Sikirimimimasikini
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 2,926
- 15,634
[emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635]ngoja nimwagilie moyoAisee, hii ni kufuru sasa! Majeshi ya Ukraine yamejaribu kushambulia majeshi ya Urusi huko Kherson, matokeo yake Zelensky kapoteza wanajeshi zaidi ya 560, vifaru 26, armoured vehicles 32 na ndege mbili aina ya Su-25.
=====
View attachment 2339567View attachment 2339568
Sio peke yako, tupo wengi twamwagilia 'mioyo' β₯ β€[emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635]ngoja nimwagilie moyo
Kuna watu watapita kimya na kulalamika kimya kimyaAisee, hii ni kufuru sasa! Majeshi ya Ukraine yamejaribu kushambulia majeshi ya Urusi huko Kherson, matokeo yake Zelensky kapoteza wanajeshi zaidi ya 560, vifaru 26, armoured vehicles 32 na ndege mbili aina ya Su-25.
=====
View attachment 2339567View attachment 2339568
Tulia dawa ikuingie vizuri...Ulitaka source iwe TBC ambayo wala haipo kwenye uwanja wa vita?!Halafu source ya habari yako ni Urusi yenyewe [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Tulia dawa ikuingieNi kawaida vitani ila huwezi ua watu wengi kiasi hicho
Hizo ndege zimetoka wapi wakati mlisema mmeharibu ndege zote?
Dawa gani wakati na wao wameposti wajifurahishe.Tulia dawa ikuingie
Endelea kuteseka tu Mkuu....mie nasukuma dawa tuSasa kama source ni Russia pekee ulitegemea waseme tumepigwa huko au tumepoteza askari kadhaa zaidi ya kuwapa watu wao morali na kusema tumepigwa,
Russia yeye huwa hakubali kama alipoteza au lah...
Maana wakati maghara yake karibu matatu yanalipuliwa alisema yamelipuka yenyewe.
Mkuu, unateseka nini kama kweli una yakini Urusi wameposti ili wajifurahishe?!Dawa gani wakati na wao wameposti wajifurahishe.
Saivi???π π π π₯π₯πΊπΊSio peke yako, tupo wengi twamwagilia 'mioyo' β₯ β€
π«±π»βπ«²π½π«±π»βπ«²π½π«±π»βπ«²π½π«±π»βπ«²π½Mkuu, unateseka nini kama kweli una yakini Urusi wameposti ili wajifurahishe?!
Mmezoea (Zelensky + Pro-NATO) kupost fake news mkijiliwaza kushinda vita huko twitter, ila Urusi yenyewe yashinda vita kwenye ardhi ya Ukraine na yajimilikisha mikoa ya Ukraine, miji na majiji bila kusahau mitambo ya nyuklia ya Ukraine