Urusi imewaua wanajeshi wa Ukraine zaidi ya 560 walipojaribu kuishambulia Kherson

Urusi imewaua wanajeshi wa Ukraine zaidi ya 560 walipojaribu kuishambulia Kherson

K
Still hata tukisema tuchukue hiyo idadi yako bado haifikii idadi waliyotoa Urusi eti Bayraktar zaidi ya Mia zimetunguliwa huku kukiwa hakuna evidence yoyote kuthibitisha madai Yao. Kumbuka Russia walikua wakitoa picha kila wakitungua hizo drones na mpaka sasa picha walizotoa hata 50 hazifiki. Ukraine wakitungua ndege za Russia wanatoa picha na video kuthibitisha madai Yao. Kuna picha mitandaoni zikionyesha Su-35 zilizotinguliwa plus video za kutosha zikionyesha Helicopter Ka-52 zilizotunguliwa
Kwanza unatakiwa kujua msaada ya kijeshi aliyopewa UKRAINE haijawai kutokea msaada kama uwo kwenye DUNIA

.Pia ndo nchi ya kwanza hapa kupewa misaada na nchi nyingi hapa duniani(nusu ya Dunia wametoa msaada kwa UKRAINE.

Izo list nilizokupa ni BAYRAKTAR zilizonunuliwa na UKRAINE na pia walizopewa kama msaada kutoka UTURUKI kwenyewe.ila zipo ambazo NCHI nyingine walizinunua ila wakawapa UKRAINE kama msaada kutokea kwenye nchi zao.hazijatoka moja kwa moja UTURUKI.ndo maana zinaweza kufika iyo idadi na ikazidi siku za mbeleni
 
KKwanza unatakiwa kujua msaada ya kijeshi aliyopewa UKRAINE haijawai kutokea msaada kama uwo kwenye DUNIA

.Pia ndo nchi ya kwanza hapa kupewa misaada na nchi nyingi hapa duniani(nusu ya Dunia wametoa msaada kwa UKRAINE.

Izo list nilizokupa ni BAYRAKTAR zilizonunuliwa na UKRAINE na pia walizopewa kama msaada kutoka UTURUKI kwenyewe.ila zipo ambazo NCHI nyingine walizinunua ila wakawapa UKRAINE kama msaada kutokea kwenye nchi zao.hazijatoka moja kwa moja UTURUKI.ndo maana zinaweza kufika iyo idadi na ikazidi siku za mbeleni
Msaada gani unazungumzia Mkuu maana mpaka sasa hamna silaha za kisasa ambazo Ukraine imepewa hata Makombora ya masafa marefu ya ATACMS wamenyimwa zaidi wamepewa HIMARS ambazo sio long range zinapiga 80km tu.

Hizo Javellin na NLAW ni za kizamani Sana. Helicopter zile ilizotakiwa wapewe Afghanistan ndo wanapelekewa Ukraine zile Mi-8 za kizamani kabisa. Hata air defenses anazotumia bado ni za kizamani. Hizo NASAMS ambazo Marekani imesema itawapa sio za kufika Leo wala kesho.

Sasa sijui mwenzetu unazungumzia msaada gani huo maana kinachofanyika hivi sasa ni kwamba nchi nyingi wanatoa silaha zao za kizamani kwenye maghala yao silaha zinafanyiwa repair then zinapelekwa Ukraine. Huwezi fananisha na silaha anazotumia Urusi kuanzia air defenses za kisasa, Kalibr cruise missiles,Iskander, Hypersonic missiles, Thermobaric missiles,nk. Lakini cha ajabu mpaka sasa mji mkubwa waliofanikiwa kuchukua ni Kherson tu tena waliudaka kipindi kile wako Kasi mwezi March nafikiri kabla ya West hawajaanza kumimina misaada Ukraine
 
KKwanza unatakiwa kujua msaada ya kijeshi aliyopewa UKRAINE haijawai kutokea msaada kama uwo kwenye DUNIA

.Pia ndo nchi ya kwanza hapa kupewa misaada na nchi nyingi hapa duniani(nusu ya Dunia wametoa msaada kwa UKRAINE.

Izo list nilizokupa ni BAYRAKTAR zilizonunuliwa na UKRAINE na pia walizopewa kama msaada kutoka UTURUKI kwenyewe.ila zipo ambazo NCHI nyingine walizinunua ila wakawapa UKRAINE kama msaada kutokea kwenye nchi zao.hazijatoka moja kwa moja UTURUKI.ndo maana zinaweza kufika iyo idadi na ikazidi siku za mbeleni
Drone unazozungumzia zitakua zile za Lithuania ambapo kulikua na donation ilifanyika na wananchi wenyewe wakapata km 5m dollars,zilinunua Bayraktar mbili au tatu tu.
 
Drone unazozungumzia zitakua zile za Lithuania ambapo kulikua na donation ilifanyika na wananchi wenyewe wakapata km 5m dollars,zilinunua Bayraktar mbili au tatu tu.
Masikini, unateseka buree kuzungumzia vitu usovijua...

