Hapa naona napoteza muda wangu kwa mtu anayeleta habari hata ajui kilichoandikwa.
Kwa maelezo ni kwamba S-350 imeonèkana karibu na uwanja wa vita.kilometer 40 karibu na mpaka wa UKRAINE na sio ipo UKRAINE bali ipo URUSI ila ipo kilometer 40 karibu na UKRAINE.
Au lugha kwako tatizo maana ni habari ipo wazi