Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kawaida vitani ila huwezi ua watu wengi kiasi hicho
Hizo ndege zimetoka wapi wakati mlisema mmeharibu ndege zote?
Kwani awapewi misaada au unauliza nini?
unafikiri watasem vile nibeefHiyo habari yako mbona haija ripotiwa na chombo kingine ni group la telegram la urusi tu
Hiyo habari yako mbona haija ripotiwa na chombo kingine ni group la telegram la urusi tu
Aisee, hii ni kufuru sasa! Majeshi ya Ukraine yamejaribu kushambulia majeshi ya Urusi huko Kherson, matokeo yake Zelensky kapoteza wanajeshi zaidi ya 560, vifaru 26, armoured vehicles 32 na ndege mbili aina ya Su-25.
=====
View attachment 2339567View attachment 2339568
Hahahaha Mkuu ukisiliza update za Russia unaweza jua wameshaua wanajeshi wote wa Ukraine,kuna taarifa nyingine niliona wameua wanajeshi 1000 wa Ukraine [emoji23]. Yani tangu waseme wameshaharibu karibu HIMARS karibu zote,na kutungua Bayraktar drone 100 za Ukraine wakati Ukraine alikua nazo 36 tu nikiona taarifa zao nacheka tu halafu nasema hiiiiiii.Ni kawaida vitani ila huwezi ua watu wengi kiasi hicho
Hizo ndege zimetoka wapi wakati mlisema mmeharibu ndege zote?
Marekani Afghanistan mbona aliogopa kwenda peke yake, iraq pia aliogopa kwenda peke yake libya pia aliogopa kwenda peke yake na Syria pia aliogopa kwenda peke yake. Mpka mbabe Putin alipoombwa kwenda kuwafurusha syria. Russia siyo nchi ya mchezo mchezoHahahaha Mkuu ukisiliza update za Russia unaweza jua wameshaua wanajeshi wote wa Ukraine,kuna taarifa nyingine niliona wameua wanajeshi 1000 wa Ukraine [emoji23]. Yani tangu waseme wameshaharibu karibu HIMARS karibu zote,na kutungua Bayraktar drone 100 za Ukraine wakati Ukraine alikua nazo 36 tu nikiona taarifa zao nacheka tu halafu nasema hiiiiiii.
Huko kwao wamefungia vyombo vya habari na ukileta taarifa yako kinyume na za mamlaka jiandae kwenda jela unategemea nini zaidi ya kuwalisha watu wao propaganda?!
Walisema wameharibu Airforce yote ya Ukraine cha ajabu mpaka Leo ndege za Ukraine zinaruka na kufanya mashambulizi dhidi ya wanajeshi wa Urusi. Hawajatoa idadi ya wanajeshi wao waliokufa karibu miezi sita sasa mara ya Mwisho walitoa mwezi March. Babu Yao Putin kaona mambo magumu mpaka kakimbilia Tehran kuomba msaada wa drones,embu fikiria Leo hii Russia ni kwenda kuomba msaada Iran kweli,Yani hapo ni sawa na Marekani aende kuomba msaada wa kijeshi Misri!!!!
Na swali la Mwisho la kujiuliza wanasema wameua wanajeshi 500+,je ushahidi uko wapi?! Watume hata kapicha bhas Ka wanajeshi japo 50 waliodedi
Hahahaha Mkuu ukisiliza update za Russia unaweza jua wameshaua wanajeshi wote wa Ukraine,kuna taarifa nyingine niliona wameua wanajeshi 1000 wa Ukraine [emoji23]. Yani tangu waseme wameshaharibu karibu HIMARS karibu zote,na kutungua Bayraktar drone 100 za Ukraine wakati Ukraine alikua nazo 36 tu nikiona taarifa zao nacheka tu halafu nasema hiiiiiii.
Huko kwao wamefungia vyombo vya habari na ukileta taarifa yako kinyume na za mamlaka jiandae kwenda jela unategemea nini zaidi ya kuwalisha watu wao propaganda?!
Walisema wameharibu Airforce yote ya Ukraine cha ajabu mpaka Leo ndege za Ukraine zinaruka na kufanya mashambulizi dhidi ya wanajeshi wa Urusi. Hawajatoa idadi ya wanajeshi wao waliokufa karibu miezi sita sasa mara ya Mwisho walitoa mwezi March. Babu Yao Putin kaona mambo magumu mpaka kakimbilia Tehran kuomba msaada wa drones,embu fikiria Leo hii Russia ni kwenda kuomba msaada Iran kweli,Yani hapo ni sawa na Marekani aende kuomba msaada wa kijeshi Misri!!!!
