangia uvamizi kusuasua na kushindwa kufikia malengo na wengine wameshambulia hadi hospitali ktk jiji la pili kwa ukubwa la Kharkov lengo likiwa ni kuiamsha dunia ilaani Russia kwamba inaua hadi wagonjwa.

Nato hawawezi kuingilia vita kwa kupigana ndani ya Ukraine lkn kitendo chao cha kuwapa Ukraine silaha ni mtego wa kuifanya Russia waishambulie nchi yoyote ya Nato kisha wapate sababu ya kuingia vitani na Russia ambao wakati huo uchumi wao utakuwa taabani hivyo kupigana nao itakuwa ni kama kumsukuma tu mlevi na makamanda wengine wa Russia wanaopinga vita watawaamuru askari wao wajisalimishe ili kuepuka umwagaji wa damu wa kipumbavu.

Kuna taarifa kwamba kabla ya uvamizi kutekelezwa kulikuwa na mjadala ulioibuka huko Moscow ukihusisha rais Putin na makamanda wake huku wale waliokuwa wakipinga vita wakitoa hoja kwamba baada ya uvamizi lazima Nato wataingia vitani kwa mlango wa nyuma bila kusahau vikwazo vya kiuchumi na itakuwa shida kwa Russia hoja ambayo ilipuuzwa na akina Putin na mashabiki wa uvamizi.

Hata hivyo, kuna wasiwasi kwa upande wa Russia kwamba morale pamoja na commitment ya maaskari wengine haiko vizuri kwani hawaungi mkono uvamizi wa kijeshi dhidi ya Ukraine na hao ndio wako radhi kuua raia ili ili ionekane kwamba hata hilo nalo ni lengo la uvamizi na lawama ziiendee serikali ya Putin.
Umenena vzr sana na umemaliza kilaaa kitu.Tungoje warussi wakinondoni Mosco waje hapa na hoja zao mufilis
 
Ama kwa kweli Urusi amedhihirisha udhaifu mkubwa sana, kwamba ahusishe asilimia 75% ya jeshi lake lote na kuacha nyumbani asilimia ndogo ilinde nchi, yote hii kupambana na kataifa kadogo kama Ukraine, na mpaka sasa wiki imeisha hajafaulu kukafagia......kwamba hata akifaulu kuteka Kiev leo hii, amechelewa sana na ameshasomwa kuwa dhaifu.

Sasa ingekua anapigana na mbabe kama China huko si ndio angeisha? Kwenye huu ugomvi amesomwa na wote kama bonge la bogus ambaye amekua akitisha tu.
Enzi zetu tukiwa wadogo shuleni, ilikua kama jamaa huonekana mkubwa, anaogopwa ogopwa, ila siku akija kupigana na dogo yeyote halafu hapo anasomwa uwezo wake, kwa namna atachakaza huyo dogo ndio tutajua kama tuendelee kumuogopa au ni nguvu ya soda.
====================================================

Before the invasion five days ago, officials estimated that Russia had more than 160,000 troops along its borders with Ukraine and inside Belarus, also along the border with Ukraine. If the estimate of 75 percent is correct, then 120,000 Russian troops are taking part in the invasion.

Ukrainians continue their David vs. Goliath battle against the Russian invaders. The official said that Russia has, thus far, failed to achieve air superiority over Ukraine. "The airspace over Ukraine remains contested," he said. "Ukrainian air defenses remain intact and viable, both in terms of aircraft and missile defense systems, and they're engaged."

Ukrainian ground forces have slowed the Russian advance on the capital city of Kyiv and Ukraine's second city of Kharkiv. Still, Russian forces are roughly 25 kilometers out of Kyiv. The official said this appears to be the Russian's main line of effort.

There have been roughly 380 ballistic and cruise missile launches against Ukraine, the official said.

Despite news reports, U.S. officials have seen no indications that Belarussian troops are being readied to move into Ukraine. "Our best information is that the forces inside Ukraine are all Russians," the senior official said.

