Urusi itamaliza vita kwa kutumia nyuklia kwa siku chache tu-Medvedev

Urusi itamaliza vita kwa kutumia nyuklia kwa siku chache tu-Medvedev

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Raisi wa zamani wa Urusi Dmitry Medvedev amesema Urusi inaweza kumaliza vita vinavyoendelea ikipenda kwa kutumia silaha za nyuklia kama ilivyofanya Marekani mwaka 1945. Namna nyengine ya kumaliza vita hivyo alisema ni kwa Ukraine kusita kupokea silaha kutoka mataifa ya nje.

Hayo aliyasema alipokuwa akijibu tuhuma za nchi za NATO kwamba nchi hiyo inatumia silaha zilizopitwa na wakati na mbinu za karne iliyopita.Akasema hilo sio kweli jeshi la Urusi ni la kisasa na linatumia mbinu tofauti za kivita.

Akaongeza kwamba katika vita vyovyote vile hata viwe vita vya dunia vita hivyo humalizwa kwa njia ama ya kukaa mezani na kutiliana saini au kutumia mbinu kama zile ilizotumia Marekani katika vita vya pili vya dunia.

1688643025848.png
 
Raisi wa zamani wa Urusi Dmitry Medvedev amesema Urusi inaweza kumaliza vita vinavyoendelea ikipenda kwa kutumia silaha za nyuklia kama ilivyofanya Marekani mwaka 1945. Namna nyengine ya kumaliza vita hivyo alisema ni kwa Ukraine kusita kupokea silaha kutoka mataifa ya nje.
Hayo aliyasema alipokuwa akijibu tuhuma za nchi za NATO kwamba nchi hiyo inatumia silaha zilizopitwa na wakati na mbinu za karne iliyopita.Akasema hilo sio kweli jeshi la Urusi ni la kisasa na linatumia mbinu tofauti za kivita.
Akaongeza kwamba katika vita vyovyote vile hata viwe vita vya dunia vita hivyo humalizwa kwa njia ama ya kukaa mezani na kutiliana saini au kutumia mbinu kama zile ilizotumia Marekani katika vita vya pili vya dunia.
View attachment 2680157
Medvedev anaropokaga sasa anamtishia nani nuklia? Si watumie
 
Raisi wa zamani wa Urusi Dmitry Medvedev amesema Urusi inaweza kumaliza vita vinavyoendelea ikipenda kwa kutumia silaha za nyuklia kama ilivyofanya Marekani mwaka 1945. Namna nyengine ya kumaliza vita hivyo alisema ni kwa Ukraine kusita kupokea silaha kutoka mataifa ya nje.
Hayo aliyasema alipokuwa akijibu tuhuma za nchi za NATO kwamba nchi hiyo inatumia silaha zilizopitwa na wakati na mbinu za karne iliyopita.Akasema hilo sio kweli jeshi la Urusi ni la kisasa na linatumia mbinu tofauti za kivita.
Akaongeza kwamba katika vita vyovyote vile hata viwe vita vya dunia vita hivyo humalizwa kwa njia ama ya kukaa mezani na kutiliana saini au kutumia mbinu kama zile ilizotumia Marekani katika vita vya pili vya dunia.
View attachment 2680157
Huyu amelewa vodka waki wote watumia nuclear watajinyuki wenyewe upepo unakwenda Russia and Türkiye and Cremea Belarus’s and so it’s only a fool who’s going to destroy his own nation
 
Raisi wa zamani wa Urusi Dmitry Medvedev amesema Urusi inaweza kumaliza vita vinavyoendelea ikipenda kwa kutumia silaha za nyuklia kama ilivyofanya Marekani mwaka 1945. Namna nyengine ya kumaliza vita hivyo alisema ni kwa Ukraine kusita kupokea silaha kutoka mataifa ya nje.

Hayo aliyasema alipokuwa akijibu tuhuma za nchi za NATO kwamba nchi hiyo inatumia silaha zilizopitwa na wakati na mbinu za karne iliyopita.Akasema hilo sio kweli jeshi la Urusi ni la kisasa na linatumia mbinu tofauti za kivita.

Akaongeza kwamba katika vita vyovyote vile hata viwe vita vya dunia vita hivyo humalizwa kwa njia ama ya kukaa mezani na kutiliana saini au kutumia mbinu kama zile ilizotumia Marekani katika vita vya pili vya dunia.

View attachment 2680157
Ajaribu aone kama hayakumlipukia nchini mwake!
 
Huyu amelewa vodka waki wote watumia nuclear watajinyuki wenyewe upepo unakwenda Russia and Türkiye and Cremea Belarus’s and so it’s only a fool who’s going to destroy his own nation
Akisema atatumia nyuklia hana maana ataipiga Ukraine.Anaweza akaipiga US na Uk ambao wako kimbelembele sana katika hivi vita.
 
Nato ni nchi ngapi?
Actualy even a singe war head ikidondoka pale any capital city its all over.
Once moja ikisharushwa hewani the rest watafuata. So ni wwIII
Ikirushwa nyuklia hakuna kisingizio kwamba yamedondoka mabaki ndiyo yaliyounguza majengo.Mabaki ya nyuklia bado ni nyuklia tu na balaa kubwa.
 
Unaijua nyuklia au unaongea utopolo
Wewe hiyo nyuklia umeijulia wapi zaidi ya maabara?tena ukute umeshasahau baadhi ya topics zake

Nuclear azungumze Mjapan aliyecheza show yake siyo mimi na wewe tupo huku bara la giza tunauzwa kwa mafungu kwa waarabu na watu waliominika watatupeleka nchi ya ahadi na sisi tuseme tunaiogopa nucs
 
Raisi wa zamani wa Urusi Dmitry Medvedev amesema Urusi inaweza kumaliza vita vinavyoendelea ikipenda kwa kutumia silaha za nyuklia kama ilivyofanya Marekani mwaka 1945. Namna nyengine ya kumaliza vita hivyo alisema ni kwa Ukraine kusita kupokea silaha kutoka mataifa ya nje.

Hayo aliyasema alipokuwa akijibu tuhuma za nchi za NATO kwamba nchi hiyo inatumia silaha zilizopitwa na wakati na mbinu za karne iliyopita.Akasema hilo sio kweli jeshi la Urusi ni la kisasa na linatumia mbinu tofauti za kivita.

Akaongeza kwamba katika vita vyovyote vile hata viwe vita vya dunia vita hivyo humalizwa kwa njia ama ya kukaa mezani na kutiliana saini au kutumia mbinu kama zile ilizotumia Marekani katika vita vya pili vya dunia.

View attachment 2680157
Kwa hiyo hata wewe Amiri, msemaji wa Putin nchini, unakubaliana na huyu jamaa kuiga njia za kipumbavu za Marekani ?
 
Back
Top Bottom