Na swali la Mwisho la kujiuliza wanasema wameua wanajeshi 500+,je ushahidi uko wapi?! Watume hata kapicha bhas Ka wanajeshi japo 50 waliodedi
Bayraktar mwezi huu walitangaza mpaka drone jumla ya drones zote walizotengeneza ni 195 Kama sikosei. Na wanataka kuongeza production sababu ya Vita ya UkraineEbu jaribu kujiongeza basi,UKRAINE anazidi kununua SILAHA na pia anasaidia SILAHA.kwa iyo usikalili kuwa alikuwa na drone 36 basi ndo zitakuwa izo izo tu.
View attachment 2339753Hahahaha Mkuu ukisiliza update za Russia unaweza jua wameshaua wanajeshi wote wa Ukraine,kuna taarifa nyingine niliona wameua wanajeshi 1000 wa Ukraine [emoji23]. Yani tangu waseme wameshaharibu karibu HIMARS karibu zote,na kutungua Bayraktar drone 100 za Ukraine wakati Ukraine alikua nazo 36 tu nikiona taarifa zao nacheka tu halafu nasema hiiiiiii.
Huko kwao wamefungia vyombo vya habari na ukileta taarifa yako kinyume na za mamlaka jiandae kwenda jela unategemea nini zaidi ya kuwalisha watu wao propaganda?!
Walisema wameharibu Airforce yote ya Ukraine cha ajabu mpaka Leo ndege za Ukraine zinaruka na kufanya mashambulizi dhidi ya wanajeshi wa Urusi. Hawajatoa idadi ya wanajeshi wao waliokufa karibu miezi sita sasa mara ya Mwisho walitoa mwezi March. Babu Yao Putin kaona mambo magumu mpaka kakimbilia Tehran kuomba msaada wa drones,embu fikiria Leo hii Russia ni kwenda kuomba msaada Iran kweli,Yani hapo ni sawa na Marekani aende kuomba msaada wa kijeshi Misri!!!!
Na swali la Mwisho la kujiuliza wanasema wameua wanajeshi 500+,je ushahidi uko wapi?! Watume hata kapicha bhas Ka wanajeshi japo 50 waliodedi
Marekani mpaka Leo iko Syria tena kwenye visima vya mafuta na hakuna wa kumtoa si Russia wala Syria.Marekani Afghanistan mbona aliogopa kwenda peke yake, iraq pia aliogopa kwenda peke yake libya pia aliogopa kwenda peke yake na Syria pia aliogopa kwenda peke yake. Mpka mbabe Putin alipoombwa kwenda kuwafurusha syria. Russia siyo nchi ya mchezo mchezo
Marekani mpaka Leo iko Syria tena kwenye visima vya mafuta na hakuna wa kumtoa si Russia wala Syria.
Still hata tukisema tuchukue hiyo idadi yako bado haifikii idadi waliyotoa Urusi eti Bayraktar zaidi ya Mia zimetunguliwa huku kukiwa hakuna evidence yoyote kuthibitisha madai Yao. Kumbuka Russia walikua wakitoa picha kila wakitungua hizo drones na mpaka sasa picha walizotoa hata 50 hazifiki. Ukraine wakitungua ndege za Russia wanatoa picha na video kuthibitisha madai Yao. Kuna picha mitandaoni zikionyesha Su-35 zilizotinguliwa plus video za kutosha zikionyesha Helicopter Ka-52 zilizotunguliwaMwezi wa 2 pekee UKRAINE alipokea Bayraktar zaidi ya 50 kutoka ukraine. Mwezi wa june akapokea msaada wa Bayraktar drone kutoka kampuni ya Bayraktar.ukijumlisha alizokuwa nazo mwanzo jibu unakuwa nalo mwenyewe.View attachment 2339753View attachment 2339754
Apo ndipo unyama wa USA ulivyo wa maesabu piaMarekani mpaka Leo iko Syria tena kwenye visima vya mafuta na hakuna wa kumtoa si Russia wala Syria.
Aiseee hilo tumuulize Putin aliyesema wanajeshi wa Ukraine wampindue Rais wao ili aweke kibaraka wake.Kwa iyo mmebadili kauli,sio tena "ASSAD MUST GO"