LLini Ataiangusha Serikali ya Syria?Marekani mpaka Leo iko Syria tena kwenye visima vya mafuta na hakuna wa kumtoa si Russia wala Syria.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LLini Ataiangusha Serikali ya Syria?Marekani mpaka Leo iko Syria tena kwenye visima vya mafuta na hakuna wa kumtoa si Russia wala Syria.
Kwahiyo imesogezwa hapo ili idake inzi si ndio?! Kwanini siku zote haikuletwa hapo ije iletwe Leo?!Hapa naona napoteza muda wangu kwa mtu anayeleta habari hata ajui kilichoandikwa.
Kwa maelezo ni kwamba S-350 imeonèkana karibu na uwanja wa vita.kilometer 40 karibu na mpaka wa UKRAINE na sio ipo UKRAINE bali ipo URUSI ila ipo kilometer 40 karibu na UKRAINE.
Au lugha kwako tatizo maana ni habari ipo wazi
Safi sana mkuuSio peke yako, tupo wengi twamwagilia 'mioyo' [emoji813] [emoji173]
Hivi nyie hua mnaakili gani hivi atatia pua yake kwenye danger zore560 halafu hata picha ya wawili wakiwa wamelala hakuna zaidi ya kagofu kamoja.