The Ukrainian resistance and Russian military problems with logistics and sustainment have combined to slow the Russian invasion. "Our indications are that they ended up having to rely on fuel and sustainment capabilities earlier in the process than what we believe they had planned to," the official said. "So, on day four, they're running out of gas, and they're having logistics problems."
Mkenya usijidanganye.. Putin alikuwa katulia mda mrefu Sana ila upole wake umeisha mlipo Karibu kumtia kid#le[emoji23][emoji23][emoji23]

Ogopa sana ndugu yako ajiunge na adui.. huyo ndo atakuwa hatari zaidi ya adui mwenyewe
 
Convoy ipo 30 miles out of Kyiv satelites inaonyesha hazisogei au zinasogea kwa kiwango kidogo sana,habari za kitaalamu zinasema wana face logistic issues kama kuishiwa mafuta na chakula,sasa inashangaza kidogo how is ti possible the might Russian army wanaweza face matatizo magodo dogo kama haya.Sasa wakutane na nchi yenye air force serious kabisa si ingekuwa disaster??..Haya matatizo madogo madogo nchi adversery wa Russia wanayasoma kiumakini sana.
Russian infantry imeonyesha udhaifu mkubwa sana,ndio maana sasa wameongeza airstrikes kupunguza nguvu majeshi ya Ukraine.
Za ndani zinasema huko Kremlin Putin is furious haridhishwi na hali inavyoenda Ukraine.
Hiii vita Russia wakikosea calculations itakula kwao mazima,maana mambyo yatakuwa uncontrolled..
 
Convoy ipo 30 miles out of Kyiv satelites inaonyesha hazisogei au zinasogea kwa kiwango kidogo sana,habari za kitaalamu zinasema wana face logistic issues kama kuishiwa mafuta na chakula,sasa inashangaza kidogo how is ti possible the might Russian army wanaweza face matatizo magodo dogo kama haya.Sasa wakutane na nchi yenye air force serious kabisa si ingekuwa disaster??..Haya matatizo madogo madogo nchi adversery wa Russia wanayasoma kiumakini sana.
Russian infantry imeonyesha udhaifu mkubwa sana,ndio maana sasa wameongeza airstrikes kupunguza nguvu majeshi ya Ukraine.
Za ndani zinasema huko Kremlin Putin is furious haridhishwi na hali inavyoenda Ukraine.
Hiii vita Russia wakikosea calculations itakula kwao mazima,maana mambyo yatakuwa uncontrolled..
Uliza Sasa source ya hayo maelezo Yako!
Vitu vingine pima na sio kumezeshwa tu!Hizo ni propaganda za media za west!
 
Hahahaha...kama una ndugu yako Kiev mwambie aondoke leo Russia inaenda kufanya jambo lake. NATO mpaka sasa hajui kama kama Russia anatumie silaha za enzi za Soviet au mpya na Putin kawaweka mtegoni wakijiingiza tu.

Leo ndio Putin anamaliza operation yake ambayo aliipanga imalizike 02/03/2022. Kitakachofanyika Leo Ukraine Ukraine itajuta
🤣🤣
 
Russian Military Active personnel is 1,014,000
Hao 160,000 ni wale waliokuwa mpakani ila vita msidhani ni kama football jamani
Kwanza mjue hawa ni ndugu moja na miaka michache iliyopita Kiev ilikuwa USSR na wanajeshi na mbinu zao wote ni zile zile na ranks zao ni wale wale

Wamesoma pamoja hawa ingawa Russia ana nguvu zaidi ila wanajuana

Ukraine mkumbuke ndio kwenye Chernobyl na ndege kubwa duniani Antonov ilitengenezwa na wao ila majeshi ya Putin yameiharibu hiyo ndege

