Urusi imeingia kwenye 18 ya Marekani, dunia ijiandae kuona majimbo mapya ya Marekani katika ardhi ya Urusi

Marekani kukanyaga ardhi ya Russia ni kitu hatari anachoogopa kufanya hata kwa bahati mbaya.
Ni sawasawa na tembo kukanyaga ufalme wa simba.
Endelea kutega sikio mkuu, kitachotokea huko mbele kitakushangaza sana.
 
Tembo huwa anajipitia popote tu ilimradi iwe njia yao. Hata makazi ya binadamu.
Ya kweli mkuu, tembo hupita popote iwe majini au ardhini na hakuna mnyama anaeweza kuwa na mawazo ya kipumbavu eti kujaribu kumvamia.
 
Reactions: Tsh
Ni kweli anapita popote, Je nini kinamtokea akipita kwenye ufalme wa simba?
Mara nyingi hakuna kinachotokea. Simba huwa anakwepa na kuwaacha wapite sababu licha ya kwamba wao sio washindani wa chakula pia Tembo hutembea katika makundi. Ni nadra sana simba kuwavamia tembo. Inatokea ila ni nadra na ni kazi ngumu sana kumwangusha tembo. Ni rahisi zaidi Simba kuuwawa ikiwa hatakuwa makini.
 
Tuliza mshono ww na Ki history chako cha O level na high level
Putin na Russia yake ni namba nyingine, USA na Russia wanajuana hao
 
Ni kweli anapita popote, Je nini kinamtokea akipita kwenye ufalme wa simba?
Mkuu tembo hajawahi kudhuriwa na mnyama wa aina yoyote hapa duniani, iwe majini au ardhini.
Ukiona tembo kavamiwa na simba, mamba au mnyama yoyote basi jua huyo ni mtoto tena aliepotezana na mama yake. Fuatilia maisha ya tembo porini ndo utakubali. Jamaa anajamini kupita kiasi, anaweza kusimama barabarani hata dakika 30 bila gari yoyote kupita mpaka pale atakapoamua yeye mwenyew kuipisha ipite. So huo mfano wako kwa tembo umekosea sana unless kama utakua haumjui tembo vizuri.
 
Kuna wakati najiskia kucheka, wizara ya ulinzi Russia inasema tumeondoka maeneo Yale na Yale kwa sababu Ukraine katumia silaha za West...
Kwa nin Russians wasijibu kwa silaha za kirusi?
🤣🤣🤣 Genge la Putin halitokuelewa humu mitandaoni.
 

Mmeshindwa kuelewa metaphor.
Tembo ana mwili mkubwa na mwenye nguvu lakini siku zote wanajaribu kukaa mbali na simba sababu ya tabia zao.
Simba ukimbana na akachoka atafanya chochote kile ili akumalize na haijalishi kama atakufa.
 
Umeongea ukweli mtupu mkuu. Japo humu walio wengi ni warusi wa namtumbo. Watakuja hapa mbio kukanusha bila umeelewa wowote
 
Yaan Putin na mkubali kwa mawazo yake yakupinga ushoga.
Ila kwa Vita amekalushwa.Huku mtaani tunasema Putin kawa Mchumba kwa Ukrain
 
Inawezekana huu uvamizi wa Putin ukaanzisha uasi wa kimajimbo ndani ya Russia. Ni suala la muda.
Ukizingatia kwa sasa putin ana upinzani mkubwa hata wa ndani ya nchi yake. Hata hii vita wananchi wengi,hata wanajeshi walikuwa hawaitaki. Ni vile tu putin anaiongoza urusi kwa mkono wa chuma. Hataki mtu ndani yake awe against na yeye. Hata waandishi wa habari huwezi kusikia anaandika against na anachokitaka putin
 
Bora umesema ukweli Toka nione video za warusi wakijenga shule na hospital ndani ya ardhi ya Ukraine kana kwamba hakuna kinachoendelea nimewavua vyeo wote hawa chawa wa NATO na jamaa zao wamewekeza sana kweny midomo na vyombo vya habari na ukitazma Ile speech ya Putin wakati wakuidhinisha Ile mikoa minne ya Ukraine kuwa ni sehemu ya Russia utagundua Kuwa awa jamaa wa NATO wanamidomo sana

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Mmeshindwa kuelewa metaphor.
Tembo ana mwili mkubwa na mwenye nguvu lakini siku zote wanajaribu kukaa mbali na simba sababu ya tabia zao.
Simba ukimbana na akachoka atafanya chochote kile ili akumalize na haijalishi kama atakufa.
Narudia tena.. tembo hajawahi na hatowahi kumu avoid simba au mnyama wa aina yoyote hapa duniani.
Simba hana ujanja wala nguvu ya kumdhibiti hata kifaru, itakuwa tembo? Bila shaka wewe unaongea kishabiki lkn sio ki uhalisia.
 
Narudia tena.. tembo hajawahi na hatowahi kumu avoid simba au mnyama wa aina yoyote hapa duniani.
Simba hana ujanja wala nguvu ya kumdhibiti hata kifaru, itakuwa tembo? Bila shaka wewe unaongea kishabiki lkn sio ki uhalisia.
UMESHINDWA KUELEWA METAPHOR.
Au unadhani nimekurupuka kuchukua mfano wa tembo na simba. Siongelei wanyama hapa bali ni METAPHOR.
Kwa akili yako ya kawaida kabisa unadhani Marekani anaweza kukanyaga Russia nchi ambayo anaiogopa tangu enzi za cold war?
 
Nonsense
 
Ya kweli mkuu, tembo hupita popote iwe majini au ardhini na hakuna mnyama anaeweza kuwa na mawazo ya kipumbavu eti kujaribu kumvamia.
Kabisa boss. Hata Mamba na ubabe wao majini hutulia Tembo wapite wakijifanya kama vile wana upendo na furaha sana kupata hiyo nafasi ya Tembo kupita kwenye makazi yao.

 
Umeongea ukweli mtupu mkuu. Japo humu walio wengi ni warusi wa namtumbo. Watakuja hapa mbio kukanusha bila umeelewa wowote
Asante mkuu kwa kulitambua hilo. Najua wapo warusi wa namtumbo wanaojaribu kukanusha, lkn mda si mrefu watajionea wao wenyew kwa macho yao.
 
Kweli mkuu, nashukur kwa tasmini nzuri na inayoeleweka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…