Urusi inaweza kuivamia Ukraine muda wowote, Marekani yatoa angalizo, yataka raia wake waondoke Ukraine

Urusi inaweza kuivamia Ukraine muda wowote, Marekani yatoa angalizo, yataka raia wake waondoke Ukraine

Mpaka sasa idad ya wajeda wa urus waliokuwepo mpakan wanazid idad jumla ya wajeda wa jesh la ukraine
Sio kweli labda ulete Source ya habari yako Kama sio Mahaba niue.

Wakati Russia alivyolichukua Jimbo la Crimia mwaka 2014 Ukraine ilikuwa na ACTIVE MILITARY PERSONEL(Wanajeshi) 60,000. Baada ya hapo, Ukraine ilianza kuimarisha Jeshi lake na kuacha kubweteka baada ya kuona kitisho Cha Urusi. Hivi leo 2022,Ukraine ina Jumla ya Wanajeshi zaidi ya 225,000. Hiyo ni karibu Mara nne ndani ya miaka 7 TU. Hakuna Jeshi Duniani ambalo ndani ya miaka 7 TU limeshawahi kuongeza idadi ya Wanajeshi Mara Nne.

MAONI YANGU.

Endapo Urusi isipovamia kijeshi huko Ukraine(Najua hawatavamia make wameshachelewa),Basi naiona Ukraine ikijiimarisha zaidi kijeshi kuliko hapo awali ikiwa ni pamoja na kuongeza bajeti ya Jeshi na kuongeza idadi ya dhana za kivita.
 
Russia tayari iliweka majeshi yake zaidi ya 130,000 hadi kufikia mkesha wa christimas, huku nchi zingine za NATO zikiwa zinasherehekea siku hiyo ya kuzaliwa Yesu Kristo.

Ukraine imezungukuwa kila kona na wakati wowote Putin akiamua kunyanyua simu Ukraine itakuwa mikononi mwa Russia.

Leo mchana raisi Putin na Biden wamezungumza kwa simu kwa saa moja unusu bila kufikia mwafaka khasa baada ya Russia kuigundua manowari ya kivita ya Marekani ikiwa ndani yamaji yake katika bahari ya Okhotisk ndani ya maji ya Russia.

Russia ikaiamuru manowari hiyo iondoke mara moja na wanamaji hao wa Marekani wakatii amri hiyo.

Lengo la Moscow na Putin ni kuiondoa serikali ya vibaraka inoongozwa na Volodymiyr Zelensnky ambayo iliingia madarakani kwa kusaidiwa na majasusi wa CIA, NATO na nchi za magharibi mwaka 2014.

Lengo la serikali hii ya vibaraka ni kutumika kuizunguka Russia kiusalama na kuikomboa Crimea jambo ambalo Putin kama jasusi hatari la zamani la KGB aliligundua na sasa analichukulia hatua.

Jambo lililo wazi kwa sasa ni kwamba Russia ikiamua wakti wowote ule kuivamia Ukraine, yaweza kufanya hivyo na NATO, Marekani na nchi zingine za magharibi zitaangalia tu bila kufanya lolote kama ilivyokuwa kwa jimbo la Crimea.

Russia haitaki kuona Ukraine ina kuwa mwanachama wa NATO jambo linoweza kusababisha Russia kutishiwa usalama wake kwa Ukraine kutumika kama daraja la uvamizi.

Hivyo sisi wengine na dunia nzima tujiandae tu kuona mwamba huyu wa Russia akifanya mambo yake ambayo huyatenda kwa nadra lakini yenye ufanisi mkubwa.
Inaonekana hata hujui unachokiongea kwa kweli. Unasema huyu Rais wa Sasa wa Ukraine Volodymiyr Zelensnky aliingia Madarakani baada ya Mapinduzi ya mwaka 2014? Hivi wewe uko timamu kweli? Rais Wa Sasa wa Ukraine Volodymiyr Zelensnky ambaye alikuwa Mchekeshaji kachaguliwa Kidemokrasia kabisa hivi majuzi majuzi TU.

Baada ya Mapinduzi ya mwaka 2014 yaliyomfurusha Kibaraka wa Urusi VICTOR YUNOCHOVICH aliingia Madarakani Raisi PETRO POROSHENKO ambaye baada ya Miezi 6 aliandaa Uchaguzi na wagombea walikuwa 7 lakini akaibuka mshindi akaiongoza Ukraine kwa kipindi kigumu. Naye Aliondolewa na Bunge kwa Kashfa ya Rushwa na Kukimbilia nchini Poland.
 
Inaonekana hata hujui unachokiongea kwa kweli. Unasema huyu Rais wa Sasa wa Ukraine Volodymiyr Zelensnky aliingia Madarakani baada ya Mapinduzi ya mwaka 2014? Hivi wewe uko timamu kweli? Rais Wa Sasa wa Ukraine Volodymiyr Zelensnky ambaye alikuwa Mchekeshaji kachaguliwa Kidemokrasia kabisa hivi majuzi majuzi TU.

Baada ya Mapinduzi ya mwaka 2014 yaliyomfurusha Kibaraka wa Urusi VICTOR YUNOCHOVICH aliingia Madarakani Raisi PETRO POROSHENKO ambaye baada ya Miezi 6 aliandaa Uchaguzi na wagombea walikuwa 7 lakini akaibuka mshindi akaiongoza Ukraine kwa kipindi kigumu. Naye Aliondolewa na Bunge kwa Kashfa ya Rushwa na Kukimbilia nchini Poland.
Punguza mhemko.

Nilikosea hapo 2014 na nilitakiwa niandike 2019 ndio aliingia madarakani.

Lakini hiyo haiondoi ukweli kwamba mkakati wa serikali ya Ukraine ni kugomboa jimbo la Crimea mkakati unosukwa na NATO, Marekani na washirika wao.

Zelensnkyy ni kibaraka wa NATO na nchi za Magharibi.
 
This time hana hiyo jeuri 👇

Screenshot_20220215-212640.png


Screenshot_20220215-212614.png


Screenshot_20220213-203048.png
 
Back
Top Bottom