Hali sio nzuri huko na vita sio nzuri naijua vizuri
 
Mwanzo Urusi alikuwa anafanya kama anatishia kuona kama Ukraine atashupaza shingo sasa kaona kashupaza shingo subiri aivunje. Leo Kiev itawaka moto
Bado kaonesha udhaifu sana...kama kweli alikua anatishia asije akajaribu kwenye nchi zinazojiweza, maana amejaribu Ukraine na hadi sasa amepata hasara kubwa ya vifaa na wanajeshi..isingetokea hvo kama angekua amepanga vizuri.. Akishindwa leo tena, hata akishinda atakua ashaonekana boya
 
Mkuu na yakipita masaa bila hiko kilichopangwa kutokea what will you come up with? Uzuri wake muda ni mwalimu mzuri sana, tusubirie tuone hayo yaliyopangwa kufanyika ili mchezo uishe leo tar 02 kama ulivyosema.
Umesikia kilichotokea au Bado baba
 
Convoy ipo 30 miles out of Kyiv satelites inaonyesha hazisogei au zinasogea kwa kiwango kidogo sana,habari za kitaalamu zinasema wana face logistic issues kama kuishiwa mafuta na chakula,sasa inashangaza kidogo how is ti possible the might Russian army wanaweza face matatizo magodo dogo kama haya.Sasa wakutane na nchi yenye air force serious kabisa si ingekuwa disaster??..Haya matatizo madogo madogo nchi adversery wa Russia wanayasoma kiumakini sana.
Russian infantry imeonyesha udhaifu mkubwa sana,ndio maana sasa wameongeza airstrikes kupunguza nguvu majeshi ya Ukraine.
Za ndani zinasema huko Kremlin Putin is furious haridhishwi na hali inavyoenda Ukraine.
Hiii vita Russia wakikosea calculations itakula kwao mazima,maana mambyo yatakuwa uncontrolled..
[emoji23][emoji23][emoji23]
hujajiuliza kwanza kwanini RUSSIA tokea siku ya kwanza wakawa wana deal na mifumo ya angani tu ya UKRAINE
yaani mifumo ya anga ya UKRAINE tayari imeishapata STROKE haina chakufanya ndio maana unaona majamaa wanarilax bila wac wac
ila upuuzi mwengine mnaomezeshwa muwe walau munauchuja waheshimwa yaani kama hujawahikusikia tatizo la kukosekana chakula kule SYRIA kwamuongo mzima sasa iwe kukosekana chakula hapo HOME
ulivyomalizia la PUTIN na KREMLIN nikaelewa unatamani kitokee nini NICE DREAM[emoji12][emoji12][emoji12]
 
Convoy ipo 30 miles out of Kyiv satelites inaonyesha hazisogei au zinasogea kwa kiwango kidogo sana,habari za kitaalamu zinasema wana face logistic issues kama kuishiwa mafuta na chakula,sasa inashangaza kidogo how is ti possible the might Russian army wanaweza face matatizo magodo dogo kama haya.Sasa wakutane na nchi yenye air force serious kabisa si ingekuwa disaster??..Haya matatizo madogo madogo nchi adversery wa Russia wanayasoma kiumakini sana.
Russian infantry imeonyesha udhaifu mkubwa sana,ndio maana sasa wameongeza airstrikes kupunguza nguvu majeshi ya Ukraine.
Za ndani zinasema huko Kremlin Putin is furious haridhishwi na hali inavyoenda Ukraine.
Hiii vita Russia wakikosea calculations itakula kwao mazima,maana mambyo yatakuwa uncontrolled..
Yaani angepigana na nchi yenye airforce kama ufaransa huo msafara wote ungeteketezwa.
 
Kwa nilivyoiona hili jeshi la Russia mpaka sasa ninaweza kusema kwamba hawana kabisa uwezo wa kupambana uso kwa uso na jeshi kama la Ufaransa au Uingereza.

Marekani siiongelei hapa kwa sababu wako mbele ya Russia kwa umbali mrefu mno in terms of logistical arrangement, battle planning, combat skills and even in terms of propaganda dissemination which is a very important aspect in winning any war.