Eti USD 5 million zinunue droni mbili au tatu! Yaonesha hapo ulipo hata bei ya pisi moja ya drone ya Bayraktar hujui!
 
Masikini, unateseka buree kuzungumzia vitu usovijua...

Eti USD 5 million zinunue droni mbili au tatu! Yaonesha hapo ulipo hata bei ya pisi moja ya drone ya Bayraktar hujui!
Usiwe unabishabisha vitu bila facts.

Embu pitia hapa chini,uache kuropoka. Tena ilikua drone moja. Bei ya Bayraktar ni Usd 2m-3m Ila ukinunua pamoja na payload yake na system nzima Bei inafika 5m,na hiyo pia ni kutokana na inflation

Demir may not have been exaggerating. As the Guardian newspaper pointed out in December, a TB2 costs on average between $1 million to $2 million per unit, which is “far less than the near $20m per drone paid by the British military for a fleet of 16 high-end, next-generation Protector drones manufactured by U.S. specialist General Atomics.

Cheap And Combat-Tested: The Growing Market For Turkish Drones

Lithuania to transfer a crowdfunded Bayraktar drone to Ukraine on Wednesday
 
Mkuu silaha zote zinazotumika ni za muda wala hakuna silaha mpya kwenye uwanja wa vita(UKRAINE).Artillery,Tank,air defence missile zote zinazotumiwa na WARUSI ni za muda tu.au unamanisha nini unavyosema silaha mpya?
Msaada gani unazungumzia Mkuu maana mpaka sasa hamna silaha za kisasa ambazo Ukraine imepewa hata Makombora ya masafa marefu ya ATACMS wamenyimwa zaidi wamepewa HIMARS ambazo sio long range zinapiga 80km tu.

Hizo Javellin na NLAW ni za kizamani Sana. Helicopter zile ilizotakiwa wapewe Afghanistan ndo wanapelekewa Ukraine zile Mi-8 za kizamani kabisa. Hata air defenses anazotumia bado ni za kizamani. Hizo NASAMS ambazo Marekani imesema itawapa sio za kufika Leo wala kesho.

Sasa sijui mwenzetu unazungumzia msaada gani huo maana kinachofanyika hivi sasa ni kwamba nchi nyingi wanatoa silaha zao za kizamani kwenye maghala yao silaha zinafanyiwa repair then zinapelekwa Ukraine. Huwezi fananisha na silaha anazotumia Urusi kuanzia air defenses za kisasa, Kalibr cruise missiles,Iskander, Hypersonic missiles, Thermobaric missiles,nk. Lakini cha ajabu mpaka sasa mji mkubwa waliofanikiwa kuchukua ni Kherson tu tena waliudaka kipindi kile wako Kasi mwezi March nafikiri kabla ya West hawajaanza kumimina misaada Ukraine
 
Masikini, unateseka buree kuzungumzia vitu usovijua...

Eti USD 5 million zinunue droni mbili au tatu! Yaonesha hapo ulipo hata bei ya pisi moja ya drone ya Bayraktar hujui!
Nakusaidia tena angalia tena na hii video hapo chini wamekutajia mpaka Bei ya hizo drones.



Bayraktar drones ni Bei rahisi ndo maana nchi nyingi za kipato cha chini wanapanga foleni kuzinunua baada ya kufumua mifumo na zana za kirusi kule Ukraine. Juzi hapa Ethiopia alizitumia kwenye vita yake na Tigray
 
Mkuu silaha zote zinazotumika ni za muda wala hakuna silaha mpya kwenye uwanja wa vita(UKRAINE).Artillery,Tank,air defence missile zote zinazotumiwa na WARUSI ni za muda tu.au unamanisha nini unavyosema silaha mpya?
Zile Laser weapons walizosema zinachoma drones za Ukraine nazo ni za muda?!

Hypersonic weapons ni za muda?!

Zile radar ambazo Ukraine alizibomoa 'Podlet-K1' na '9s19 Ginger Radar' za kudetect Makombora nazo ni muda?!

Su-34M nayo ni ya muda?!

S-350 nayo ni ya muda?!
 
Mkuu silaha zote zinazotumika ni za muda wala hakuna silaha mpya kwenye uwanja wa vita(UKRAINE).Artillery,Tank,air defence missile zote zinazotumiwa na WARUSI ni za muda tu.au unamanisha nini unavyosema silaha mpya?
Hiyo S-350 Sam ni ya 2019 juzi tu hapo. Ipo huko inapambana na HIMARS lakini cha ajabu Makombora ya HIMARS yanapenya na Jana kuna taarifa yamebomoa tena lile Daraja la muda lililojengwa na Urusi Kherson ili kupitisha supplies zake kwenda Kwa wanajeshi
Screenshot_2022-08-30-12-45-14-640_com.android.chrome.jpg
 
Back
Top Bottom