Urusi imewaua wanajeshi wa Ukraine zaidi ya 560 walipojaribu kuishambulia Kherson

Urusi imewaua wanajeshi wa Ukraine zaidi ya 560 walipojaribu kuishambulia Kherson

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Aisee, hii ni kufuru sasa! Majeshi ya Ukraine yamejaribu kushambulia majeshi ya Urusi huko Kherson, matokeo yake Zelensky kapoteza wanajeshi zaidi ya 560, vifaru 26, armoured vehicles 32 na ndege mbili aina ya Su-25.
=====

SmartSelect_20220830-093029_Chrome.jpg
Screenshot_20220830-093139_Chrome.jpg
 
Sasa kama source ni Russia pekee ulitegemea waseme tumepigwa huko au tumepoteza askari kadhaa zaidi ya kuwapa watu wao morali na kusema tumepigwa,

Russia yeye huwa hakubali kama alipoteza au lah...
Maana wakati maghara yake karibu matatu yanalipuliwa alisema yamelipuka yenyewe.
 
Sasa kama source ni Russia pekee ulitegemea waseme tumepigwa huko au tumepoteza askari kadhaa zaidi ya kuwapa watu wao morali na kusema tumepigwa,

Russia yeye huwa hakubali kama alipoteza au lah...
Maana wakati maghara yake karibu matatu yanalipuliwa alisema yamelipuka yenyewe.
Endelea kuteseka tu Mkuu....mie nasukuma dawa tu
 
Dawa gani wakati na wao wameposti wajifurahishe.
Mkuu, unateseka nini kama kweli una yakini Urusi wameposti ili wajifurahishe?!

Mmezoea (Zelensky + Pro-NATO) kupost fake news mkijiliwaza kushinda vita huko twitter, ila Urusi yenyewe yashinda vita kwenye ardhi ya Ukraine na yajimilikisha mikoa ya Ukraine, miji na majiji bila kusahau mitambo ya nyuklia ya Ukraine
 
Mkuu, unateseka nini kama kweli una yakini Urusi wameposti ili wajifurahishe?!

Mmezoea (Zelensky + Pro-NATO) kupost fake news mkijiliwaza kushinda vita huko twitter, ila Urusi yenyewe yashinda vita kwenye ardhi ya Ukraine na yajimilikisha mikoa ya Ukraine, miji na majiji bila kusahau mitambo ya nyuklia ya Ukraine
🫱🏻‍🫲🏽🫱🏻‍🫲🏽🫱🏻‍🫲🏽🫱🏻‍🫲🏽
 
Back
Top Bottom