Huu uvamizi wa Russia dhidi ya Ukraine umekuwa ni faida kubwa sana kwa nchi za Nato kwani imewasaidia kuifahamu vema Russia kwa angle zote mbili za strength and weaknesses na itawasaidia kuwawezesha majeshi ya Ukraine kupambana vilivyo na Russia pale askari wa Russia watakuwa wamo ndani ya Ukraine kwa uwingi wao.

Nchi za magharibi zinaamini dhahiri kwamba kwa vikwazo walivyowekewa Russia kamwe hawatakuwa na uwezo wa kuwa-sustain wanajeshi wao watakaokuwa ndani ya Ukraine kwa muda mrefu huku pia wakikabiliana na Guerrilla Warfare toka kwa wananchi wa Ukraine.

Hapa tayari Russia ameshapigiwa mahesabu makali sana na watu wajuaji kumzidi. Kama Marekani tu pamoja na uwezo wake mkubwa kiuchumi kukaa kwake Afghanistan na Iraq imemgharimu zaidi ya dola trilioni tatu sasa Russia tu mwenye uchumi mdogo kuliko South Korea atawezaje kumudu kukaa Ukraine na vikwazo juu.

Kama sasa hivi tu ndio safari yao ya kwenda Ukraine inakabiliwa na changamoto kibao ya mara kuishiwa mafuta njiani, askari kupungukiwa vyakula na low level morale on the part of the soldiers to the extent that some elements within the Russian intelligence services have alerted the Ukrainian authorities on the impending assassination plot being planned by the Putin regime on the Ukrainian president Volodomyr Zelenskyy using the Chechen snipers.

Ndani ya jeshi la wavamizi la Russia kuna maaskari ambao wanapinga nchi yao kuivamia kijeshi Ukraine hali ambayo imechangia uvamizi kusuasua na kushindwa kufikia malengo na wengine wameshambulia hadi hospitali ktk jiji la pili kwa ukubwa la Kharkov lengo likiwa ni kuiamsha dunia ilaani Russia kwamba inaua hadi wagonjwa.

Nato hawawezi kuingilia vita kwa kupigana ndani ya Ukraine lkn kitendo chao cha kuwapa Ukraine silaha ni mtego wa kuifanya Russia waishambulie nchi yoyote ya Nato kisha wapate sababu ya kuingia vitani na Russia ambao wakati huo uchumi wao utakuwa taabani hivyo kupigana nao itakuwa ni kama kumsukuma tu mlevi na makamanda wengine wa Russia wanaopinga vita watawaamuru askari wao wajisalimishe ili kuepuka umwagaji wa damu wa kipumbavu.

Kuna taarifa kwamba kabla ya uvamizi kutekelezwa kulikuwa na mjadala ulioibuka huko Moscow ukihusisha rais Putin na makamanda wake huku wale waliokuwa wakipinga vita wakitoa hoja kwamba baada ya uvamizi lazima Nato wataingia vitani kwa mlango wa nyuma bila kusahau vikwazo vya kiuchumi na itakuwa shida kwa Russia hoja ambayo ilipuuzwa na akina Putin na mashabiki wa uvamizi.

Hata hivyo, kuna wasiwasi kwa upande wa Russia kwamba morale pamoja na commitment ya maaskari wengine haiko vizuri kwani hawaungi mkono uvamizi wa kijeshi dhidi ya Ukraine na hao ndio wako radhi kuua raia ili ili ionekane kwamba hata hilo nalo ni lengo la uvamizi na lawama ziiendee serikali ya Putin.
maadam walipewa silaha na rais wao tutawaua sanaa mpaka akili iwakae sawa yaani
sisi tunataka KIEV hizo kelele zenu hazitusumbui sisi tunachanja mbuga kama hakijatokea kitu
iliichukua NATO siku 43 mpaka wanaingia BAGHDAD mukae kwakutulia vijana
 
Back
Top Bottom